Pole ila ungeandika maelezo yakutosha mfano unahitaji mil 2 lakini dhamana yangu ni nyumba au vyeti au ardhi n.kHabarini za leo!ninatumai mko salama.
Ninahuitaji wa fedha kiasi cha million mbili(2) za kitanzania ,ninaomba mtu yeyote atakayeguswa aniazime na nitamlipa kwa awamu .
Mungu awabariki.
Kirahisi tu hivi mkuu?Habarini za leo!ninatumai mko salama.
Ninahuitaji wa fedha kiasi cha million mbili(2) za kitanzania ,ninaomba mtu yeyote atakayeguswa aniazime na nitamlipa kwa awamu .
Mungu awabariki.
amen
kweli ndugu ,sijatoa maelezo mengi ila kama kuna atakayeguswa private message iko anaweza kuja na nikampa maelezo ya kutosha kabisa .Pole ila ungeandika maelezo yakutosha mfano unahitaji mil 2 lakini dhamana yangu ni nyumba au vyeti au ardhi n.k
Then ungeweka location mahala ulipo jinsia n.k ukubwa wa tatizo n.k
Unajua ukifanya hivi watu wenye pesa wataguswa na Jambo lako na kukufanyia muhamala kwa haraka ili kufix tatizo lako.
Anza na moderators kwanza.Habarini za leo!ninatumai mko salama.
Ninahuitaji wa fedha kiasi cha million mbili(2) za kitanzania ,ninaomba mtu yeyote atakayeguswa aniazime na nitamlipa kwa awamu .
Mungu awabariki.