tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. Mngurimi

    JamiiForums Tanzania Niombe sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022, zichukuliwe takwimu kubaini ni klabu gani ya mpira yenye mashabiki wengi Tanzania

    Habari za wakati huu wadau wa JF. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Mara nyingi katika vyanzo mbalimbali vya habari na tambo za mashabiki wa mpira nchini, kumekuwa na majivuno baina ya mashabiki wa timu mbili hapa nchini (Yanga & Simba) ambao hujitapa huku kila shabiki akidai kuwa...
  2. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania NHLS ECHO Program Officer at Tanzania Health Promotion Support (THPS)

    OVERVIEW Tanzania Health Promotion Support (THPS) is an indigenous NGO established under nongovernmental organization act No 24 of 2002 in 2011. THPS works in partnership with the Ministries of Health Community Development Gender Elderly and Children (MoHCDGEC) and Regional Administration and...
  3. J

    JamiiForums Tanzania Tanzania inahitaji 'Kinjekitile Ngwale' wa karne hii

    Habari wanajamvi! Mambo yanayo endelea Nchini yamewakera watanzania kupita maelezo. Wamekereka na kukereka vibaya mno.Awamu ya tano ndio imetia fora. Nitafafanua na mwishoni nitaeleza ni kwanini Tanzania inahitaji Kinjekitile Ngwale wa kizazi hiki. Mapema 2016 maelfu ya wakazi walibomolewa...
  4. mkiluvya

    JamiiForums Tanzania Tanzania yapongezwa Mapambano Dhidi Ya Virusi Vya Corona

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Prof. Pamalagamba John Kabudi (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Ufaransa nchini, Mhe. Frederic Clavier ambapo pamoja na mambo mengine, Balozi Clavier ameipongeza Tanzania kwa hatua ilizochukua kupambana na janga a...
  5. Mzalendo2015

    JamiiForums Tanzania Dunia inashuhudia Tanzania ikionesha maajabu!

    Tanzania inaendelea kuishangaza dunia kwa maajabu yanayofanyika tokea kuzuka kwa Ugonjwa wa Covid-19! Chini ya Rais wake John Pombe Magufuli: Tanzania ilikataa kwenda Lockdown. Tanzania ilikataa kufunga mipaka kuhofia Uchumi kuporomoka. Tanzania ilikataa kufanya vipimo vya Covid-19 kwa kudai...
  6. Geza Ulole

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya barred ethanol from Tanzania

    ===== KRA intercepts ethanol worth Sh6m at Kenya-Tanzania border (KRA) has intercepted 20,000 litres of ethanol concealed under a bag of potatoes at the Kenya-Tanzania border in Namanga. The Kenya Revenue Authority (KRA) has intercepted 20,000 litres of ethanol concealed under a bag of...
  7. J

    JamiiForums Tanzania 30% ya wagonjwa wa Corona duniani wako Marekani, Tanzania yakanusha hospitali zake kuzidiwa na wagonjwa

    Takwimu za WHO zinaonyesha kuwa 30% ya wagonjwa wote wa Corona duniani wako Marekani. Kadhalika Tanzania imekanusha taarifa za ubalozi wa Marekani kuwa hospitali zimexidiwa na wagonjwa wa Corona. Serikali imesema maambukizi ya Covid 19 yamepungua sana na wananchi wanaendelea na shughuli zao...
  8. CHIPESI NAMISUKU

    JamiiForums Tanzania Tanzania ni Taifa kubwa, tusiyumbishwe

    Miaka ya 1776 Jasusi wa Kimarekani William Carmichael alitumwa na Taifa lake kwenda kutafiti na kujua ni kwa namna gani USA inaweza kuteka soko la Tumbaku Duniani ambalo lilikuwa limeshikiliwa na bara Ulaya. Kipindi hicho Ukraine ilikuwa ikizalisha tumbaku Bora kabisa na nyingi Duniani. Jasusi...
  9. sky soldier

    JamiiForums Tanzania Almasi inang'aa: Diamond yumo katika video tisa (9) zinazotrend Tanzania Youtube

  10. Influenza

    JamiiForums Tanzania Rasmi: Ligi Kuu Tanzania Bara kuendelea Juni 13

    Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi, Almas Kasongo amesema Ligi Kuu Tanzania Bara itaendelea kuanzia Juni 13, 2020 baada ya kusimama kwa zaidi ya miezi 2 Amesema ratiba ya kuendela na Ligi hiyo iliyosimama kutokana na janga la COVID19, itatolewa wiki hii Jumapili, Mei 31, 2020
  11. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wachina wacharanga Watanzania mapanga ndani ya Tanzania

    Halafu mbaya zaidi, walisaidiana na Watanzania wengine kukatakata wenzao kwa mapanga, ama kwa kweli Watanzania mumekua aibu ya Afrika. ====== POLISI mkoani Mbeya inawashikilia watu nane, wakiwemo raia watano wa China, kwa tuhuma za kujeruhi Watanzania wawili kwa kuwacharanga na sime, baada ya...
  12. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Vyombo vya Habari vya Kimataifa vinapata faida gani kuzusha uongo kuihusu Tanzania na Rais Magufuli ?!. Angalia uongo/uzushi wa The Guardian la UK!

