Shetani (kwa Kiebrania שָׂטָן Satan, kwa Kigiriki Σατανᾶς Satanâs, kwa Kilatini Sátanas) ni jina linalomaanisha "Mpinzani"; "Mshtaki".
Shetani anajulikana pia kama Ibilisi (kutoka Kigiriki Diabolos, -ou, "Anayetenganisha"), Mtawala wa giza, Mkuu wa ulimwengu huu, Belzebub (jina la dhihaka kwa mungu Baal linalotafsiriwa "Bwana wa nzi"), Belial, Lusiferi (kutoka Kilatini Lucifer, "Mleta mwanga").
Kadiri ya imani ya dini mbalimbali, hasa zile zinazokubali ufunuo waliopewa Waisraeli, shetani ni malaika, roho, au mungu mdogo anayewakilisha uovu unaopingana na Mungu. Baadhi ya watu, kwa mfano Wakristadelfiani, hufundisha kwamba Shetani si nafsi hai, bali mfano tu wa uovu na dhambi.
Salamu kwa wote
Nakereka na tabia za mademu unamcheki ili aje ghetto mara pap jibu anaomba elfu 50 au laki, ukimchana kuwa baby nimeamka na nyegezi mdudu yuko juu naomba uje anakuunga na ombi la pesa , ajabu anakazia kutaka ombi lake la pesa lipite ila ukimuungia na ombi la kumwambia chap aje...
Kuna tofauti kubwa kati ya uwezo wa kufikiri na uwezo wa kukariri.
Ubongo usiokuwa na uwezo mkubwa wa kufikiri unapenda majibu mepesi.
Mfano unaweza kumwambia mtu mwenye akili ya kutosha kuwa, kuiba sio vizuri kwa sababu kuna matokeo mabaya kama kufungwa, kupigwa n.k na akakuelewa,
Ila mjinga...
Shetani Kwa asili yake siyo mbunifu hata kidogo, sisi ndiyo tunampa nguvu kwa kutengeneza mapepo wenyewe "inverting demons". Kipindi tunajitengenezea taswira na picha za uongo shetani hujificha nyuma ya picha hizo jambo ambalo hutufanya kukemea kuomba na kufunga roho ambazo kwa kweli hazipo.
Neno la Mungu linasema kuwa tusishindwe na shetani kwa kuwa mbinu zake shetani, tunazijua.
Shetani asije akapata kutushinda; kwa maana hatukosi kuzijua fikira zake.
2 Kor 2:11 SUV
Ni kweli kuwa kila mara mtu anapotaka kufanya dhambi, hujua kabisa kuwa hii niifanyayo ni dhambi na huridhia...
Hello!
Tangu kale na kale vijana, wazee, watoto na watu wa Rika zote wanakufa lakini sasa hii trending ya vifo vya vijana ina walakini.
Nimetafakari kwanini vijana wanakufa sana, kijana anakufa anawaacha wazazi wake wakiwa na nguvu, kijana anakufa anawaacha bibi na babu zake wangali hai...
Ujumbe wangu ni huo fanyeni utafiti, wachawi na wafuasi wa mashetani hawana utu na ubinadamu na mioyo yao haina huruma. Mbele ya mchawi binadamu yeyote ni chakula chao.
Wenye macho ya rohoni na utambuzi mtaongezea mengine.
Ni hayo tu
Wakuu hivi juzi nikataka na mimi nijaribu pigo za katibu mkuu wangu.
Ila sasa mimi sikutuma naniliu.
Nikaona niridhie mkutano na pisi moja hivi imesimama balaa.
Aisee kwanza alinipokea nikawa nasema tu OK 🆗. Sikujua kilichoendelea baada ya hapo mpaka kulikucha.
Nikaja kumbuka sikurudi kwa...
Hapo vip!!
Kwanza nikaanzie kwa kusema mwanaume anayempenda mwanamke na muona nimshamba na hajitambui.
Mimi sinto owa kwasababu siwezi kuishi na mwanamke...hiyo ndio salam.
Vitabu vya dini vimeweka wazi yakwamba mwanamke tokea awali ni muovu kwasababu Biblia inasema katika bustani ya edeni ni...
NA HAYA NDIO MAAMUZI YA MAHAKAMA YA RUFAA KATIKA KESI YA LENGAI OLE SABAYA.
Well,Kwanza Nitangulize Kusema kwamba Mahakama hii ya Rufaa ndio Mahakama ya Mwisho Kabisa katika Ngazi ya Maamuzi ya Kimahakama Nchini Tanzania, Shauri hili baada ya hapa limefungwa Rasmi....tuendelee..👇
Hili Ni...
