uwezo

  1. Tembosa

    JamiiForums Tanzania Tatizo la kupoteza uwezo wa kunusa (Kutosikia harufu): Fahamu chanzo na namna ya kutibu tatizo hili

    Mimi nina takribani siku 6 sasa, sijui harufu ya kitu chochote wala sisikii taste ya chochote. Siumwi homa, wala mafua. Hii ilitokea gafla tu baada ya kumeza Alu (mseto). Kuna wenzangu humu? Baadhi ya Maoni yaliyotolewa Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Influenza

    JamiiForums Tanzania Mkwasa: Wachezaji wa Yanga wamepoteza uwezo wa kumiliki mpira

    Kocha msaidizi wa Young Africans, Charles Boniface Mkwasa amesema amegundua mambo mawili, baada ya kuanza mazoezi ya kikosi cha klabu hiyo jana jioni. Kikosi cha Young Africans kilianza mazoezi ya kwanza jana jioni katika uwanja wa shule ya sheria, jirani na kituo cha daladala cha Ubungo...
  3. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, mwanamke aliyekeketwa ana uwezo wa kufika kileleni?

    Habari wakuu? Kuna swali huwa najiuliza nimeona nililete kwenu kwa majibu. Swali ni je mwanamke ALIYEKEKETWA anao iwezo wa kufika kileleni wakati wa tendo?
  4. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Uchawi na nguvu za giza katika nchi za SADC pamoja na uwezo wa Mitume na Manabii

    Nilikutana na dada mmoja Mnigeria, katika maongezi nilimfahamisha kuwa mimi ninatoka Tanzania. Tulipozidi kuzoeana aliniambia kule kwenu kuna namba mbovu sana ya uchawi, nilimjibu kuliko nyinyi? Alisema sisi ni waropokaji tu lakini uchawi mnaujua nyinyi ila hamjitangazi. Alinipa hadith fupi...
  5. beth

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Watafiti waanza kuifanyia majaribio dawa ya mitishamba ya Zedupex kubaini kama ina uwezo wa kutibu COVID-19

    Taasisi ya Utafiti wa Matibabu ya Kenya (KEMRI) inafanyia majaribio dawa ya mitishamba ya Zedupex kubaini kama inaweza kutibu COVID19 Dawa ya mitishamba ya Zedupex ilitengenezwa na watafiti nchini humo miaka mitano iliyopita (2015) na imekuwa ikitumika kutibu ugonjwa wa Herpes Kiongozi wa timu...
  6. Nazgur

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli aonesha uwezo mkubwa kwenye janga la Corona duniani

    Toka lilipoingia janga hili raisi alitoa msimamo kuwa watu waendelee ka kazi ila wachukue tahadali kwa kufuata mashrti yaliyowekwa na wizara ya afya. Pili, akasema hii ni vita hivyo tutmie kila siraha kupambana na huu ugonjwa, tutmie pia maombi na dawa za asili na kupiga nyungu ili kuutokomeza...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Yaliyotokea mpakani na Kenya, Zambia na Rwanda yanaonyesha haja ya umakini kwa Magufuli kuteua wakuu wa mikoa ya mipakani wenye uwezo wa kidiplomasia

    Nakumbuka katika kuteua wakuu wa mikoa muda fulani uliopita, Raisi Magufuli alisema kwamba alikuwa akiteua wakuu wa mikoa ya mipakani wengi wakiwa wanajeshi ili kusaidia katika suala la ulinzi mipakani. Lakini sasa, migongano na nchi jirani za Kenya, Zambia, Rwanda na hata Uganda zimetufundisha...
  8. The Palm Tree

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Rais Magufuli Vs Freeman A. Mbowe

    Nimezitazama na kusikiliza hotuba zote za viongozi hawa wawili kupitia YouTube. Ya Mbowe nimeisikiliza na kuitazama kupitia MwanaHalisi Youtube Channel na takwimu zinaonesha kuwa imesikilizwa na kutazamwa na watu 1,300,000+ hadi kufikia leo tarehe 17/5/2020 saa 5:50 usiku. Ya Rais Magufuli...
  9. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Virusi vya Corona: Zanzibar Yapokea Mashine Yenye Uwezo wa Kupima Watu 288 kwa Siku

    Zanzibar imepokea mashine moja yenye uwezo wa kupima sampuli 288 kwa saa 24. Mashine nyingine mbili zilizoagizwa zitafika nchini humo muda wowote kuanzia sasa. Zanzibar iliazimia kuwa na Maabara ya kisasa ya kupima COVID19 nchini humo ili wasiwe wanatuma sampuli kwenye maabara zilizoko Dar es...
  10. shakur kimboka

    JamiiForums Tanzania Kupoteza uwezo wa kunusa yaweza kuwa/ni dalili za mwazo za COVID19

    Kama kichwa kinavyojieleza hapo zaidi ya 70% ya confirmed cases za corona virus wagonjwa walipoteza uwezo wao wakunusa na kutest ladha kabla hata ya kuanza kuumwa === UFAFANUZI KUTOKA KWA WATAALAMU KUHUSU DALILI HII Je kupoteza ladha na harufu ni dalili ya coronavirus...
  11. introvert

