tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. Bata batani

    Ni kabila gani linaloongoza kuwa na watu wabunifu, wagunduzi wa vitu na wenye akili

    Nipo kwenye sehemu hapa kuna watu wanabishana eti ni kabila gani hapa tanzania lenye vijana ambao wabunifu,wenye akili sana na wenye vipaji vya ugunduzi wa vitu..... Mfano / kuna wanasema sisi kabila ...yy tumegundua vitu xx jee wewe unasemajee
  2. M

    Benki ya Dunia yaishauri Tanzania kuwekeza kwenye elimu na afya

    Wakati serikali hii ya Rais Magufuli inajisifia kununua ndege na white elephant projects nyingine, World Bank wametoa ushauri kuwa mkazo uwe kwenye elimu na afya ili kuboresha human resources. Jisomee hapa: ==== Tanzania Needs to Urgently Invest in the Health and Education of its Youth – New...
  3. Jamii Opportunities

    New Job Vacancies at Vodacom Tanzania, Administrator: M-PESA Agents | Deadline: 01st November, 2019

    Jobs in Tanzania: New Job Vacancies at VODACOM Tanzania, 2019 AJIRA TANZANIA 2019 / NAFASI ZA KAZI 2019 Position: Administrator: M-PESA Agents - MPESAN JOB PURPOSE The M-PESA Agent Administrator will be responsible to assist the M-PESA support Managers deliver against M-PESA revenue targets...
  4. Jamii Opportunities

    New internships opportunities at International Organization for Migration (IOM) - Tanzania

    New Internships Vacancies at International Organization for Migration (IOM) - Tanzania | Deadline: 06th November, 2019 AJIRA TANZANIA 2019 / NAFASI ZA KAZI 2019 CVAC Intern - [1 Position] Dar es Salaam, United Republic of Tanzania] TERMS OF REFERENCE I. POSITION INFORMATION Vacancy...
  5. GAS STATE

    Ex-soldiers na elimu yetu ya Tanzania

    Asalam wakuu Kwa wale waliobahatika kusoma elimu ya sekondari nchini mwetu kuna somo moja la historia, ndani yake kuna sura moja maarufu ya harakati za kudai uhuru barani Afrika ikiwemo Tanzania/Tanganyika. Harakati hizi zilichochewa na sababu kadhaa za ndani ya nchi na nje ya nchi, mojawapo...
  6. njiwaji

    Piga kura kuchagua jina la sayari-nje ya Tanzania

    Piga kura kuchagua jina linalofaa kwa sayarinje ya Tanzania Sayarinje ni sayari zinazozunguka nyota ambazo zipo nje ya mfumo wa Jua. Tanzania tumepewa fursa ya kuipa jina sayarinje mojawapo iliyogunduliwa karibuni. Wanafunzi wa shule na wanavikundi mbalimbali wameshindanishwa kupendekeza...
  7. diana chumbikino

    Tanzania yaingia ‘Top Ten’ mazingira bora uwekezaji Afrika

    TANZANIA imeshika nafasi ya saba, katika nchi 20 zenye mazingira bora ya uwekezaji barani Afrika. Anaripoti Faki Sosi . Akizungumza na wanahabari leo tarehe 28 Oktoba 2019, Geofrey Mwambe, Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC) amesema, utafiti huo huria uliofanywa na Kampuni...
  8. Dua

    Tanzania Q2 GDP growth rises to 7.2 pct v 6.1 pct

    Tanzania Q2 GDP growth rises to 7.2 pct v 6.1 pct -statistics bureau (Reporting by Fumbuka Ng’wanakilala Editing by Maggie Fick) Huwezi ukabeza juhudi za JPM anayeongoza Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya chama shupavu cha CCM. Hapa Kazi Tu. === Tanzania Q2 GDP growth...
  9. Jamii Opportunities

    16 New Government Job Vacancies UTUMISHI at Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA) | Deadline: 07th November, 2019

    THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA PRESIDENT’S OFFICE PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT Ref.No.EA.7/96/01/K/96 25th October, 2019 VACANCIES ANNOUNCEMENT On behalf of Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA), Public Service Recruitment Secretariat invites qualified Tanzanians to fill 16 vacant...
  10. Jamii Opportunities

    8 new volunteering opportunities at SNV tanzania | deadline: 03rd november, 2019

    Jobs in Tanzania 2019: New Volunteering Opportunities at SNV Tanzania, 2019 AJIRA TANZANIA 2019 / NAFASI ZA KAZI 2019 Job Title: Volunteers (8 Posts) Job Summary The volunteers will be placed at project boundary partners’ stations in the dairy and sunflower markets systems. The boundary...
  11. GENTAMYCINE

