Jacobus JF-Expert Member Mar 29, 2011 4,681 1,698 Jun 8, 2020 #1 Wakuu, nimekuwa natatizwa mno kwa kupokea jumbe toka kampuni za cm za Airtel na Vodacom mpaka wakati mwengine zinajaa. Ili kuepukana na hii adha naomba njia ya kufanya. Aksanteni.
Wakuu, nimekuwa natatizwa mno kwa kupokea jumbe toka kampuni za cm za Airtel na Vodacom mpaka wakati mwengine zinajaa. Ili kuepukana na hii adha naomba njia ya kufanya. Aksanteni.
Culture Me JF-Expert Member May 24, 2017 10,447 21,159 Jun 8, 2020 #4 Block tu hakuna kingine, au zinakuaje?
Jacobus JF-Expert Member Mar 29, 2011 4,681 1,698 Jun 11, 2020 Thread starter #5 Culture Me said: Block tu hakuna kingine, au zinakuaje? Click to expand... Ndo hapo mkuu, nita block vipi? Nisaidie mkuu.
Culture Me said: Block tu hakuna kingine, au zinakuaje? Click to expand... Ndo hapo mkuu, nita block vipi? Nisaidie mkuu.
Kibwengo JF-Expert Member Jul 29, 2015 6,838 5,294 Jun 11, 2020 #6 Hakuna cha bure, Lete hela uelekezwe