East Wind
JF-Expert Member
- Jun 17, 2020
- 2,812
- 6,036
Serikali hii nguvu ambayo mmeipatia TRA kuwa na uwezo wa kushirikia account za bank za wateja (wafanya biashara) na hata kuchukua pesa, muingalie, huenda hiyo nguvu (Authority) wanaitumia vibaya. Kama mnawapenda wafanya biashara na mnapenda waendelee mtawalinda 🌽🌽🌽
#Uzi tayari
#maendeleo haya chama
#Uzi tayari
#maendeleo haya chama