mtanzania10
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 271
- 81
Mimi ni muajiriwa Serikalini. Nilikopa kwa watu wanaotoa riba alafu yeye anabaki na kadi yako ya benki mshahara ukiingia anachukua.
Tulienda nao vizuri baadaye Mambo yaka ingiliana uwezekano wa kuwalipa ukawa haupo nikaanza kuwapiga chenga mshahara ukiingia Mimi natoa kwa NMB Mobile. Jamaa wakawa wanakuja kituo cha kazi nawakwepa kiukweli niliwazungusha sana lengo langu nilikuwa nataka jamaa waende mahakamani wanifungulie kesi lakini jamaa hawakwenda.
Hatimayee tukaonana baada ya kuona ni kero sitaki kusumbuliwa nikawafata tukaanza kulipana tena. Sasa tatizo lililopoo jamaa wanachukua pesa yote. Shida zikaongezeka nikawakwepa tena sasa nina miezi mitatu sijawalipa.
Nilichokuwa nahitaji ni Mimi mwenye niende mahakamani nieleze na niombe niwe namlipa kidogo kidogo hadi deni litakapo isha na kadi yangu anipe yani niwe nachukua laki moja na hiyo inayobaki awe anachukua yeye hadi deni litakapo isha.
Sasa nawauliza hapo nikienda mahakani naweza sikilizwa?
Tulienda nao vizuri baadaye Mambo yaka ingiliana uwezekano wa kuwalipa ukawa haupo nikaanza kuwapiga chenga mshahara ukiingia Mimi natoa kwa NMB Mobile. Jamaa wakawa wanakuja kituo cha kazi nawakwepa kiukweli niliwazungusha sana lengo langu nilikuwa nataka jamaa waende mahakamani wanifungulie kesi lakini jamaa hawakwenda.
Hatimayee tukaonana baada ya kuona ni kero sitaki kusumbuliwa nikawafata tukaanza kulipana tena. Sasa tatizo lililopoo jamaa wanachukua pesa yote. Shida zikaongezeka nikawakwepa tena sasa nina miezi mitatu sijawalipa.
Nilichokuwa nahitaji ni Mimi mwenye niende mahakamani nieleze na niombe niwe namlipa kidogo kidogo hadi deni litakapo isha na kadi yangu anipe yani niwe nachukua laki moja na hiyo inayobaki awe anachukua yeye hadi deni litakapo isha.
Sasa nawauliza hapo nikienda mahakani naweza sikilizwa?