Gogovivu45
JF-Expert Member
- Oct 10, 2019
- 229
- 133
Wadau habari blue Monday. Naenda kwenye hoja.
Nilikuwa na IST ya 11,500,000. Nilipigwa na Ice tarehe 10/10/2019. bima nilikata ya tarehe 08/07/2020-07/07/2020. Claim amount imesoma 15,800,000 na payable ni 9,000,000.
Katika michakato hii, je, hii gari nimali ya bima au inabakai kuwa yangu?
Nilikuwa na IST ya 11,500,000. Nilipigwa na Ice tarehe 10/10/2019. bima nilikata ya tarehe 08/07/2020-07/07/2020. Claim amount imesoma 15,800,000 na payable ni 9,000,000.
Katika michakato hii, je, hii gari nimali ya bima au inabakai kuwa yangu?