Ndugu zangu,
Naamini hapa jamvini watu wa aina mbalimbali na nyeti wanasoma jumbe hizi.
Kampuni ya Jog Agri-Consult & Solutiions (T) Ltd chini ya wakurugenzi wake Grace Mzoo (Mkurugenzi Mtendaji) pamoja na Jackson Bwire pamoja na Mhasibu wao Cecilia Bukukura imechukua pesa za wawekezaji wa Papai tangu mwaka 2017-2018.
Kampuni ilijinasibu sehemu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kwenye makanisa, kwenye vyombo vya habari (Televisheni za Tz pamoja na Radio - mara ya mwisho Jackson Bwire alisikika Clouds akinadi kampuni). Jog chini ya Wakurugenzi wake imejinasibu kuwa inapokea pesa (Tzs million 9 kwa ekari moja) kutoka kwa mkulima/mwekezaji yoyote yule kwenye eneo la Papai halafu itafanya yafuatayo:
- Kukodisha ardhi
- Kuweka miundo mbinu yote (ikijumuisha drips pamoja na kuchimba visima vya kumwagilia papai)
- Kununua Pembejeo (mbolea za organic na dawa zote zinazohitajika
- Usimamizi wa kitaalam (ukijumuisha kupima udongo katika maabara Nairobi, kuweka vibarua nk)
- Kusaidia wawekezaji/wakulima kupata bima ya mazao
- Tayari wana mkataba na mnunuzi kutoka nchi za nje na kwa hiyo papai zikishakomaa watanunua kwa Tzs1000 kwa papai kutoka shambani na hivyo kumlipa kila mwekezaji
- Na mengineyo mengi
Watu na vikundi mbalimbali wakiwemo wajane, wastaafu, wajasiriamali, vikundi vya ujasiriamali/uwekezaji/fellowship walijiunga na kulipa fedha (Jumla ni Zaidi ya Tzs milioni 200) kwa kampuni ya Jog chini ya wakurugenzi waliotajwa hapo juu lakini hadi leo hii ninavyoandika ni zaidi ya miaka miwili (2) hakuna aliyelipwa na ukipiga simu zao hawapokei, ukienda ofisi zao pale Mwalimu House zimefungwa.
Juhudi za kufuatilia zimefanyika kama ifuatavyo;-
- Kuwapigia simu na kutuma sms (hakuna anayepokea simu wala kujibu ujumbe)
- kwenda ofisini kwao Mwalimu House - tukakuta ofisi imefungwa na wameweka namba za simu ambazo ndio hizo hawapokei
- Kwenda kwa Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga - Alikiri kupata malalamiko kutoka kwa watu wengine pia kuhusu Jog lakini akashauri tukaripoti DSM ambako Kampuni imesajiliwa
na Wakurugenzi wanaishi
- Kuripoti Polisi Mkoa wa Ilala/Kariakoo
- Kuutafuta uongozi wa Wilaya ya Ilala labda watatusaidia (hatujafanikiwa)
Tunaomba Uongozi wa Mkoa wa Dar es Salaam utusaidie kwani watu wengi walichukua mikopo Benki ili kuwekeza lakini wameshindwa
Asanteni
Naamini hapa jamvini watu wa aina mbalimbali na nyeti wanasoma jumbe hizi.
Kampuni ya Jog Agri-Consult & Solutiions (T) Ltd chini ya wakurugenzi wake Grace Mzoo (Mkurugenzi Mtendaji) pamoja na Jackson Bwire pamoja na Mhasibu wao Cecilia Bukukura imechukua pesa za wawekezaji wa Papai tangu mwaka 2017-2018.
Kampuni ilijinasibu sehemu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kwenye makanisa, kwenye vyombo vya habari (Televisheni za Tz pamoja na Radio - mara ya mwisho Jackson Bwire alisikika Clouds akinadi kampuni). Jog chini ya Wakurugenzi wake imejinasibu kuwa inapokea pesa (Tzs million 9 kwa ekari moja) kutoka kwa mkulima/mwekezaji yoyote yule kwenye eneo la Papai halafu itafanya yafuatayo:
- Kukodisha ardhi
- Kuweka miundo mbinu yote (ikijumuisha drips pamoja na kuchimba visima vya kumwagilia papai)
- Kununua Pembejeo (mbolea za organic na dawa zote zinazohitajika
- Usimamizi wa kitaalam (ukijumuisha kupima udongo katika maabara Nairobi, kuweka vibarua nk)
- Kusaidia wawekezaji/wakulima kupata bima ya mazao
- Tayari wana mkataba na mnunuzi kutoka nchi za nje na kwa hiyo papai zikishakomaa watanunua kwa Tzs1000 kwa papai kutoka shambani na hivyo kumlipa kila mwekezaji
- Na mengineyo mengi
Watu na vikundi mbalimbali wakiwemo wajane, wastaafu, wajasiriamali, vikundi vya ujasiriamali/uwekezaji/fellowship walijiunga na kulipa fedha (Jumla ni Zaidi ya Tzs milioni 200) kwa kampuni ya Jog chini ya wakurugenzi waliotajwa hapo juu lakini hadi leo hii ninavyoandika ni zaidi ya miaka miwili (2) hakuna aliyelipwa na ukipiga simu zao hawapokei, ukienda ofisi zao pale Mwalimu House zimefungwa.
Juhudi za kufuatilia zimefanyika kama ifuatavyo;-
- Kuwapigia simu na kutuma sms (hakuna anayepokea simu wala kujibu ujumbe)
- kwenda ofisini kwao Mwalimu House - tukakuta ofisi imefungwa na wameweka namba za simu ambazo ndio hizo hawapokei
- Kwenda kwa Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga - Alikiri kupata malalamiko kutoka kwa watu wengine pia kuhusu Jog lakini akashauri tukaripoti DSM ambako Kampuni imesajiliwa
na Wakurugenzi wanaishi
- Kuripoti Polisi Mkoa wa Ilala/Kariakoo
- Kuutafuta uongozi wa Wilaya ya Ilala labda watatusaidia (hatujafanikiwa)
Tunaomba Uongozi wa Mkoa wa Dar es Salaam utusaidie kwani watu wengi walichukua mikopo Benki ili kuwekeza lakini wameshindwa
Asanteni