uwezo

  1. beth

    Serikali yatoa tahadhari ya Virusi Corona, yasema hakuna mgonjwa Tanzania

    Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto imetoa tahadhari ya mlipuko wa ugonjwa wa homa ya mafua makali unaosababishwa na kirusi aina ya Corona, uliozikumba nchi za China, Thailand, Japan, Korea Kusini na Marekani. Wizara imesema kuanzia Desemba mwanzo mwaka jana wamekuwa...
  2. Masokotz

    Je wewe ni mjasiriamali ama ni Muwekezaji-Jua eneo lako na uwezo wako

    Katika ulimwengu kila mtu analo jukumu na nafasi yake.Kutambua nafasi yako kunaweza kukuwezesha kufikia mafanikio kwa muda sahihi na kufurahia maisha.Katika biashara na maendeleo huwa kuna aina mbalimbali za watu ambao hushiriki katika kupeleka gurudumu la maendeleo mbele. Kuna kundi la...
  3. Miss Zomboko

    Samsung yatengeneza binadamu wasio halisi wenye uwezo wa kufanya kazi kama binadamu wa kawaida

    Kampuni ya Samsung kushirikiana na Advanced Research Lab (Star Lab) wamefanikiwa kutengeneza watu wasioasilia ambao watakuwa wanafanana na binadamu katika maeneo mbalimbali ya miili yao kama sura na muonekano, kuonyesha hisia, tabia na akili na pia wana uwezo wa kuzungumza na kubadilishana nae...
  4. K

    Uwezo wa vifaa vya kijeshi vya Mmarekani kutazamwa upya?

    Hivi inawezekana vipi makombora dhaifu ya Muiran yaweze kupenya mifumo imara ya ulinzi wa anga ya Marekani bila kukumbana na kizuizi chochote. Kama hili limewezekana basi siku za taifa teule hapo mashariki ya kati zitakuwa zinahesabika.
  5. S

    Msanii tajiri jiingize kwenye siasa pale uwezo wako unaposhuka kama ambavyo wanasoka maarufu huhamia ligi za Uarabuni au Asia kumalizia soka lao

    Wewe kama ni msanii mwenye mafanikio makubwa na uliepata utajiri au fedha nyingi kupitia fani yako, kamwe usijingize kwenye siasa wakati bado uko kwenye chati, bali fanya hivyo pale amapo umri unapokutupa mkono kutumikia fani yako, au pale kiwango chako kinapoanza kuporomoko kwa maana ya uwezo...
  6. YEHODAYA

    Watu waliokulia mazingira magumu wana uwezo mkubwa kwenye masomo ya sayansi kuanzia digrii ya pili

    Kuna uhusiano mkubwa kati ya uwezo wa kimasomo ya sayansi na maisha magumu aliyokulia mtu. Kwa utafiti wangu mdogo nimegundua wengi ambao huwa na stamina na uwezo wa kusoma digrii ya pili na ya tatu ya masomo ya sayansi hapa nazungumzia "pure science" sio digrii za sayansi za arts kama...
  7. M.Rutabo

    Mwenye uwezo wa kunipa mchongo wa kazi. Nina Shahada ya Fedha, Mipango na Uwekezeji (Bachelor Degree in Finance and Investment Planning)

    Wakuu nafahamu hapa JamiiForums kuna watu wenye connection mbalimbali, tafadhali sana kama mnaweza kunisaidia kwenye jambo hili maana nahisi kama sijaitendea haki field yangu.
  8. Miss Zomboko

    Anzisha mfumo wa kusimuliana na mtoto stori kupitia kitabu alichosoma ili kumjengea uwezo wa kusimulia jambo na kuweka kumbukumbu

    Katika zama hizi za sayansi na teknolojia usomaji wa vitabu hasa kwa nchi zinazoendelea bado umekuwa mdogo ukilinganisha na zile zilizoendelea. Lakini kupitia kusoma vitabu ndipo kizazi chenye uwezo mzuri wa kupambanua mambo na kuyaelezea kwa undani kinapopatikana. Swali la kujiuliza ni kwa...
  9. Kinoamiguu

    Wazazi wasioweza kulipa ada ya shule za msingi na sekondari Tanzania, wanapata wapi uwezo wa kulipa mamilioni ya ada za vyuo vikuu?

