uwezo

  1. J

    JamiiForums Tanzania GE2020 Kama chama kikuu cha upinzani uwezo wake ni kugombea kwenye majimbo 163 kati ya 214 yaliyopo kuna haja ya wapinzani kushirikiana!

    Tanzania bara kuna jumla ya majimbo 214 ya uchaguzi na Zanzibar majimbo 50. Chadema imetangaza kuweka wagombea katika majimbo 163 sawa na 76% ya majimbo yote ya Tanzania bara. Hivyo basi uwezekano wa CHADEMA kuunda serikali ama ni finyu sana au haupo kabisa kwa sababu hadi sasa kuna majimbo 51...
  2. B

    JamiiForums Tanzania Uwezo wa kuongea kiingereza utumike kuwakata wabunge na madiwani

    Kwasasa Tanzania yetu ukienda kwenye interview hata Kama nafasi ya wahitimu wa darasa la saba mnachujwa kwa kufaham kiingereza inakuaje uko kwa madiwani na wabunge interview zao zinakua za kiswahili wakati ni nafasi muhimu sana.
  3. Gamba la Mbu

    JamiiForums Tanzania Kukosa elimu ya darasani isiwe kichaka cha kuficha uwezo wa kufikiri

    Salaam! Imekuwa ni desturi ya Watu wengi kulalamika kuwa kukosa Elimu ya darasani kumewafanya kushindwa kufikia mafanikio fulani fulani hususani ya kiuchumi. Kwa upande wangu sioni mantiki ya kukwamishwa kuendelea kiuchumi kisa elimu ya kuta nne. Hebu kwanza tujiulize ni nini kinamfanya mtu...
  4. D

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua uwezo wa Suzuki Carry (Minivan)

    Suzuki Carry Habari zenu! Naomba kujulishwa uwezo wa suzuki carry a.k.a kirikuu: 1. Uwezo wa kubeba(maximum weight). 2. Nguvu yake kwenye mchanga,matope,utelezi,miinuko n.k. (pulling). 3. Je inaweza rough roads hasa mikoa isiyokuwa na milima mikali au maeneo yenye miinuko ya wastani. 4...
  5. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama huna uwezo wa kumpeleka lodge achana na mambo ya mapenzi

    Nawapa hint wadogo zangu na ma brother wangu. Ukijiona kila ukimpata demu uwezo wako ni kwenda guest house tu, tena huko unaomba ulipe kwa show time ili ubane matumizi basi jua umeyakimbilia mapenzi. Tafuta pesa , yes mwili umeshakua tena huenda una zaidi ya miaka 30 lakini mfuko wako haujakua...
  6. B

    JamiiForums Tanzania Anahitajika mtaalam mwenye uwezo wa kututafutia pesa kwa ajili ya NGO

    Tumeanzisha NGO ila tuna changamoto ya kupata fedha kutoka kwa wafadhili, tunahitaji mwenye upeo na uwezo wa kujua wapi na namna ya kupata fedha kwa ajili ya miradi yetu ya maendeleo, NGO yetu ina malengo ya kujengea watu uwezo wa ujasiriamali, kilimo, mambo ya viwanda; inajenga miundo mbinu...
  7. MENISON

    JamiiForums Tanzania Hii stori ya kweli inasisimua kutokea shuleni Mazinde Juu

    Happy, binti mwenye akili, aliyetoka katika familia isiyojiweza lakini alifanya vyema katika matokeo yake ya kidato cha 4 katika shule jirani ya serikali, hivyo meneja wa shule, Padri Damian Milliken alijitolea kumsomesha Mazinde Juu na kumhudumia hadi atakapomaliza kidato cha 6 . Baada ya...
  8. S

    JamiiForums Tanzania Majibu haya ya Lissu akihojiwa DW, ni ushahidi mwingine wa uwezo wa Lissu kujibu hoja na kuwa mgombea ataefaa kumkabili Magufuli kwenye kampeni

    Lissu, a human rights and environmental lawyer, is a vocal critic of government corruption and the current president, John Magufuli. He has been arrested several times in the past and still has charges of uttering seditious words against the Tanzanian state authority outstanding against him...
  9. katib mkoa

    JamiiForums Tanzania Uwezo wa Ronaldinho Gaucho uwanjani ulikuwa ni upi?

