Great Thinkers

JF's Great Thinkers' home | If you want to be enrolled, contact us
  • Sticky
Habari za wakati huu mabibi na mabwana, waungwana wote kwa ujumla, wale tulio kwenye mfungo, hongereni kwa hilo na natanguliza kheri na salamu za sikukuu ya Idi. Itakumbukwa kuwa Jumanne ya...
71 Reactions
51 Replies
83K Views
  • Closed
  • Sticky
Habari wana JF, Kama tulivyoahidi tarehe 19/11/2012 katika Jukwaa la Siasa (katika thread hii), leo tumemkaribisha Mhe. Mbunge wa Kigoma Kaskazini kupitia CHADEMA, Zitto Zuberi Kabwe kama mgeni...
69 Reactions
57 Replies
154K Views
Sehemu ya I Bandiko Duru: Hatima ya Muungano na dalili za kuvunjika mapema tulisema bila kura ya maoni na Katiba ,tuna ahirisha tatizo la Muungano kwa muda. Kuna 'utatu' wa ''Katiba, Muungano...
4 Reactions
31 Replies
2K Views
HISIA ZAJITOKEZA, UTAIFA WATAWALA ''WATANGANYIKA WAKITOA YA MOYONI HAPAKALIKI' WAZANZIBAR WATAWANYIKA, HAWANA KAULI, SASA NGUMI MKONONI SEHEMU YA I Ndugu wanaduru Bunge la katiba la CCM au...
23 Reactions
399 Replies
61K Views
Ni Mungu Zaburi 76:12 Yeye huzikata roho za wakuu; Na kuwatisha wafalme wa dunia. Mungu humtumia mtu yeyote amtakaye Kufanya jambo lake, Hata Farao wa Misri alitumikia shauri la Mungu pia kwa...
33 Reactions
0 Replies
2K Views
SHERIA YA LESENI MIAKA 45 Kauli ya waziri wa ujenzi, uchukuzi na mawasiliano Mh Isack Kamwelwe kuhusu umri wa madereva kuendesha malori na vyombo vya abiria imepamba habari za wiki hii Ni...
9 Reactions
21 Replies
10K Views
Pengine ukitoa Biblia na Quran, hakuna kitabu kingine kilichokuwa na impact kubwa katika maisha ya watu kama The communist manifesto. Miaka ya katikati ya 1800 wakomunisti ndiyo walikuwa magaidi...
15 Reactions
11 Replies
4K Views
MGOGORO WA NCCR CHADEMA WACHUKUE TAHADHARI Mgogoro wa CUF ulianza kwa mwenyekiti aliyejiuzulu kutaka kurudi katika kiti chake Tukio halikuwa la kawaida katika siasa za Tanzania lakini limetokea...
9 Reactions
2 Replies
4K Views
Habarini. Habari za nchi kukimbilia matumizi ya dhahabu zimekuwa nyingi sana siku za karibuni. Ghana baada ya kuzidiwa na madeni na kuishiwa akiba ya fedha za kigeni, imeamua kutumia dhahabu...
27 Reactions
0 Replies
3K Views
COVID-19 is historical in Tanzania: Why don't USA, UK, EU and others copy from TZ how to fight against Coronavirus? Basically the title: Here in Tanzania, COVID-19 is spoken about by using...
13 Reactions
531 Replies
200K Views
US President in 2021 False Fraud Allegations True Fraud Allegations Remarks President Biden Jamii itawaona chama cha Republican na Rais Trump ni ving'ang'anizi...
7 Reactions
40 Replies
15K Views
Wanabodi, Kitendo cha Kamati Kuu ya Chadema kuwavua uanachama madiwani wake wa Arusha, is "A Big Mistake"!, and there is a price to pay, so Chadema must pay very dearly and the price which is...
19 Reactions
140 Replies
29K Views
Kwa akili zetu tunatengeneza baadae ya taifa hili, ili ndio jambo la msingi tunalopaswa kulitambua, Baadae ya taifa hili itategemea mwelekeo wa fikra zetu. kila wakati lazima tutambue tutavuna...
32 Reactions
1 Replies
7K Views
PROCEEDINGS OF THE INTERNATIONAL CONFERENCE ON 8-9 August 2002 Peace, Unity and People – Centred Development The Legacy of Mwalimu Julius K Nyerere OFFICIAL CLOSING ADDRESS By Ambassador...
9 Reactions
16 Replies
6K Views
Kesi ya ugaidi ya Mwenyekiti wa Chadema Mbowe na Wenzake imeondolewa mahakamani Si sahihi kusema kesi imekwisha, Mahakama inaonyesha 'kuna kesi ya kujibu'' Si sahihi kusema kesi imekwisha...
14 Reactions
4 Replies
3K Views
Katika aliyofanya Rais SSH tangu achukue madaraka ni 'kuacha watu waonge' . Rais alisema watu wakiongea viongozi wanaelewa nini kinaongelewa. Katika kufungua uhuru wa maoni/habari uliofinyangwa...
14 Reactions
34 Replies
4K Views
Hatimaye Spika aliyeongoza kwa 'mkono wa chuma'' anguko lake limetimia. Mh. anaondoka akiacha historia ya Spika wa kwanza kujiuzulu tangu uhai wa Taifa hili Spika asingeweza kutekeleza majukumu...
21 Reactions
128 Replies
24K Views
Ni wazi kuwa ziara za Rais kwenye nchi jirani au kokote kule ni kuboresha mahusiano kati ya nchi hizo na Tanzania ili watanzania tufaidike. Sasa ili wananchi wafaidike wanatakiwa kwenda huko...
33 Reactions
2 Replies
6K Views
Nini Maana ya Utawala Bora? Utawala bora ni matumizi ya mamlaka ya kisiasa, kiuchumi kijamii au vinginevyo katika kusimamia masuala ya nchi kwenye ngazi zote. Utawala bora ni matumizi ya mamlaka...
6 Reactions
0 Replies
2K Views
Takribani siku kadhaa mitandao ya jamii imegubikwa na hoja ya utata wa akiba ya Taifa (6,253B) Hoja kubwa si kiasi si thamani ya kiasi bali neno Bilioni katika dollar ya kimarekani badala ya...
7 Reactions
3 Replies
4K Views
Swali ni jinsi gani diaspora anaweza kununua Bond/T-bill za bank kuu ya Tanzania? Nimetafuta kwa mitandao sijapata jibu
2 Reactions
10 Replies
5K Views
Kwanini tunataka kuiondosha CCM ? Hili ni swali ambalo napenda kujiuliza na pengine wananchi Wengine makini wangependa kueleweshwa hadi kuelewa pasipo kuweka propaganda zisizo na maana, Ili...
11 Reactions
6 Replies
4K Views
Back
Top Bottom