    Wanabodi, Wanabodi, kila nipatapo fursa huwa ninawaletea makala ndefu za Kwa Maslahi ya Taifa, hivyo leo nimepata fursa tena naendelea na zile makala zangu za kuhamasisha uzalendo kwa jina la "Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo zinaendeshwa kwa mfumo wa maswali, leo nazungumzia media za kimataifa...
  13. chiembe

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Tanzania iwafukuze mabalozi wa Marekani na Uingereza kwa kuingilia mambo ya ndani ya nchi yetu

    Inafahamika kwamba taarifa kuhusu korona zinatolewa na Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu. Balozi za Uingereza na Marekani zinatoa vipeperushi na kusambaza dunia nzima kwamba Dar es Salaam na maeneo mengine nchini, corona imetapakaa na mahospitali yamezidiwa wagonjwa. Kauli hizi zinaingilia...
  14. B

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa Tanzania na China live ktk TV mada: Covid-19

    May 27, 2020 Covid-19 Frontline live on CGTN TV Madaktari wa Kitanzania na China wazungumzia uzoefu wakihojiwa Live na Televisheni ya kimataifa ya CGTN Habari nzuri madokta waTanzania toka Prof. Mohammed Janabi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, Dr. Charles Hospitali ya Kairuki Memorial Dsm...
  15. Influenza

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Uganda yatangaza Visa vipya 31 vya COVID19, visa 16 ni Watanzania

    Uganda imetangaza Wagonjwa 31 wapya wa #COVID19 waliopatikana baada ya sampuli 1,116 kupimwa ndani ya saa 24 zilizopita na kufanya jumla ya maambukizi kufikia 253 Wagonjwa 23 ni kutoka mipakani ambapo sampuli 896 zilichukuliwa na 8 ni waliopimwa wakiwa Karantini baada ya kukutana na madereva...
  16. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Habari Njema Kutoka Barrick Gold kwa Watanzania, Tunaanza Kufaidi Rasilimali Zetu, Donge Nono la Dola Milioni 100 zalipwa

    Wanabodi, Hatimaye Tanzania sasa tunaanza kufaidi rasilimali zetu za madini, ambapo leo, donge nono la dola za Marekani milioni 100, zimelipwa kwenye kile kibubu chetu pale kwenye ule mfuko Mkuu wa hazina ya serikali kama advance payment ya kile kishika Uchumba cha dola milioni 300, ambacho...
  17. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Program Manager II - Tanzania Evergreening Initiative at Catholic Relief Services

    Job Summary The successful candidate will manage and provide technical oversight of the development and implementation of the Land Restoration Initiative, a constellation of projects under the Global Evergreening Alliance (GEA). CRS Tanzania will work in consortium with four partners to...
  18. Mshiiri

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kufungua akaunti ya paypal na usalama wake

    Dear all Have registered for a new paypal account using the CRDB debit card and that my account was charged by paypal US$ 1.95 and the code sent to the bank. On requesting the bank statement I do not get the paypal code but the transaction code through my bank. How one get the PAYPAL CODE...
  19. Keynez

    JamiiForums Tanzania Je, tumeamua kuifanya Tanzania kuwa ‘a pariah state’?

    Katika miaka ya hivi karibuni, kuna mambo mengi sana yamefanyika nchini Tanzania ambayo yamerudisha nyuma sana juhudi za kujenga jamii iliyostaarabika, inayojiheshimu na inayoheshimika. Leo sitamnyooshea kidole yoyote kwa lawama hizi ila naomba nigusie tu madhara ya kuwa ‘a pariah state’. Kwa...
  20. J

    JamiiForums Tanzania Prof. Patrick Lumumba: Tanzania chama cha siasa ni CCM tu hivyo vingine ni vikundi vya wanaharakati visivyo na Filosofia wala Falsafa

    Mchambuzi wa maswala ya siasa duniani aliyesoma chuo kikuu cha Dsm Prof Patrick Lumumba amesema CCM ni chama cha siasa kilicho na filosofia na falsafa. Prof Patrick amesema Chadema na Cuf ni vyama vichanga ambavyo bado viko katika harakati za " kutengeneza" filosofia na falsafa za taasisi zao...
Back
Top Bottom