Marshall plan
JF-Expert Member
- Nov 3, 2019
- 644
- 980
Wakuu salaam kwenu!
Naomba kujua Sheria inasemaje ikiwa Mme katika familia anataka kuuza Mali za familia pasipokushirikisha familia yake na familia haijaafiki uuzwaji wa Mali hizo!
Tatizo lipo hivi Baba wa familia anataka kuhama eneo wanapoishi na kuhamia eneo jingine,ila tatizo linakuja katika mchakato wa uuzwaji wa Mali hizo kwani Baba wa familia hajaishirikisha familia zaidi ya kuwapa taarifa ya kuuza hizo Mali, Mama wa familia hataki kuuzwa kwa mali hizo kwasababu hajashirikishwa ipasavyo.
Kibaya zaidi inasemekana sahihi za uuzwaji wa Mali hizo zimewekwa na mtoto ambaye yupo nje ya familia ya mama wa familia kwa maaana ya "nje ya ndoa". Wataalam wa sheria mnamsaidiaje huyu mama na familia yake!
Karibu kwa msaada mama aanzie wapi kupata
Naomba kujua Sheria inasemaje ikiwa Mme katika familia anataka kuuza Mali za familia pasipokushirikisha familia yake na familia haijaafiki uuzwaji wa Mali hizo!
Tatizo lipo hivi Baba wa familia anataka kuhama eneo wanapoishi na kuhamia eneo jingine,ila tatizo linakuja katika mchakato wa uuzwaji wa Mali hizo kwani Baba wa familia hajaishirikisha familia zaidi ya kuwapa taarifa ya kuuza hizo Mali, Mama wa familia hataki kuuzwa kwa mali hizo kwasababu hajashirikishwa ipasavyo.
Kibaya zaidi inasemekana sahihi za uuzwaji wa Mali hizo zimewekwa na mtoto ambaye yupo nje ya familia ya mama wa familia kwa maaana ya "nje ya ndoa". Wataalam wa sheria mnamsaidiaje huyu mama na familia yake!
Karibu kwa msaada mama aanzie wapi kupata