Alves124
Member
- Oct 22, 2023
- 5
- 0
Habari zenu ndugu zangu wa JF
Hii ni mara yangu ya kwanza kushiriki na swali ni kama linavyojieleza hapo Niliwahi soma clinical medicine mpk Level 5 semester 1 changamoto za ada ikanilazimu nisimame nihangaike na mishe zingine nashkuru Mungu nimejipata kiasi
Sasa juzi wakati nacheki student verification NACTVET nikajaribu kuhakiki kama bado kwenye system nipo ikanionesha vilevile kua nmebakisha Semester 1 kupata certification yangu na roho ikaniuma sababu nilijitajidi sana kukwepa vimeo na matokeo yangu ya semester zote 3 ni Clean
CHANGAMOTO KUBWA NIKITAKA KUENDELEA NATAKIWA NIRUDI CHUO MWANZA NILIPOPOSTPONE JE KUNA MWENYE UELEWA NA HILI JAMBO ALIEWAHI TAKA HAMA CHUO KIMOJA KWENDA KINGINE UKIACHANA NA HII YA KULIPA 10,000 NACTE
Hii ni mara yangu ya kwanza kushiriki na swali ni kama linavyojieleza hapo Niliwahi soma clinical medicine mpk Level 5 semester 1 changamoto za ada ikanilazimu nisimame nihangaike na mishe zingine nashkuru Mungu nimejipata kiasi
Sasa juzi wakati nacheki student verification NACTVET nikajaribu kuhakiki kama bado kwenye system nipo ikanionesha vilevile kua nmebakisha Semester 1 kupata certification yangu na roho ikaniuma sababu nilijitajidi sana kukwepa vimeo na matokeo yangu ya semester zote 3 ni Clean
CHANGAMOTO KUBWA NIKITAKA KUENDELEA NATAKIWA NIRUDI CHUO MWANZA NILIPOPOSTPONE JE KUNA MWENYE UELEWA NA HILI JAMBO ALIEWAHI TAKA HAMA CHUO KIMOJA KWENDA KINGINE UKIACHANA NA HII YA KULIPA 10,000 NACTE