msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Msaada nasumbuliwa na jino

    Habari wana Jf kama mada inavyo jieleza hapo juu nimekua nasumbuliwa na meno hasa haya magego kiasi kwamba nikinywa kitu cha baridi nasikia yanauma na mda mwingine upepo ukiingia mdomoni tu nasikia yanauma na yakiambatana na kichwa kugonga sana
  2. Nahitaji msaada wa kisheria kwa mfanyakazi ambae mkataba wake umesitishwa bila notice ya mwezi mmoja lakini amelipwa mshahara wa mwezi mmoja zaidi

    Habari zenu wanajamvi. Naulizia ili kufahamu kwa niaba ya rafiki yangu. Rafiki yangu alikuwa ni mfanyakazi wa kampuni fulani hapa jijini Dar es Salaam na alikuwa akifanya kazi na hiyo kampuni kwa takriban miaka mitano. Kwa kawaida kampuni ambayo alikuwa akifanya nayo kazi ilikuwa inawapatia...
  3. Msaada wa haraka wa kumtahiri mtoto

    Habari wa JF Nahitaji msaada wa mtu yeyote anayejua hospitali nzuri kwa kutahiri watoto anijuze
  4. A

    Msaada, hospitali gani wanaondoa makovu

    Habari jamani hivi kwa dar es salaam hospital gani wanaondoa makovu yaliyosababishwa na moto.
  5. Msaada wa maoni na ushauri kuhusu Range rover classic

    Wakuu habari naombeni ushauri na maoni yenu kuhusu hii chuma ya mwingereza maana inanivutia na ndo gari ya ndoto yangu msaada Wa uimara wake pamoja na changamoto zake ukizingatia Mimi ni mkulima na mda mwingi Niko porini na vipi kuhusu spea na matengenezo yake hasa ikiwa ni diesel version...
  6. Ndugu zangu naombeni msaada kuhusiana na skrill

    Juzi juzi tu hapa nilifungua account. Baada tu ya kuifungua nikadeposit pesa USD 10 na cent 50. Ni kama elfu 24 hivi. Hiyo hela niliideposit kutoka kwenye mastar card ya M-PESA. Hela ikaingia na nikaiona kabisa balance USD 10.50 Nia yangu nilikuwa nataka deposit tena kutoka skrill kwenda kwa...
  7. Msaada nahisi ana mimba naombeni ufafanuzi katika hili

    Salaam sana wakuu, Kama wiki mbili zilizopita nilienda kumpima wife ujauzito ambapo majibu yalikua ni U.P.T negative na akachomwa sindano ya kuzuia mimba ila sasa napata mashaka. Ishu ni kwamba haoni siku zake na kwa kawaida ilitakiwa awe ameziona . Pili amekua akiniagiza vitu hususan soda na...
  8. M

    Msaada kati ya subaru Forester ya 2005 na Nissan Dualis ya 2007

    Wakubwa naitaji kumiliki gari moja wapo kati ya hizi Subaru Forester ya 2005 na Nissan Dualis 2007 je, Ipi inanifaa zaidi ikizingatiwa ndo mara ya kwanza kutaka kumiliki gari? Nilitaka kujua kuhusu ubora ,gharama ya vifaa Subaru Forester 2005 Nissan Dualis 2007
  9. Kenya inaanza kutoa msaada kwa Mozambique baada ya watu 300,000 kuyahama makazi yako kufuatia mashambulio ya kigaidi

    Kenya imetoa msaada wa vyakula na madawa kwa zaidi ya watu 300,000 Mozambique waliofurushwa kutokana na vita vya kigaidi vya kundi la Ansar al-Sunna. Anyway kila mtu akichangia watapata usaidizi kwenye janga hili
  10. Msaada: Hi hali ya kukaa muda mrefu bila kupata hedhi husababishwa na nini?

