Ma-chemist
Member
- May 11, 2020
- 36
- 14
Habari za wakati huu ndugu Wanajamvi, Kama kichwa Cha habari kinavo jieleza hapo juu mimi ni muhitimu wa Kidato cha Sita mwaka jana wa 2019/2020 mchepuo wa CBG matokeo yalikuwa kama hivi BAM=B, GS=C chemistry=D Biology=D Geography=D, sema msi shangae kwanini BAM, nina ufaulu huo nili chaguliwa EGM mwanzoni Ila kulingana na ushawishii nikajikuta nimeenda Tahususi ya CBG
Sasa ndugu Wana jamvi kutokana na kukosa mkopo nikajikuta nimeshindwa kuji-unga na masomo yangu ya Elimu ya Juu lakini mwaka huu baada ya kukaa nyumbaniii nikajikuta nimebadilisha mawazo nataman kwenda kusoma Bancherol of science in Artcheture pale Ardhii University au Building Economic Apo Apo Ardhii.
Je kwa matokeo hayo ninaweza kupata nafasi kwel na hizo course Zina husiana na Nini hasa lkn pia Mzazi Ana zidi kunishinikiza nikasome Bancherol of science in molecular biology and Biotechnology au microbiology pale UDSM na Bancherol of science in Biotechnology and laboratory science pale SUA
Je kwa matokeo hayo ninaweza kupata nafasi kwel kwa hizo chuo na mwenye ufahami wa hizi program anipe uelewe plz maana soon dirisha linakwenda kufunguliwa 2020/2021
Sasa ndugu Wana jamvi kutokana na kukosa mkopo nikajikuta nimeshindwa kuji-unga na masomo yangu ya Elimu ya Juu lakini mwaka huu baada ya kukaa nyumbaniii nikajikuta nimebadilisha mawazo nataman kwenda kusoma Bancherol of science in Artcheture pale Ardhii University au Building Economic Apo Apo Ardhii.
Je kwa matokeo hayo ninaweza kupata nafasi kwel na hizo course Zina husiana na Nini hasa lkn pia Mzazi Ana zidi kunishinikiza nikasome Bancherol of science in molecular biology and Biotechnology au microbiology pale UDSM na Bancherol of science in Biotechnology and laboratory science pale SUA
Je kwa matokeo hayo ninaweza kupata nafasi kwel kwa hizo chuo na mwenye ufahami wa hizi program anipe uelewe plz maana soon dirisha linakwenda kufunguliwa 2020/2021