shetani

Shetani (kwa Kiebrania שָׂטָן Satan, kwa Kigiriki Σατανᾶς Satanâs, kwa Kilatini Sátanas) ni jina linalomaanisha "Mpinzani"; "Mshtaki".

Shetani anajulikana pia kama Ibilisi (kutoka Kigiriki Diabolos, -ou, "Anayetenganisha"), Mtawala wa giza, Mkuu wa ulimwengu huu, Belzebub (jina la dhihaka kwa mungu Baal linalotafsiriwa "Bwana wa nzi"), Belial, Lusiferi (kutoka Kilatini Lucifer, "Mleta mwanga").

Kadiri ya imani ya dini mbalimbali, hasa zile zinazokubali ufunuo waliopewa Waisraeli, shetani ni malaika, roho, au mungu mdogo anayewakilisha uovu unaopingana na Mungu. Baadhi ya watu, kwa mfano Wakristadelfiani, hufundisha kwamba Shetani si nafsi hai, bali mfano tu wa uovu na dhambi.
  1. Dalton elijah

    Maslahi ya mawakala sio maslahi ya umma, taifa wala sio uhifadhi

    Migogoro Wa Ardhi unaoendelea Ngorongoro umekuwa ukijengewa dhana kadhaa ili ikubalike na wengi. Mara ni Mpango wa kuokoa uhifadhi, mara kulinda masalia ya wanyama, mara kulinda vyanzo vya maji, mara kulinda malikale (labda Wamasai wasikanyage fuvu la kale au nyayo labda wanadhani Wamasai ni...
  2. M

    Fumbo za shetani 5:Hubiri ulichoitiwa

    https://youtu.be/koFZXcMWfAc?si=0zoWXSw-SWrm0wA7
  3. Manyanza

    P Didy nadhani ndio Shetani mwenyewe

    Duh huyu Mwamba nadhani ndio Shetani mwenyewe. Idadi ya mafuta ya vilainishi alivyokutwa navyo Picha kwa hisani ya Crown Media
  4. Mkwawe

    Asiyeamini hakuna shetani ana shida ya kiakili - Je CCM huioni?

    Inaniwia vigumu sana kuona watu wenye akili ya kawaida kupinga uwepo wa shetani Ni kama vile unaamini umeme upo, unaamini kitu kinachoitwa data (MB), ila je je ushawahi kuziona mb zenyewe rangi yake? Jibu hapana lakini watu tunaamini zipo. Sasa mnashindwaje kuamini shetani yupo? MB na umeme...
  5. Samia atosha tukutane2030

    Shetani kamwaga roho ya madeni ulimwenguni. Be careful

    Hello! Niliwahi kupost mada kama hii miezi michache iliyopita. Leo ninaipost tena baada ya kufanya utafiti tena na tena. Watu wengi wanadaiwa sio mchezo. Hata Mimi niliwahi kuvamiwa na roho ya madeni, madeni yanamsogeza mtu karibu na kifo, madeni huondoa amani katika familia. Katika mipango...
  6. waungwanaTz

    Simulizi za waungwana: Ukitaka kula na shetani tumia kijiko kirefu

    SHETANI Baada ya msoto wa muda mrefu, Chuwa alifanikiwa kupata kazi. Licha ya kazi hiyo kuwa na mshahara mkubwa na marupurupu yakutosha ila iliuweka rehani utu wa Chuwa kwa kumlazimisha,achangamane na watu walio kinyume na misimamo yake, maadili yake,tamaduni zake na kila jema alilolijua...
  7. Bob Manson

    Kudorora kwa muhimili wa familia na wimbi la kukataa ndoa ni ishara ya ushindi kwa shetani

    Habari za wakati huu wadau na wana familia wote..... Moja ya nguzo muhimu katika maisha ya mwanadamu ni familia, hata Mungu alipo muumba Adam aliona amekuwa mpweke na akamletea mwenza, pia mwisho akawaamuru waende wakaijaze dunia. Hivyo basi, njama au lengo kuu la shetani ni kusambaratisha na...
  8. B

    Pole shetani

    Mbinguni kuna hukumu,amewaita manani Malaika walo zamu,aridhi na samawini Idadi wameshatimu,walo watu na majini Umeonewa shetani? Mikao ni kwa kaumu,watu wa zama fulani mitume yao hashimu,ilotumwa duniani Wamekaa kwa nidhamu,kikao kiso amani Umeonewa shetani? Mkuu wa mahakimu,aliyeketi enzini...
  9. President of China

    Biblical Interpretation: Shetani siyo Lucifer, Lucifer ni Yesu (King James Isaiah 14:12 and Revelation 22:16)

    Leo wana JF ninaomba niweze kuelezea kwa kina jamboa ambalo limekuwa likisambazwa miaka na miaka ya kuhusu jina Lucifer. Lucifer ni neno la Kilatini ambalo ninaandikwa kwa herufi ndogo lucifer likiwa na maana ya the morning star the planet Venus au kwa lugha ya kiswahili Zuhura Mimi...
  10. Muisraeli

    Mgawanyiko wa makanisa, ni mbinu ya shetani?

