Mbele ya mchawi binadamu yeyote ni chakula Chao.Ujumbe wangu ni huo fanyeni utafiti, wachawi na wafuasi wa mashetani hawana utu na ubinadamu na mioyo yao haina huruma. Mbele ya mchawi binadamu yeyote ni chakula Chao.
Wenye macho ya rohoni na utambuzi mtaongezea mengine.
Ni hayo tu
And there is absolutely nothing you can do about it!Ujumbe wangu ni huo fanyeni utafiti, wachawi na wafuasi wa mashetani hawana utu na ubinadamu na mioyo yao haina huruma. Mbele ya mchawi binadamu yeyote ni chakula Chao.
Wenye macho ya rohoni na utambuzi mtaongezea mengine.
Ni hayo tu
Watu wanaishi kupitia damu za wengine.. Ndio uhai na kupata kwaoOngezea kitu Mkuu, weka nyama kidogo watu waelewe, ukatili ni rutuba katika ufugaji wa misukule na kustawisha utawala wa Koo na vizazi na kuongeza wigo na idadi ya watumwa
acha uzuzu wewe kwa hiyo hao walikulia kwenye maisha ya anasa na kusomea shule za bei ghali ndiyo unaimani atamuwazia mtoto wako anayesoma shule ya kata!Mtu kazaliwa na kukulia kwenye umaskini mkubwa, aje ashike madaraka halafu awaze maslahi ya watu?
Acha kutuchekesha basi.
Mshukuru sana Mungu kakuepusha na vingiHalafu Mkuu kuna mtu kwenye salamu hanipi mkono anasalimia kwa ngumi nimeona kwa watu wawili nina mashaka nao vipi inatafsiri gani kwenye ulimwengu wa nyota?