Salaam.
Ama baada ya salamu mimi ni mzima, bukheri wa siha njema. Hofu na mashaka ni kwako wewe uliye mbali na upeo wa macho yangu. Nakutakia weekend njema.
Leo nataka nikuonyeshe tu kwa kidogo ni jinsi gani shetani amekuwa akitumia dini na vitabu vitakatifu kujinufaisha yeye zaidi kuliko kambi...
Hii haikuhusu wewe mlokole ambaye hauna ushirika yaani mchungaji wako akifa na kanisa linakufa wala wewe msabato ambaye tumaini lako katika wokovu linategemea mahubiri ya mabaya ya kanisa
Wapendwa katika bwana TUMSIFU YESU KRISTU
Bwana Yesu alisema
"
Mathayo 10:16
Angalieni, mimi nawatuma...
Kwanza naomba mods msihamishe uzi huu kwa kuupeleka kwenye jukwaa la dini maana nataka tumjadili huyu Shetani katika misingi ya maisha yetu ya kila siku na si katika misingi ya dini.
Naileta mada hii kwa tahadhari kubwa sana. Sina nia ya kumpromote huyu jamaa ila nadhani imefika wakati...
Ukisoma Biblia utaona kuwa mungu wa biblia sio mungu wa amani anayetaka watu waishi bila shida. Ni mungu wa mauaji na mateso.
Kuna analysis ilifanywa na wataalamu wa statistics kuona kati ya mungu na shetani, nani ameua watu wengi kwenye biblia.
Kwenye biblia nzima, kuanzia kitabu cha mwanzo...
Tena kwenye upande wa shetani wala hautahitaji Kumuomba kwamba unataka kujiunga na yeye, Yeye the moment unapo muacha Mungu yeye anajileta,
Kuamini Pekee kuwa Mungu yupo haitoshi, Fanya yafuatayo,
1. Zishike Amri za Mungu na uzifuate kama zilivyoandikwa katika Biblia bila kuacha hata moja na...
Shetani ni majini na watu.
Uzuri wa ushetani anabeba dhambi zake na kukuachia jukumu kwako ,kwa maana hakulazimishi,hakuvuti wala hakujui ,lengo lake ni kupata wenzake.
Ila siku ya siku atakapowekwa mbele ya hukumu atawauliza wafuasi wa jamii forums .Je niliwashika mkono na kukuvuteni ...
Same. Mwanafunzi wa darasa la sita shule ya msingi Majengo wilayani Same, mkoani Kilimanjaro Brian Elisha Godson (12) amejiua kwa kujinyonga akitaka kuigiza kama filamu ya kujinyonga aliyoipenda kuiangalia akiamini hatakufa.
Godson anadaiwa kufanya jaribio hilo kwa kujinyonga na shuka saa 12...
Dunia kuna nguvu kuu mbili, umepewa free will uamue, uwe kwa shetani au Mungu. Shetani ndie mungu wa ulimwengu huu kwa wasio na Mungu.
Matatizo shida vurugu kila kitu kibaya chanzo ni shetani. Kila lolote lililo baya lina uzuri ndani yake.
Maendeleo ya dunia ni matokeo ya shida, shida ndio...
Wadau hamjamboni nyote?
Naomba kujua kama upo ushahidi wa Maandiko kuthibitisha madai kuwa Shetani na Malaika zake baada ya uasi mbinguni waliamua kumlilia Mungu wao awasamehe ila aligoma?
Nimeweka nukuu ya Mama Hellen G White Nabii wa Wasabato hapo chini.
"After Satan was shut out of heaven...
Ukikaa ukafikiria karibia vitu vyote vinavotumika kutangaza neno la Mungu vinatengenezwa na watu wasio amini upande wa mungu au wanamwabudu shetani,
Mfano: Magari, vinanda, vipaza sauti, majenereta, magari, kiujumla ni kila kitu mpaka hizo mitambo ya kuchapisha hivo vitabu.
Inner peace is a new success.
Ndugu zangu wanadamu leo napenda nitoe elimu kidogo kuhusu suala la kuuza Nafsi au kwa kizungu selling your Soul. Binafsi naamini shetani yupo na pia shetani ni mjanja sana lakini watoto wa Mungu tunajua mbinu zake za kuwapoteza wanadamu.
Waefeso 6: 12 inasema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.