    Wanajamvi habari za mapumziko. Nikiri kwamba mimi nilisoma Mlimani, naumia sana nikisikia serikali hii inayonunua mindege inashindwa kuwakopesha wanafunzi kwa wakati. Nikiri kwamba nilikuwepo na niligoma na kuandamana haswa pale mwaka 2004, serikali ya srlikali ya CCM chini ya Mzee Mkapa...
  10. Pascal Mayalla

    Wanawake Tanzania ni Duni/Dhaifu Kiongozi, Kama Si Duni/ Dhaifu na Wana Uwezo Sawa na Wanaume, Viti Maalum vya Nini?

    Wanabodi, Nimeiangalia hii picha ya wanawake hawa wa wenzetu, na age zao, nikajiuliza sana kuhusu sisi Tanzania na wanawake wetu katika nafasi za uongozi wa kisiasa, tatizo ni nini?. Jee wanawake wetu Tanzania ni duni au dhaifu Kiongozi wa siasa?. Kama wanawake wetu si duni na si dhaifu na...
  11. Sky Eclat

    Gadgets zimewapotezea watoto uwezo wa kuandika kwa mkono

    Dunia ya utandawazi imerahisisha sana elimu. Siku hizi mtoto kujua jina la mji mkuu wa Zambia hahitaji kusoma vitabu library, ana Google tu search engine inampa jibu. Pamoja na hayo matumizi ya computer, smart phones, tablets nk yamepunguza uwezo na ushawishi wa vijana na watoto kuwa na...
  12. H

    Hamisi wa Bongo Star Search uwezo wake mdogo

    Leo niliangalia marudio ya Bongo Star Search ya Jumapili nimeona kabisa huyo Hamisi uwezo wake wa kuimba ni mdogo sana wakati wenzake uwezo wao ni mkubwa. Na amshukuru Mungu kufika hatua ya 10 Bora, hakustahili kufika hatua hiyo. Ifike kipindi watanzania tuache unafiki pale Bongo Star Search...
  13. Da'Vinci

    The undisputed and magnificent artists: Wasanii wenye uwezo mkubwa zaidi Bongo

    Salute. Wagiriki wana msemo wao unaitwa πολυμαθής "polymaths" wakimaanisha aliye na elimu pana au ni mtu ambae anauwezo mkubwa katika mambo mbalimbali, anaweza kusovu mafumbo na kutatua au kutengeneza mambo magumu. Unapotaja polymaths basi unakua unamtaja Leonardo Davinci baba wa vipaji...
  14. Hashpower7113

    Foldable smart phones: Simu janja zenye uwezo wa kukunjika kirahisi

    Dunia inakwenda kwa kasi sana! Teknolojia ya mawasiliano nayo inazidi kubadilika kila kukicha. Miaka kadhaa iliyopita, hakukuwa na simu janja! Smart phones. Wajanja wote walikuwa wanatumia simu za ‘buttons’, na ili uonekane mjanja zaidi, unaivaa kiunoni! Mapinduzi makubwa katika sekta ya...
  15. C

    Suala la Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na Vipengele kadhaa vya Kisheria

    Nafahamu kwamba watu wengi wameanzisha threads wakijaribu kuelezea suala la CAG Kisheria! Hata hivyo, wengi wao kama sio wote walichofanya ni kurundika vifungu vya kisheria bila kutoa ufafanuzi! Mbaya zaidi, hawatoi ufafanuzi wa matumizi ya neno SHALL kwa mujibu wa sheria zetu! Nimelazimika...
  16. isajorsergio

    Zero IQ mtayarishaji wa JF-HardTalk umepotea nini tatizo?

    Ndugu Zero IQ mratibu, muandaaji na mtayarishaji wa JF Hardtalk umepotea ni muda sasa nini tatizo?! Uhitaji wa hardtalk ungali upo kwa sababu ilianza kusaidia kuwatambua wana-JF uwezo, mitazamo na maono yao kwa uwazi mkubwa. Ndugu Zero IQ kama ulisitisha muendelezo wa hardtalk tafadhari anza...
Back
Top Bottom