sajo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,029
- 5,259
Neno la Mungu linasema kuwa tusishindwe na shetani kwa kuwa mbinu zake shetani, tunazijua.
Shetani asije akapata kutushinda; kwa maana hatukosi kuzijua fikira zake.
2 Kor 2:11 SUV
Ni kweli kuwa kila mara mtu anapotaka kufanya dhambi, hujua kabisa kuwa hii niifanyayo ni dhambi na huridhia mwenyewe kuifanya, Shetani alicho nacho ni mbinu tu napo hazitumii kwako bali anakushawishi, muamuzi ni wewe mwenyewe.
Shetani asije akapata kutushinda; kwa maana hatukosi kuzijua fikira zake.
2 Kor 2:11 SUV
Ni kweli kuwa kila mara mtu anapotaka kufanya dhambi, hujua kabisa kuwa hii niifanyayo ni dhambi na huridhia mwenyewe kuifanya, Shetani alicho nacho ni mbinu tu napo hazitumii kwako bali anakushawishi, muamuzi ni wewe mwenyewe.