Msaada kwa walisoma masuala ya ukuzaji miitaala

Msaada kwa walisoma masuala ya ukuzaji miitaala

Babarazack

Senior Member
Joined
Sep 9, 2015
Posts
134
Reaction score
161
Habari.

Wagenzi ninaomba msaada wenu tafadhali, naomba mnijuze ni chuo gani kinatoa diploma ya ukuzaji mitaala (diploma in curriculum development) sifa za kujiunga (vigezo) na mambo yote ya muhimu kwa ujumla.

Asante
 
Adem, chuo kipo bagamoyo

Kuhusu ada na vigezo watakuja wajuzi zaidi
 
Back
Top Bottom