Ninaomba anayejua jinsi ya kufix tatizo hili kwenye PC anisaidie.
Nimejaribu kuupdate graphics.
Nimeinstall window mpya lakini tatizo bado lipo.
kuna muda huwa screen inakuwa sawa.
Kuna muda screen inazingua kama hivyo.
Chief-Mkwawa
Ninatanguliza shukrani
Nimeambatanisha picha hapa
Ni matumaini yangu kuwa hamjambo.
Bila kupoteza muda, naomba nizame kwenye mada.
Kwa yeyote mwenye idea juu ya uuzaji vitabu used (mitumba).
Napita mitaani naona watu wanauza vitabu used.
Binafsi, naomba kujua huwa wanavilangua wapi?
Kuna mtu mmoja hivi kampenda rafiki yangu, hawajafanya lolote ila shida ni mke wa jamaa alikufa kwa ajali ya gari sasa huyo dada yupo njia panda anaogopa kama kitamtokea kama kilivyomtokea yule mama maaana kaacha mtoto wa miaka 2.
Hii inshu haijatungwa, tunaomba tumpe msaada aende au abaki...
Mke wangu mbegu nyingi humtoka baada ya kusex naye nashindwa kuelewa maana bado hatujapata mtoto na mimi ndo mtoa bikira karibia mwaka sasa
Embu nipeni shule maana hasikii maumivu yoyote kama nilivyo ambiwa kuwa kunaweza kukawa na kitu kama kidole kina zuia mbegu kwenda mbele
Naombeni msaada nimelipia huduma ili niunganishwe lakini kwasasa inaenda week ya 3 sasa sijapewa vifaa na bado sijapata huduma. Nipo mkoani, mwenye mawasiliano na watu wa makao makuu voda naomba namba zao
Cc Chief-Mkwawa
Habari wanajf.
Kuna rafiki yangu kachaguliwa kozi mbili vyuo vitatu, anaomba ushauri vipi a confirm.
1. Cyber security (Arusha)
2. Laboratory science in biotechnology (SUA na MUST)
Msaada tafadhari , ipi Ina soko Sana ama Ina unafuu kwenye upatikanaji wa ajira
Jirani yangu alifungua kesi kuwa nimeingia kwenye shamba na kukata miti analodai ni lake ( ambalo nililinunua toka kwa mwanae aliyerithi kutoka kwa baba yake na huyo aliyenishitaki . Mahakama ikasema kwa vile kuna ubishani juu ya umiliki, Mahakama ikatoa amri kuwa aende mahakama ya ardhi itoe...
Nina sehemu mbili hazina nywele kichwani, vipo kama vishilingi nimetumia dawa zote hazioti. vina miezi saba sasa.
msaada tafadhali.
haviwash wala vipele havina ila vinakula nywele
Wana familia ya Jf,
Naomba kujuzwa kampuni yenye mabasi mazuri yanayosafiri kuanzia Dodoma mjini kuelekea Mwanza mjini anifahamishe.
Sijawahi kufika Mwanza, ndio mara yangu ya kwanza na safari naanzia hapa Dom mjini.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu mtakao nipa taarifa njema, na pia...
Simu yangu ilitumbukia kwenye maji display ikaharibika niikaweka display nyingine kwa sh 70,000,display hii mpya haina ubora kama ile original iliyokuja na simu na napasuka kama kioo cha dirisha pia inastack ovyo nikitouch.Nauliza kuna anayejua wapi naweza kupata display nzuri na original ya...
Habari wakuu
Naomba kama kuna wakala wa Perfect Money au yeyote anayejua namna ya kufanya deoosit perfecct money kwa kutumia mitandao ya simu ( M-Pesa, Airtel Money n.k) anipe mwanga nataka kuweka pesa kwenye akaunti
Leo tarehe 25.08.2023 TCU wametoa majina ya wanafunzi wa kidato cha sita waliochaguliwa kujiunga na vyuo mbalimbali.
Kama inavyojulikana, kuna ambao hupata "multiple selections", yani mwanafunzi mmoja anadahiliwa na vyuo zaidi ya kimoja kwa kozi tofauti au kwa kozi ileile.
Hii ni stage ambayo...
Anonymous
Thread
ada
application
chuo
kwanza
msaada
tcu
udahili
wako
Heshima mbele wadau,
Kuna mtoto wa sister namsapoti kachaguliwa masomo ngazi ya cheti (certificate) kozi hizi;
1. IFM (Dar) - Certificate in Taxation
2. Mzumbe University (Moro) - Certificate in Law
3. Chuo cha Utumishi wa Umma Dar (TPSC) - Certificate in Records and Archive Management
4. Chuo...
Wakuu niaje sijawahi Omba ushauri Jf bt imebidi coz nahisi naenda kudata.
Sitaki tuchoshane na stori,ndeeeeefu ila tu niambieni nimekosea nn mazee maana ni siku ya 5 sijiskii poa nahisi kama mwili mzima unauma na sijalala for fvckin days.
Ni hivi... Juzi baada ya gemu ya Mnyama na Dodoma...
Nina ndugu yangu huwa ana tatizo la kisukari. Amekuwa aki -icontrol vizuri tu with medication as usually is controlled by many.
Kalala vema anaona kabisa vizuri. KUAMKA NI KIPOFU.
Nini kimetokea na remedy/treatment ni ipi?
Habari za majukumu,
Niko hapa nikiwa na kuchanganywa na vitu vifuatazo. Ambavyo ningeomba msaada
1. Kuna tofauti gani Kati ya chanjo ya homa ya Ini na yellow fiver
2. Sina maambukizi pia sijawahi chanjwa nimepata mwaliko wa safari za kimataifa, nauliza ni hospitali zipi naweza pata huduma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.