TCRA tunaomba msaada tafadhali

gluckkcom

JF-Expert Member
Jun 21, 2019
362
787
Sisi hatukufanya makosa kuitikia wito wa kusajili lain zetu kwa alama za vidole

Ila makosa yanafanywa na mawakala ambao mmewaamini na kuwapa dhamana ya kutupatia huduma hiyo wananchi

Wana dumplicate data za mteja wa awali na kuzitumia data hizo kuwasajilia wateja wengine sim card huku wakijua kitendo wanachokifanya ni makosa na ni kinyume na sheria

Tamaa zao za kujiingizia kipato kwa njia hiyo wengi tutajikuta matatizoni bila ya kuhusika moja kwa moja ktk makosa ambayo yatafanywa na watu wengine

Sasa sisi wanachi wanyonge tunaomba yafanyike mabadiliko ya mfumo toka huu uliopo wa ufutaji namba ambazo zina mtatiza mteja ambao unamlazimu mteja kwenda moja kwa moja kwenye maduka makubwa ya mitandao husika ili kufanikisha zoezi hilo

Na badala yake mteja aweze kufuta mwenyewe namba hizo hata akiwa nyumbani kwa njia hizi tajwa

/> kuwepo na namba maalumu ya kupiga simu katk mtandao husika na kutoa taarifa ili kufutiwa hizo namba

/> kuwepo na menu maalumu ya kureport namba ambazo mteja #azitambui na kisha kufutiwa

Kwa mfumo huu uliopo ni chamoto kwa tulio wengi kwani tunaishi vijijini na maisha yetu ni tiatia maji na kuzifikia vodashop ,tigo shop,halo shop ni mtihan mkubwa kwani zipo mbali sana na makazi yetu

Kama mm naishi lichinga mpakani mwa tanzania na msumbiji ili kuifikia voda shop ilipo navuka vijiji 15 nauli kwenda na kurudi ni Tsh 50000 bado sija + kula + kulala

Ili nijinusulu na vifungo na paswa kulitekeleza hilo ila je? gharama nitakazo tumia ntalipwa na nan ?

Tafadhari🙏


⚠Uandishi wangu sio mzuri ila tuvumiline tu guys
I do'nt want shit from you 😲✒error correctors
 
Hiyo process ya kufanya mteja afute namba yake iliyokuwa duplicated itabidi iwe na verification, kinyume na hapo Mtu feki anaweza akaripoti kwa mtu Original then aliye original akapoteza namba yake.

Na hiyo verification process ifanyike ofisi za Mtandao husika vikiambatanishwa vitambulisho. Hii ndo njia salama na fair kabisa.
 
Hiyo process ya kufanya mteja afute namba yake iliyokuwa duplicated itabidi iwe na verification, kinyume na hapo Mtu feki anaweza akaripoti kwa mtu Original then aliye original akapoteza namba yake.

Na hiyo verification process ifanyike ofisi za Mtandao husika vikiambatanishwa vitambulisho. Hii ndo njia salama na fair kabisa.
Ndivyo wanavyofanya mkuu. Hauwezi kufuta namba bila virification ya dole gumba Nida.
 
Waweke option ya mteja mwenyewe,kufuta namba asiyoitambua,,
Hii ni hatari kwa sababu mtu mwenye feki anaweza mfuta mtu mwenye Original. Ufutaji huu ni vyema ukawa ni Ofisini sio kwa wakala wa mtaani. Na kama tukitaka mtu afute mwenyewe nyumbani basi pawe na verification ya kuingiza NIN na maswali mengine kama tarehe ya kuzaliwa
 
Hiyo process ya kufanya mteja afute namba yake iliyokuwa duplicated itabidi iwe na verification, kinyume na hapo Mtu feki anaweza akaripoti kwa mtu Original then aliye original akapoteza namba yake.

Na hiyo verification process ifanyike ofisi za Mtandao husika vikiambatanishwa vitambulisho. Hii ndo njia salama na fair kabisa.
Mtu fake kumreport Og sizani kama inawezekana maana wengi walio tumia njia hiyo kusajiliwa lain hata namba ya nida iliyo tumika kusajilia lain zao awazifahamu labda kama hao mawakala ni marafik au ndugu zao ndy wanaweza kuwatajia nao waka note sehemu

Kwa hiyo wao sio rahisi kufanya hivyo
 
Hii ni hatari kwa sababu mtu mwenye feki anaweza mfuta mtu mwenye Original. Ufutaji huu ni vyema ukawa ni Ofisini sio kwa wakala wa mtaani. Na kama tukitaka mtu afute mwenyewe nyumbani basi pawe na verification ya kuingiza NIN na maswali mengine kama tarehe ya kuzaliwa
Yah Verification #iwe ni kwa njia maswali mazito ambayo yataweza kumthibitisha mtu ambaye ni mmiliki halali wa lain husika
 
Verification unaifanya wewe kwa namba ya Nida na Dole lako.
Ndivyo ilivyo.
Kwa sisi tulio mbali tungesaidiwa baada ya verification ya kidole tungefanya ya maswali

Mfano jina la mama kabila mahari alipo zaliwa tarehe mwezi na mwaka

Kama process zile zile tulizo fanya uhamiaji

Hayo utaulizwa wewe na mwenye namba unayo taka ifutwe ili kuujua ukweli wao watalinganisha data huko makao makuu na kumjua nan ni fake na nani ni Og


Kwa mtililiko huo wa maswali mwizi na mwenye mali yake atajulikana tu
 
Kwa sisi tulio mbali tungesaidiwa baada ya verification ya kidole tungefanya ya maswali

Mfano jina la mama kabila mahari alipo zaliwa tarehe mwezi na mwaka

Kama process zile zile tulizo fanya uhamiaji

Hayo utaulizwa wewe na mwenye namba unayo taka ifutwe then wao wanalinganisha data huko makao makuu t


Kwa mtililiko huo wa maswali mwizi na mwenye mali yake atajulikana tu
Nimekupata vema.
 
Hii ni hatari kwa sababu mtu mwenye feki anaweza mfuta mtu mwenye Original. Ufutaji huu ni vyema ukawa ni Ofisini sio kwa wakala wa mtaani. Na kama tukitaka mtu afute mwenyewe nyumbani basi pawe na verification ya kuingiza NIN na maswali mengine kama tarehe ya kuzaliwa
Inaanza tumika tar 1 mwezi ujao.. hakuna cha uhatari wala nn
 
Back
Top Bottom