    Zimebaki siku chache tu Taifa la Tanzania liingizwe katika aibu kali ya kufungia huu mwaka wa 2019 huko Misri

    Na tarehe husika ya hiyo ‘ Aibu ‘ ni ama tarehe 1 Novemba au tarehe 3 Novemba huko nchini Misri. Na labda mapema tu hii tuanze Kuiomba Serikali kupitia Wizara husika ya Michezo ianze Kuwaandaa Watanzania ‘ Kisaikolojia ‘ na ikiwezekana hao ‘ Mabalozi ‘ wetu watakasafiti kututia ‘ Aibu ‘ huko...
  12. Zitto

    Mradi wa Bagamoyo: Hujuma Tanzania na ushindi kwa Kenya na Rwanda

    Nasubiri Bandari Kubwa ya Lamu izuie Bandari Ndogo za Dar na Mombasa: Namna Maarifa Madogo Yanavyoiua Bandari ya Bagamoyo na Kuifaidisha Kenya Kumekuwa na mijadala mikali kuhusu Mradi wa Eneo la Kiuchumi la Bagamoyo. Mjadala huo wenye malumbano ya kurushiana shutuma umekuwa mjadala mbovu sana...
  13. Influenza

    Mwanariadha wa Tanzania ashinda medali ya silver katika mashindano ya riadha ya majeshi

    Mwanariadha Alphonce Simbu amefanikiwa kushinda medali hiyo katika Mashindano ya Majeshi ya Dunia yanayoendelea nchini China. Mwanariadha huyo ambaye ni Mwanajeshi wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania, alikimbia Marathon kwa saa 2:11:16 huku akiwashinda wakimbiaji wengine 95 kutoka nchi...
  14. stakehigh

    Oil dealers now prefer Dar es Salaam over Mombasa port

    Oil dealers now prefer Dar es Salaam to Mombasa port By OTIATO GUGUYU The $60 tariff per 1,000 litres on transported fuel through Kenya Pipeline is costing Kenya revenue as landlocked countries turn to Tanzania’s Central Corridor. The value of Kenyan petroleum exports have dropped...
  15. elivina shambuni

    Tanzania yataka vikwazo dhidi ya Cuba na Zimbabwe viondolewe

    SERIKALI ya Tanzania imelaani vikwazo vya kiuchumi vilivyowekwa na Serikali ya Marekani dhidi ya Cuba na Zimbabwe kwa sababu vinadhoofisha biashara, uwekezaji na ustawi wa wananchi na imetaka vikwazo hivyo viondolewe. Tamko hilo limetolewa (Jumamosi, Oktoba 26, 2019) na Waziri Mkuu Kassim...
  16. ChoiceVariable

    Ni nchi zipi ungependa uishi tofauti na Tanzania?

    Habari wakuu Mada hapo juu yahusika..Binafsi ukiacha Tanzania nchi zifuatazo napenda kuishi mazima 1.Canada, Naipenda tuu kwa kuwa huwa sisikii matukio yoyote ya ubaguzi kuuana vurugu za kisiasa nk.Kiufupi napenda sana Canada hata uchumi uko stable 2.Australia Hii nayo ina sifa kama za Canada...
  17. APA CHICAGO

    Costantine John Kanyasu one of the smart politician in Tanzania

    Huyu ni Naibu Waziri wa Wizara ya Mali Asili na Utali. Ni mmoja wa wanasiasa smart hapa Tanzania asiyekuwa na maneno mengi yeye ni Hapa kazi tu. Hongera sana Mheshimiwa Kanyasu.
  18. cheusimangala_

    Michezo ni chachu ya muungano wa Tanzania

    APRILI 26 mwaka huu Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaadhimisha miaka 54 ya Muungano, tangu kuungana kwa iliyokuwa Jamhuri ya watu wa Zanzibar na ile ya Tanganyika, na kupata jina moja la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Muungano huo ulisimamiwa vyema chini ya viongozi wawili marehemu mzee...
  19. Kanungila Karim

    Chozi la nchi yangu Tanzania

    Tanzania ni Jamhuri, na ni muungano wa nchi 2, yaani Tanganyika na Zanzibar,kabla ya mwaka 1884, hapakuwa na historia ya nchi iliyoitwa Tanzania, isipokuwa zilikuwa ni tawala cha kichifu, kitemi kutegemeana na makabila ya maeneo mbali mbali yalipopatikana katika eneo ambalo hapo baadae liliitwa...
Back
Top Bottom