Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,471
- 23,743
Katika kipindi hiki ambacho Tanzania tumeweza kuidhibiti Corona kwa kiwango cha lami au standard gauge. Sasa nadhani tuna haja ya kutoa misaada kwa nchi nyingine za Ulaya na Marekani katika kudhibiti tatizo hili.
Kuna haja ya kuwafundisha namna ya ku deal na mambo kama haya lakini pia kwa sababu wameyumba kiuchumi na kwa makusanyo yetu kwa sasa yamekuwa makubwa si mbaya kama pia tutawawezesha kiuchumi.
Hii siku naisubiria sana ambayo Kichwa cha Habari cha chombo fulani cha habari kitakuwa na maneno hayo kwenye heading.
Tumpe Magufuli miaka hata 30 mitano tena ni michache.
Kuna haja ya kuwafundisha namna ya ku deal na mambo kama haya lakini pia kwa sababu wameyumba kiuchumi na kwa makusanyo yetu kwa sasa yamekuwa makubwa si mbaya kama pia tutawawezesha kiuchumi.
Hii siku naisubiria sana ambayo Kichwa cha Habari cha chombo fulani cha habari kitakuwa na maneno hayo kwenye heading.
Tumpe Magufuli miaka hata 30 mitano tena ni michache.