Brown Mduma
Senior Member
- Sep 29, 2020
- 180
- 283
Jana niliangusha simu yangu wakati nipo kwenye bodaboda nilichokifanya baada ya kuangusha niombe simu ya mtu na kuingia kwenye find my mobile na kui secure ambapo niliandika ujumbe mfupi wenye namba zangu zinazopatikana kwasasa ninachotaka kujua ni kwamba mtu ataweza kuiflash simu ikiwa iko kwenye secure?