Msaada kuhusu eSIM

Kilangi masanja

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
4,194
4,550
Habari zenu wadau, Naomba msaada wa kujuzwa kuhusu hii kitu Kwenye simu za iphone. Kwa sasa kumekua na matoleo ya iphone ambapo ni dual line ( laini mbili), lakini laini moja inakua ni eSim (laini usioiona kwa macho na inakua ndani ya simu).

Hoja yangu ya msingi hapa nataka kujua je, hapa kwetu bongo makampuni ya simu wanayo hio huduma ya usajili kwa hizo laini za mfumo huo. Na je kama ni ndio ni jukumu tu la mmiliki wa simu kuchagua ni mtandao gani akasajilie line huko?

Pia endapo simu ikipotea au kuharibu uwezekano wa kuitumia ile laini ya ndani unakuaje?

Asante
 
Kwa hapa bongo nadhani ni TTCL na Smile ndio wanasupport eSIM. Kma TTCL karibia simu zao zote zile za Mkonga (lakini digital) zina eSIM

eSIM inakua paired na IMEI number ya simu.

Ukipoteza au kubadilisha simu unaenda kwa carrier wako anai transfer kwnye simu nyingine au kuifuta.

Yaan elewa ni kma line ya kawaida tu sema hauiweki wewe, wanaweka carrier wako. Ukitaka kuitoa au kubadilsha wao ndo wanaweza kukufanyia hivo
 
Asante kiongozi nimezid kupata mwanga ila nadhani hii teknolojia ifike kipindi ichukue nafasi now sio kua tunahangaika na mi laini hii utopolo
 
Back
Top Bottom