shadrackAmri
Member
- Oct 27, 2023
- 5
- 3,144
Mimi nikijana niliehitimu mafunzo yaufundi mekaniks mwaka jana.
Mwaka huu nwezi wapili nikapata kazi nashukuru imenipa uzoefu mzuri sana kwenye masuala yaufundi
Lakini sasahivi ofisi imefilisika kiasi chasisi mafundi kukosa hela nimejalibu kuomba kazi sehemu kazaa nimekosa
Nimeweka hakiba yangu kama lakisaba hivi nafikiria nikajifunze udereva NIT ili niwe naomba kazi kotekote wakuu.mnanishaurije wakubwa kuhusu wazohili lakuchukua cheti chaudereva NIT?
nakama kuna mtu anajua gharama za kujifunza udereva NIT naomba anijuze na vigezo vyake ili nijiunge huko na nimuda gani hadi napata cheti.
Natanguliza shukrani wakuu
Mwaka huu nwezi wapili nikapata kazi nashukuru imenipa uzoefu mzuri sana kwenye masuala yaufundi
Lakini sasahivi ofisi imefilisika kiasi chasisi mafundi kukosa hela nimejalibu kuomba kazi sehemu kazaa nimekosa
Nimeweka hakiba yangu kama lakisaba hivi nafikiria nikajifunze udereva NIT ili niwe naomba kazi kotekote wakuu.mnanishaurije wakubwa kuhusu wazohili lakuchukua cheti chaudereva NIT?
nakama kuna mtu anajua gharama za kujifunza udereva NIT naomba anijuze na vigezo vyake ili nijiunge huko na nimuda gani hadi napata cheti.
Natanguliza shukrani wakuu