    Kanisa likikuwa moja hapo awali, ilikuwaje tukapata mgawanyiko.? Mfano:Pentekoste, Orthodox na roman catholic, wasabato, nk. Mwenye uelewa atujuze.
  11. Lycaon pictus

    Mwanga wa Shetani huko Kilwa bado upo?

    Wakati wa ukoloni kulikuwa na mzungu mmoja aliyeitwa Ronald De La Bere Barker. Kwa majina mengine Mtawa Maporini au Mzee Rufiji. Alikuwa anaishi kwenye mapori ya karibu na mto Rufiji. Aliandika vitabu vingi sana kuhusu maisha yake na mambo aliyoyaona. Moja ya kitabu hicho ni juu ya Mwanga wa...
  12. MamaSamia2025

    Hii ni misemo ambayo inamrahisishia shetani kazi yake

    Kimsingi shetani yuko smart sana kiasi kwamba kumzidi ni ngumu. Hutumia binadamu wenyewe kufanikisha mambo yake. 1. "Fuata ninachosema usifuate matendo yangu" Hii mara nyingi ni kisingizio kinachotolewa na baadhi ya viongozi wa dini au watu wengine waliojipambanua kama wenye maadili bora. 2...
  13. M

    Yusuf Manji; kielelezo cha “malaika waliogeuzwa shetani”

    FEBRUARI 8, 2017, ilikuwa Jumatano. Paul Makonda, wakati huo akiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, alitaja orodha ya aliowatuhumu kuwa vigogo wa biashara ya dawa za kulevya Tanzania. Ilikuwa kutaja majina zigzaga. Taifa likazizima. Askofu Josephat Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima ndani...
  14. Extrovert24

    Wimbo wa kwaya Kumuhusu Shetani

    Habari za muda huu wakuu, Let's go Kwani yule aliyeimba "Shetani na Mama mkwe wake wanalia, Shetani na Mama mkwe wake wamekalia msumari" Alikuwa anawaza Nini Wakuu ???
  15. Brain Kingdom

    Shetani pacha wake pesa na warembo

    Shalom, Ukubali ukatae penye pesa shetani yupona penye warembo shetani katulia, sasa utaamua wewe na tafakari yako wewe upo wapi na shetani wako umekaa nae wapi. Ni kwa uchache naomba iwafikie Wadiz
  16. Nyanda Banka

    Pesa ni shetani

    PESA NI CHANZO CHA MAOV Watu wengi mno si waaminifu kabisa kwenye masuala ya PESA. Tatizo ni malezi au hii ni hulka tu tunayoiendekeza ukubwani? Hili janga limewahi kukukuta la mtu kukosa uaminifu? Ilikuwaje? Umewahi kudhulumu pesa ya mtu aliyekukopesha, aliyekupa ufanye kazi...
  17. D

    Hivi Mungu amemshindwa shetani kabisa? Basi shetani tumpe maua yake

    Haiwezekani mbinguni au katika ulimwengu tusiojua wanaishi viumbe wawili wanaoogopana. Sasa tutajua nani mwenye nguvu? Inasemekana shetani ni mbaya kama tulivyokalilishwa na Mungu lakini inakuwaje Mungu ashindwe kumuangamiza kama kweli Mungu hashindwi chochote? Hata wachungaji/mapadre wenyewe...
  18. Arnold Kalikawe

    Teknolojia inavyotusogeza karibu na Shetani, mbali na MUNGU

    Inafika kipindi inabidi tukubaliane na mabadiliko ya dunia hii. Hatuwezi kuishi kwenye dunia kama babu zetu ama nyani wa msituni. Ni lazima tukubaliane na matakwa ya dunia yanavyotutaka kwa sababu ndipo tunapoelekea na kulazimishwa kuishi. Watawala wa dunia kwanza walitutaka tuwe bize sana...
  19. NostradamusEstrademe

    Kila kitu sio kumsingizia shetani sasa sisi waumini tumwamini nani sasa kati ya shetani na viongozi wa dini tunaowategemea.

    HAYA NI MATUKIO MAWILI TOFAUTI YALIYOTOKEA WIKI ILIYOPITA Askofu Mkuu wa Makanisa ya Methodist, Joseph Bundala amejinyonga ofisini kwake kwa kutumia waya wa simu Chanzo mwananchi 17th May 2024 xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx . Inadaiwa, kabla ya kujinyonga Frateri...
  20. Sun Wukong

    Shetani pia hucheza nyimbo za injili

    Akitokea malaika mmoja ambae pia ni mbwa mwitu mwenye vazi la kondoo akianzisha pambio basi hata mqshetani mwenye huimba na kucheza Nachomaanisha ni hiki akitokea mwana JF kusema nina gari basi wote watakao comment ni kama vile wanamagari Akitokea mtu akasema ukimwi upo wote watakao comment ni...
Back
Top Bottom