johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,874
Kwa kawaida huwa tunasema tunayo mihimili mitatu inayojitegemea yaani Serikali, Bunge na Mahakama.
Ni ukweli pia kuwa mkuu wa serikali ni Rais, mkuu wa bunge ni Spika na mkuu wa mahakama ni Jaji mkuu.
Ni ukweli pia kuwa Rais huteua Jaji mkuu na majaji wengine wote.
Kadhalika Rais anaweza kumteua mbunge yoyote kuingia serikalini au kulivunja Bunge bila kuhojiwa na yoyote.
Sasa, kujitegemea/ kutoingiliwa kwa bunge na mahakama kuko katika maeneo gani ilhali juu yake yuko Rais?
Nawatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Ni ukweli pia kuwa mkuu wa serikali ni Rais, mkuu wa bunge ni Spika na mkuu wa mahakama ni Jaji mkuu.
Ni ukweli pia kuwa Rais huteua Jaji mkuu na majaji wengine wote.
Kadhalika Rais anaweza kumteua mbunge yoyote kuingia serikalini au kulivunja Bunge bila kuhojiwa na yoyote.
Sasa, kujitegemea/ kutoingiliwa kwa bunge na mahakama kuko katika maeneo gani ilhali juu yake yuko Rais?
Nawatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!