Msaada: Nataka kurudia mtihani wa kidato cha sita, utaratibu ukoje?

Jovet

Member
Jun 1, 2017
34
11
Wakuu naomba msaada wa kujuzwa utaratibu wa kufwatwa nataka kurudia mtihani wa kidato Cha sita tahasusi ya PCM.
 
Utaratibu upo simple,nenda kituo/shule ambayo PC (Private candidate) wanafanya mtihani,watakupa maelekezo pesa ya pesa ya kituo haizidi 30,alafu utaenda posta kulipia Pesa ya Necta. Baada ya hapo utasubili kwenda kupiga pesa mwakani.

NB, Nenda posta watakupa maelekezo, jinsi ya kulipia hata vituo vya PC wanavijua
 
Kuna hizi centre za QT, Qualified Test zinaandaa wanaotaka kuresit. Upo mkoa gani?
 
Yeah upo sahihi,, afanye hivyo ni simple tu
Utaratibu upo simple,nenda kituo/shule ambayo PC (Private candidate) wanafanya mtihani,watakupa maelekezo pesa ya pesa ya kituo haizidi 30,alafu utaenda posta kulipia Pesa ya Necta. Baada ya hapo utasubili kwenda kupiga pesa mwakani.

NB, Nenda posta watakupa maelekezo, jinsi ya kulipia hata vituo vya PC wanavijua
 
Bahati mbaya umechelewa kujisajli kwa mwaka huu ilikuwa kuanzia mwezi wa 1-3 hivyo itakubidi usubiri mwakani mwanzoni jisajili necta kupitia posta tafuta shule tena lipi kituo cha mtihani subiria pepa
 
NECTA wametangaza usajiri wa mtihani wa kidato cha sita 2021...Hivyo kasajiri kwa kipindi hiki cha bila faini....!
 
Bahati mbaya umechelewa kujisajli kwa mwaka huu ilikuwa kuanzia mwezi wa 1-3 hivyo itakubidi usubiri mwakani mwanzoni jisajili necta kupitia posta tafuta shule tena lipi kituo cha mtihani subiria pepa
Mwongo Sana wewe.... Kama hujui ungekaa kimya.
Usajiliwa pc umeanza na mwisho ni trh 30 Sept....
Maelezo Zaid ingia website ya necta
 
Mwongo Sana wewe.... Kama hujui ungekaa kimya.
Usajiliwa pc umeanza na mwisho ni trh 30 Sept....
Maelezo Zaid ingia website ya necta
muda wa kawaida kujisajili kama mtahiniwa wa kujitegemea ni tarehe 01/07/2020-30/09/2020.na muda wa penalt ni tarehe 01/10/2020-31/10/2020.ambapo kutakuwa na fine.
 
Back
Top Bottom