Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,070
- 3,705
Hapo vip!!
Kwanza nikaanzie kwa kusema mwanaume anayempenda mwanamke na muona nimshamba na hajitambui.
Mimi sinto owa kwasababu siwezi kuishi na mwanamke...hiyo ndio salam.
Vitabu vya dini vimeweka wazi yakwamba mwanamke tokea awali ni muovu kwasababu Biblia inasema katika bustani ya edeni ni mwanamke ndio wameonana na shetani wakazungumza na kupanga njama ya kuharibu mpango wa Mungu kisha kumuangusha Adamu..hapa na hisi kulikuwa na mambo mengi zaidi ya tunda ambayo wamezungumza shetani na mwanamke,nahisi hata mapenzi wamefanya na kupanga mikakati na mipango ovu minginee ya mbele dhidi ya mwanaume na Mungu.Nahisi haya tunayo yaona na uovu ya wanawake wakileo nahisi ni ile mikakati ya siri waliokubaliana shetania na mwanamke na sio ajabu kunaa mengine yatajitokeza baadaye.
Nahisi mipango ya siri ambao inajitokeza kwa sasa ni kama huu
1.Kutoridhika na atakachopewa na mwanaume au na Mungu..mfano mwanamke hata umpe kila kitukuna siku atakufanyia uovu tu na mwisho mtaachana.
Mwanamke amekuwa mstari wa mbele kuongeza maumbile fake mfano hips,matako..haridhiki na alichompa Mungu..sasa we mwanaume unayejidai unajua kupenda na kumridhisha mwanamke ..utakuwa hujitambui
2.Haki sawa..huu ni mpango mwingine ambao nahisi shetani enzi hizo walizungumza na mwanamke..haki sawa sio mpango wa Mungu wala wa mwanaume..swali la msingi hii sera imetoka wap?
Wanawake kuanza kuhubiri katika nyumba za ibada na hawajaruhusiwa katika vitabu
NB.kama Mungu Baba ametoa tahadhari akasema ishini nao kwa akili ..we jidai unajua kupenda na kumridhisha mwanamke..ni upumbxvu na ishara ya aikili ndogo
ILa mwanume ambaye alisha wahi kuonana na shetani uso kwa uso ni Yesu kristo na amempiga kwa nockout,pia hakuna mwanume mwinngine ambaye alishaonana na shetani na kupanga njama yeyote dhidi ya kuharibu mpango wa Mungu..ila mwanaume pekee aliyemtoa knockout shetani tena kwa kumshinda na kumkimbiza kwa aibu ni Yesu kristo..ametuwakilisha wanaume vizuri..apate maua yake akiwa Mbinguni
Kwanza nikaanzie kwa kusema mwanaume anayempenda mwanamke na muona nimshamba na hajitambui.
Mimi sinto owa kwasababu siwezi kuishi na mwanamke...hiyo ndio salam.
Vitabu vya dini vimeweka wazi yakwamba mwanamke tokea awali ni muovu kwasababu Biblia inasema katika bustani ya edeni ni mwanamke ndio wameonana na shetani wakazungumza na kupanga njama ya kuharibu mpango wa Mungu kisha kumuangusha Adamu..hapa na hisi kulikuwa na mambo mengi zaidi ya tunda ambayo wamezungumza shetani na mwanamke,nahisi hata mapenzi wamefanya na kupanga mikakati na mipango ovu minginee ya mbele dhidi ya mwanaume na Mungu.Nahisi haya tunayo yaona na uovu ya wanawake wakileo nahisi ni ile mikakati ya siri waliokubaliana shetania na mwanamke na sio ajabu kunaa mengine yatajitokeza baadaye.
Nahisi mipango ya siri ambao inajitokeza kwa sasa ni kama huu
1.Kutoridhika na atakachopewa na mwanaume au na Mungu..mfano mwanamke hata umpe kila kitukuna siku atakufanyia uovu tu na mwisho mtaachana.
Mwanamke amekuwa mstari wa mbele kuongeza maumbile fake mfano hips,matako..haridhiki na alichompa Mungu..sasa we mwanaume unayejidai unajua kupenda na kumridhisha mwanamke ..utakuwa hujitambui
2.Haki sawa..huu ni mpango mwingine ambao nahisi shetani enzi hizo walizungumza na mwanamke..haki sawa sio mpango wa Mungu wala wa mwanaume..swali la msingi hii sera imetoka wap?
Wanawake kuanza kuhubiri katika nyumba za ibada na hawajaruhusiwa katika vitabu
NB.kama Mungu Baba ametoa tahadhari akasema ishini nao kwa akili ..we jidai unajua kupenda na kumridhisha mwanamke..ni upumbxvu na ishara ya aikili ndogo
ILa mwanume ambaye alisha wahi kuonana na shetani uso kwa uso ni Yesu kristo na amempiga kwa nockout,pia hakuna mwanume mwinngine ambaye alishaonana na shetani na kupanga njama yeyote dhidi ya kuharibu mpango wa Mungu..ila mwanaume pekee aliyemtoa knockout shetani tena kwa kumshinda na kumkimbiza kwa aibu ni Yesu kristo..ametuwakilisha wanaume vizuri..apate maua yake akiwa Mbinguni