    JamiiForums Tanzania COVID-19: Uwezo Dhaifu wa Serikali

    WanaJF, Tanzania, kama nchi nyingine zote duniani zinapitia changamoto ya Coronavirus. Hapa kwetu, kwa bahati ya pekee kabisa, tumepata nafasi ya takribani miezi miwili mitatu kujiandaa. Unategemea Serikali yenye wasomi kuwa na mpango wa kudhibiti tatizo hili na kulinda maisha ya raia wake na...
  12. Da'Vinci

    JamiiForums Tanzania Uwezo wa kujenga hoja wa mashabiki wa Ali Kiba unasikitisha na kuhuzunisha

    Mimi ni mshabiki halisi wa CEO na mwanamuziki Diamond platinumz, nimejitahidi sana kumantain principle hiyo niliyoieleza hapo juu kwa msanii huyu ila nimeshindwa maana anapendwa na watu wengi sana ila tofauti na watu wengine wengi mimi na wengine wachache ninamkubali zaidi mtu huyu kutokana na...
  13. Kafrican

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuanzia wiki ijayo, Kenya itakuwa na uwezo wa kupima sampuli 35,000 za Korona kwa 24Hrs kutoka sampuli 600

    Hizi ni mashini ambazo zilikua zilinunuliwa kufanya mass rapid testing ya TB na HIV, mashini hizo saba zimewezesha Kemri kuwa na uwezo wa kufanya test 2 Million za HIV ndani ya wiki. Lakini zilikua zinahitaji software mpya ya kuzifanya ziwe zinaweza kupima corona automatickly, software ho mpya...
  14. Dr Mathew Togolani Mndeme

    JamiiForums Tanzania Teknolojia ya 5G na Chanzo cha Covid-19: Nadharia Njama (Conspiracy Theory) yenye maswali mengi

    MUHTASARI Mlipuko wa Covid-19 unasambaa ukiambatana na taarifa nyingi zisizo sahihi au za kupotosha. Taarifa hizi zinatengenezwa, ama kwa watu kukosa uelewa sahihi wa jambo wanalolizungumzia au kwa makusudi, kama “Nadharia Njama” (Conspiracy Theory). Mojawapo ni Nadharia Njama inayohusianisha...
  15. T

    JamiiForums Tanzania USA yaonyesha uwezo mkubwa dhidi ya COVID-19

    Taifa kubwa na lenye nguvu zaidi ulimwenguni, yaani USA linaendelea kuonyesha uwezo wake wa kimedani dhidhi ya janga la COVID-19. Jana kiranja mkuu wa Taifa hilo ametuma ujumbe kwenye mtandao wa Twitter kuwa adui asiyeonekana atakabiliwa hivi karibuni: Ujumbe huo umefuatiwa na habari...
  16. The Assassin

    JamiiForums Tanzania Kwanini Serikali huwa inatangaza bajeti kubwa kuliko uwezo wa makusanyo na vyanzo vya mapato?

    Nilikuwa najisomea taarifa ya mkaguzi wa hesabu za Serikali kwa mwaka 2018/2019, hizi taarifa zinaonyesha serikali ya wanyonge inavyodanganya wanyonge wake. Serikali ya wanyonge imekua ikitaja bajeti kubwa sana lakini uhalisia unaoneysha kua hizi taarifa ni kama vile hua zinaandaliwa na watu...
  17. Prof T Johannes Chacha

    JamiiForums Tanzania Uwezo wa wataalam wa Bioteknolojia na Microbiolojia

    Kuna mdau wa JF alisema hawawezi tengeneza dawa. Ok Nitaelekeza kwa mifano Hakuna pharmaceutical compound inayoweza tumika kwenye mwili bila kua na knowledge ya drug target (receptors, ligands, Au microbial cellular parts kama cell walls, plasma membrane, Nucleus, au nucleic acid target) na...
  18. Tajiri Tanzanite

    JamiiForums Tanzania Karibu ununue mitambo ya solar,yenye uwezo mkubwa wa kuendesha Tv nchi 19, 24 na 32, pia inauwezo wa kuhudumia bulb mpaka 16

    Hapo vip! Hii ni mitambo inayotengenezwa Marekani ni mitambo Bora na imara kuliko mitambo ambayo umeshawahi kutumia kutoka katika makampuni mbalimbali. sifa ya mitambo hii. -hata jua likiwa hafifu panel zake zinacharge betry kwa kasi ya kubwa. -Hata jua lisipo toka week nzima unapata umeme...
  19. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Corona: Wakati Tanzania imetangazwa mabasi yapakie level seat huko Kenya matatu zaagizwa kupakia 60% ya uwezo wake

    Jana serikali ilitangaza hatua za kudhibiti Corona katika vyombo vya usafiri na kuwataka wenye mabasi wote kupakia "level seat" Leo Waziri wa Afya wa Kenya ametangaza mabasi ya daladala (matatu) kupakia abiria 60% ya uwezo wake akisema yale ya abiria 25 yapakie 15, yale ya abiria 20 yapakie 12...
  20. mathsjery

    JamiiForums Tanzania Kwanini hakukuwa na haja ya mwanadamu kuwa na uwezo wa kunusa kama wanyama?

    Nimekuwa nikisikia watu wanasema kuwa wanyama wanaitambua harufu ya mwanadamu, kwa kuwa nilishindwa kujigeuza kuwa kama mnyama, imekuwa ngumu kuielewa hii hadithi, naitaji ufafanuzi kama kuna tafiti ziliofanyika kulitambua hili nizifahamu, lakini pia kama ni kweli kwanini wana uwezo huo na...
Back
Top Bottom