    Hi hali ya kukaa muda mrefu bila kupata hedhi husababishwa na nini? Yaani mfano mwanamke umezaa mtoto baadae unakuja pata hedhi baada ya miaka miwili ukizaa tena kuja kupata hedhi inakuchukua baada ya miaka au mwaka. Hapa chanzo cha tatizo hili huwa ni nini? Au ni jambo la kawaida kwa baadhi...
  11. Msaada wadau,decorder yangu MPEG 4,Hometech 940II ina shida!

    Wadau poleni na mihangaiko ya kila siku.Ninayo recorder yangu ya Kichina MPEG 4.Shida yake kubwa ni kwamba, ukishawasha mara nyingi inakwamia kwenye boot mpaka uwashe na kuzima weee,ndio ikubali.Kama kuna mdau anayejua tiba yake naomba msaada.Inakera sana.
  12. I

    Msaada shule bora ya sekondary ya michezo

    wakuu nina kijana wangu anamaliza darasa la 7 mwakani. nataka akiwa tayari kuenda o level nimpeleke shule ambayo haijali tu masomo ya kawaida bali michezo pia. nataka kutengeneza bonge la central defender kwa ajili ya professsional football na Taifa Stars. asanteni.
  13. M

    Msaada wa admission letter

    Nmetumiwa admission documents laikini admission letter sijatumiwa Niki click sehem ya download admission letter zina open other admission documents na sio admission letter, chuo ni muhas , msaada wenu jamani.
  14. B

    Msaada wa kazi yoyote, Nimesomea Medical Attendant

    Habari wakuu, Natumai mu wazima, naombeni kwa mwenye kibarua au anayejua mahali kuna nafasi za kazi anisaidie. Nimesomea kozi ya medical attendant, nimewahi kufanya kazi kwenye dispensary baadhi za watu binafsi, kwa sasa hali ni ngumu kwani ajira hakuna na pia mitaji imekuwa ngumu kidogo...
  15. Msaada jamani ku download kitabu kinachouzwa mtandaoni lakini mi niki download kwa free

    Kitabu kinaitwa THE LOST BOOK OF HERBAL REMEDIES ( by Claude Davis and Dr. Nicole Apelian) Dah nakihitaji Sana. Wataalam wa ku cheza na kuchekecha mambo hamuwezi mkanisaidia aisee ni fanye free download?!! Asante sana 🙏🙏
  16. Msaada: Barabara gani itakuwa rahisi kwa leo na mvua hii?

    .
  17. Wakuu msaada account yangu ya adsense imepigwa limit

    Habari wanajF, Mkuu nimepigwa ad limit kwenye AdSense account yangu yenye Website ambayo ipo hosted na blogger msaada wenu tafadhali namna ya kufix hii ishu ya matangazo. Nahitaji matangazo yaendelee kudisplay. Asante
  18. M

    Msaada: Wapi wanapima Corona?

    Natumaini wote wazima na kwa wale wa dar poleni na mafuriko. Nilikuwa naomba kufahamishwa wapi wanapima Corona maana natarajia kusafiri nje ya nchi. Pili je kipimo cha Corona bado ni kile kile cha kuchokonoana pua?
  19. L

    Msaada: Kampuni gani nzuri ya tracking system kwenye magari kati ya hizi?

    Habari wakuu; ninataka kufunga tracking system kwenye gari yangu ndogo ambayo naikodisha. Nimegoogle nikapata kampuni kadhaa hapa (Cartrack, U-track, Afritrack, Wetrack). Ninaomba wenye uzoefu na hizi kampuni wanisaidie ipi hapa iko poa zaidi. Na kama kuna kampuni zingine pia naomba mapendekezo...
  20. K

    Msaada please!

    Salaam! Hongereni na poleni kwa majukumu, naomba msaada kati ya Degree ya Science (ICT) na Degree ya Science (Data Management) zinazotolewa na Open University of Tanzania ipi ni bora zaidi hasa katika ulimwengu huu na dunia ijayo. Ahsanteni. Be blessed!
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…