Tuelezane uzuri, ubaya, faida na hasara za utumiaji wa 'Vumbi la Mkongo'

Sukye13

Senior Member
Apr 20, 2020
163
169
Habari ya muda huu viongozi..

Poleni kwa mapambano yanayoendelea dhidi ya janga hili la ugonjwa hatari wa homa ya mapafu unaosababishwa na kirusi hatari cha corona. Tujitahdi kunawa mikono kwa maji tiririka na kutulia nyumbani.

Kwa miaka kadhaa kumeibuka dawa mbali mbali tukiachana na zile za awali zinazopatikana kwa wamasai, zote zikiaminika kuwa zinatibu upungufu wa nguvu za kiume.

Hapa nahitaji zaidi tujikite katika hili swala la matumizi ya Vumbi la Congo au Congo dust au Putururu.

Naomba wale ambao wamewahi kutumia iwe kwa miaka ya nyuma ambao wana uzoefu kati ya miaka miwili mitatu mpaka kumi na kwa wale watumiaji wapya..

Mje mtuelekeze jinsi ambavyo hili vumbi au hii dawa inafanya kazi pia mtuambie kama kwa kipindi hiko chote hakujawahi kutokea hitilafu yoyote katika utendaji kazi au kama kuna madhara yeyote basi mtueleze pia ili wale ambao tunasita kutumia tuache kabisa tusijaribu..

Pia kama kuna njia nyingine yoyote ambayo ni nzuri umewahi kutumia na umeona ina manufaa basi usisite kushare nasi hapa ili tupate kuifahamu.

Lengo ni kupeana tahadhari na pia kupata go ahead kama kitu kina faida nyingi kuliko hasara tusisite kutumia..

Maana hali ni mbaya mtaani...
 
Nimetumia vumbi mara ya kwanza mwaka huu. Nilitoka zangu ghetto jamaa akanipa niimalizie baada ya kujua naenda kukutana na manzi. Nikatumia lakini sikuambulia utamu wowote wala sikumwaga, nikajilaumu tu.

Niliporudi nikamwambia akadai nimekosea, nikapewa siku nyingine nikatumie kule nikakutana na dada mmoja anayajua kinoma.

Hapo nilitumia kidogo sana lakini bado sensitivity ya kichwa cha uume inafifia, bila sensitivity kamili utamu unapungua. Lakini alinipa bj ndo ilikuwa ya viwango vya SGR. Pia sikumwaga.

Hata hivyo tatizo la kuchelewa kumwaga ni la muda, hata kabla sijalijua vumbi.
Mapenzi si vita hayo mavumbi situmii tena.
 
Dahh mzee kwahiyo sasa hapo unatuambia nini wewe kama wewe kwa mtazamo wako..

Je, hii kitu ni hatari kwa afya au inafaa..

Na vipi wale ambao hawatimizi dakika hata tatu mchezoni, je hii kitu inafaa au waachilie mbali!!

Karibu..
Nimetumia vumbi mara ya kwanza mwaka huu. Nilitoka zangu ghetto jamaa akanipa niimalizie baada ya kujua naenda kukutana na manzi. Nikatumia lakini sikuambulia utamu wowote wala sikumwaga, nikajilaumu tu.

Niliporudi nikamwambia akadai nimekosea, nikapewa siku nyingine nikatumie kule nikakutana na dada mmoja anayajua kinoma...
 
Hilo sina uzoefu nalo mkuu. Ingawa naamini hakuna kisicho athari baada ya kukitumia muda mrefu.
Mimi mzunguuko mmoja sifikishi hata dakika 3 na nipo vizuri sina kitambi wala chochote, nimefuata taratibu zote mazoezi vyakula na mambo kibao yan tips karibia zote..

Ila dahh show mbovu kila kukicha karibu mke anadai talaka yan sielewi kwakwel
 
Tunaopiga kimoja kwa dakika 3 na kurudia mpaka kesho asubuhi je? Vipi huu mkongo unatufaa au tuachane nao
@Bwana Misitu na wewe hapa.
Nadhani vumbi si salama maana nilisikia kama moto unawaka kwenye kichwa cha uume Nilikaa masaa kadhaa nikiwa sihisi usawa. Pia inasababisha damu isiende sana wakati wa matumizi maana kadri ya unavosisimka ndivyo damu inajaa, kwahiyo kama kuna ganzi hupati msisimko uleule na hivyo utachelewa tu.

Kuhusu tatizo la kuwahi, tumia karanga mbichi, tangawizi na asali. Ukipata juisi ya ukwaju nayo inasaidia. Nazi zinasaidia pia lakini mihogo sijui kabisa.

Nazi mbichi iliniongeza uzalishaji wa mbegu (nakadiria matumizi yake ni masaa 5-8 kabla). Hii nilipewa mara ya kwanza na mtoto wa Tanga ambaye aligundua natoa mbegu chache tu. Inaongeza pia muda. Nilitambua ina mchango kwakuwa mkoani kwetu kule hakuna nazi, sikuwahi tumia hivo effect nilitambua haraka.

Karanga zinaongeza muda na kufanya tendo na kufanya sperm ziwe nzito. Pia zinaongeza hamu. Tumia mbichi nyeupe mimi nachukua za dukani za kupima nachambua, robo itumike asubuhi ya siku ya matumizi. Kula kidogo kidogo sio kama mlo, hiyo robo unaweza tumia hata lisaa kuila. Hizi nilizikoma siku moja nilitumia nyingi.

Juisi ya ukwaju sina hakika ikisimama yenyewe tu mchango wake ukoje. Naitumia kwa kusindikiza hizo mbili juu (usije tumia yale marangi ya azam)

Tangawizi uongeza msisimko na speed ya damu. Damu inazunguka zaidi hivyo ausinyai haraka.

NB: Hivyo vyakula ukitumia kwa combination ni sawa zaidi. Usitumie kiasi kingi sana inaweza fanya upate kizunguzungu au tumbo livuruge au ujihisi una kichaa fulani hivi. Asali sijaitaja kwakuwa hiyo ni universal, ni kama panadol hospitalini. Kila nilichosema ni kwa expirience zangu. Maneno ya wengine sijui wanasemaje.
 
@Bwana Misitu na wewe hapa.
Nadhani vumbi si salama maana nilisikia kama moto unawaka kwenye kichwa cha ***. Nilikaa masaa kadhaa nikiwa sihisi usawa. Pia inasababisha damu isiende sana wakati wa matumizi maana kadri ya unavosisimka ndivyo damu inajaa, kwahiyo kama kuna ganzi hupati msisimko uleule na hivyo utachelewa tu.

Kuhusu tatizo la kuwahi, tumia karanga mbichi, tangawizi na asali. Ukipata juisi ya ukwaju nayo inasaidia. Nazi zinasaidia pia lakini mihogo sijui kabisa...
Dahh asante sana mkuu hii Formula yako walau imejaribu kunitia moyo kwa kiwango fulani. Nitajitajitahidi niijaribu huenda ikanifaa kwa kweli napata fedheha sana kiasi kwamba mahusiano yangu yapo hatarini.

Ilikua bado muda mdogo sana nianze kuwa mfuasi wa hili jambo la mkongo kwakwel nilikua nishachoka masimango😓acha nianze hii tiba ndugu yangu..
 
Back
Top Bottom