Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 3,613
- 8,749
Ni ukweli kabisa jina la ID yangu sijawai kuona lolote kwangu ni mekwenda kila mmoja ananiogopa maana kama vitengo vyote na mashuuda yako yamekataa.
Kisa cha mganga:
nilikwenda kwa mganga sikupata chochote zaidi ya mimi kupambana mwenyewe mpaka yule mwandulami na wababe kujikinga.
Kisa cha sheik:
nimekutana na masheik mpaka wale wanajua kupambana na majini na mmoja wapo ni waraisi mstaafu yupo hai ni kapa zaidi ya kunikwepa mpaka misikitini.
Kisa cha manabii:
hawa wanajua kutoa mapepo ila hata siku moja wakiniona wanaround about wakioniona mpaka kanisani kwao.
Kisa cha wachungaji:
hawa ni group la mwisho ambao nawaona kama nawajua sana kama masheik tu.
ID yangu naweza kukujua unacho fanya wengi wemethibitisha japo ndio napo tokea huko
Kisa cha mganga:
nilikwenda kwa mganga sikupata chochote zaidi ya mimi kupambana mwenyewe mpaka yule mwandulami na wababe kujikinga.
Kisa cha sheik:
nimekutana na masheik mpaka wale wanajua kupambana na majini na mmoja wapo ni waraisi mstaafu yupo hai ni kapa zaidi ya kunikwepa mpaka misikitini.
Kisa cha manabii:
hawa wanajua kutoa mapepo ila hata siku moja wakiniona wanaround about wakioniona mpaka kanisani kwao.
Kisa cha wachungaji:
hawa ni group la mwisho ambao nawaona kama nawajua sana kama masheik tu.
ID yangu naweza kukujua unacho fanya wengi wemethibitisha japo ndio napo tokea huko