    Mnaosema hakuna kama Gaucho mnatumia kigezo gani? Mmefika mbali mpaka kumlinganisha Gaucho na Messi/Ronaldo Hivi Gaucho ukitoa control ya mpira iliopitiliza (hata mimi namkubali kwa hili) ana kipi kuwapita watu hao wawili? Hapa naongelea uwezo binafsi ambao hauna msaada wa timu usitaje...
  10. Babu Kijiwe

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Powered Mixer yenye uwezo huu mara moja

    Habari wakuu, nahitaji muuzaji wa Mixer ambayo ni powered itakayokuwa na uwezo wa kuendesha box speaker 4 za watt 300 yenye njia kama 12 au zaidi. Njoo na bei yako kwenye comment, pesa ipo tayari. Kidumu chama chetu.
  11. MK254

    JamiiForums Tanzania Israel yatupia chombo angani chenye uwezo mkubwa wa kufuatilia mambo ya maadui

    Maadui wa Israel kama vile Iran wako taabani maana wanazidi kuanikwa na vyombo vinavyotupwa angani, hii ni satellite ya kipekee yenye uwezo mkubwa. ====== Israel on Monday launched a new spy satellite that it said would provide high-quality surveillance for its military intelligence. Israel...
  12. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Media za Tanzania hazina uwezo wa kujitengenezea vipaji ?

    Imebidi niulize , maana huko waendako wanaelekea kulogana , B Dozen kang'olewa Clouds na sasa Musa Husein naye yuko mbioni . Hivi haiwezekani media hizi zikafanya kazi na watangazaji wapya kabisa na zikatoboa ? hii tabia ya kupora watangazaji kwa kuwaongeza dau imetokea wapi ?
  13. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Ujue uwezo wa tango kuzuia tezi dume

    Miaka mingi kidogo nilikutana na dada mmoja kutoka visiwa vya Caribbean, alinieleza umuhimu wa wanaume kula matango. Aliendelea kuwa kwao mtoto wa kiume anahimizwa kula tango walau moja kila siku baada ya kufikia umri wa balehe. Dada huyu aliniambia pia kama una mgonjwa wa tezi dume kamua...
  14. K

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa kifaa sahihi cha kupima uwezo wa betri za simu

    Jamani kwa anayejua ni kifaa gani kina uwezo wa kupima uwezo wa Betri za simu anifahamishe tafadharini waungwana.
  15. mgt software

    JamiiForums Tanzania Uwezo wa NIMR unafikirisha kutoa Tiba Lishe ya kufubaza Virus vya UKIMWI, tunaweza kuacha na ARV zenye masharti

    Wana JF. Tangu uwepo ugonjwa wa Corona, mapambano ambayo NIMR imeyafanya , imejiongezea umaarufu na kujikutabinajulikana sana baada ya kutengeneza Tiba lishe mbali mbali kupambana na COVID19. Kabla ya hapo watanzania wengi walikuwa hawajui kama kuna kitu kama NIMR kinafanya utafiti wa Tiba...
  16. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Bungeni Dodoma: Rais Magufuli avunja Bunge la 11. Asema ajira 6,032,299 zimetengenezwa, Viwanda vipya 8,477 vimeanzishwa

    Leo tarehe 16 Juni 2020, Rais Magufuli analivunja bunge kwa ajili ya kufanya matayarisho ya uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu, ambapo uchaguzi wa rais na wabunge utafanyika kwa wakati mmoja. Bunge la 11 lilifunguliwa na Rais Magufuli Novemba 20, 2015 baada ya kuapishwa kuwa Rais wa...
  17. T

    JamiiForums Tanzania Vodacom na mitandao ya simu wekeni uwezo wa mtu kurudisha pesa aliyoipokea kimakosa

    Mitandao ya simu imerahisisha maisha kwa kuruhusu mtu kujirudishia pesa aliyotuma kimakosa kwenda kwa mtu mwingine. Hili tumelipokea kwa mikono miwili. Sasa naomba muweke uwezo wa mtu kurudisha muamala wa pesa ambayo ameipokea kimakosa au ambayo haitambui. Naomba wazo hili mlifanyie kazi...
  18. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania GE2020 Ofisi ya CHADEMA Kanda ya Pwani baada ya Sumaye kuondoka washindwa kununua umeme ofisi iko giza

    Mzee Sumaye aliwajengea chadema ofisi nzuri tu ya chama sasa hivi iko giza wameshindwa kununua umeme wa luku uchaguzi itakuwaje ?
  19. Mshumaa_Tz

    JamiiForums Tanzania TL na JP Tutawafanyia Mdahalo kwa lugha yakingereza ili kupata kufahamu uwezo wenu

    JP na Tl , Tuwafanyia mdahalo ili kuweza kupata , lengo na dhumuni lakuitaka nafasi hii nyeti ya JMT , Nb mdahalo utaongozwa kwa lugha ya Kingereza tupu.
Back
Top Bottom