msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. expter

    MSAADA: Anaye jua biashara ya kuagiza magari kutoka Japan anijuze

    MSAADA : Habari wana jamvi la biashara; Nina rafiki yangu yupo japani anauza magari kwenye kampuni moja hivi, sasa ameniambia nitafute wateja atanilipa kwa commision, uwezo wa kutafuta wateja ninao coz nimefanya masoko kwenye makampuni mbalimbali lakini sijawahi kufanya biashara ya magari...
  2. I

    Msaada: Setup ya Microsoft office 2007

    Poleni na majukumu ya kila siku, jamani naombeni kupatiwa hiyo program "Microsoft Office 2007 with product key". PC yangu haina hii program inanikosesha raha ya kuitumia. Mwenye nayo msaada tafadhali!
  3. matunduizi

    Wakuu msaada: nahitaji link ya kupata free soundeffects ( with no copyright)

    Rejea kichwa hapo juu Natanguliza shukrani.
  4. Feld Marshal Tantawi

    Msaada wa haraka unahitaji

    Wakuu wasalam Bila kupoteza mda nina shangaz yangu anapakana na mama mmoja ambapo kuna ugomv ulitokea na huyo mama kupelekeka kes mahakaman Ishu ilisababishwa na paka wa huyo mama jiran kwenda kulia mlangon kwa shangaz na shangaz katika kumfukuza bas watoto wa yule mama waliona kile kitendo na...
  5. Msandawe Jr

    Msaada: Naomba kujuzwa jinsi ya kupata uraia kwa msichana anayetoka nje ya nchi ili kuolewa na kuishi Tanzania

    Habari za jioni wana JF! Nina mpenzi wangu anaishi nchini Australia anataka kuja Tanzania tuanze maisha, naomba msaada kujua taratibu za kufanya kumpatia uraia ili niweze kuishi nae Tanzania.
  6. kikoozi

    Msaada anayejua upatikanaji wa mashine za kamari zile za kuweka 200

    Hbarini ndugu, nataka kujua zile machine za kichina za kuweka sh mia 200 ya salafu zinapatikana vipi, nataka mimi ndio niwe mmliki na muendeshaji, uwa naona wachina ndio wanazifunga maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es salaam, sasa naombeni mwenye kujua yafuatayo 1. Upatikanaji wake? 2...
  7. C

    Naomba msaada mwenye hii case ya Tanganyika Garage v. Marcel G. Mafuruki (1975) LRT 23 anisaidie facts na judgment yake

    Wadau naomba msaada mwenye hii case ya Tanganyikaganyika Garage v. Marcel G. Mafuruki (1975) LRT 23 anisaidie facts na judgment yake.
  8. Iamhonest

    Msaada wa bei ya kukodishia kampuni eneo kwaajili ya kuweka mnara

    Habari za muda wana Jamii Forums, Samahani na napenda kupata msaada wa kujua gharama za kukodisha eneo kwaajili ya mnara kwenye eneo la mita 30*30 bei imefika shingapi? 2021 hii. Na mambo gani yakuzingatia kwenye mchakato mzima ikiwepo mkataba. Asanteni.
  9. Mwenge07

    Naomba msaada wa kisheria

    Mwaka 2016...mzee mmoja aitwae STIVIN anayeishi mkoa wa RUVUMA wilaya ya mbinga Dc aligongwa na gari kampuni ya SUPERFEO inayofanya safari za Mbinga to Dodoma hadi kupelekea kupoteza miguu yake yote miwili. Jambo la kusikitisha ni kwamba Kampuni hiyo haikutoa msaada wowote kwa mzee huyo.Pia...
  10. Magoe

    Msaada: T-SMART 4G NCK CODE

    Habari. Kama kichwa cha habari hapo juu. Naomba msaada wa unlock code kwani nimechoshwa na kuunga bando ktk lain ya tigo maana ni gharama sana! Naambatanisha na emai ya simu. Network: TIGO Model: FP789L-T IMEI: Natanguliza shukrani.
  11. S

    Msaada wa kuelewa ubunifu uzalishaji umeme utokanao na sumaku

    Mtanzania mwenzetu abuni umeme utokanao au kwa kutumia sumaku? sijaelewa kama njia hiyo kwani haikuwepo? na je hakuna kabisa chanzo kingine cha energy kama mafuta, upepo , au hata solar ya kuizungusha hiyo sumaku ili itoe umeme? yaani ni sumaku tu ndio chanzo pekee?
  12. J

    Nina Stashahada ya Uhasibu, natafuta ajira

    Elimu ni stashahada ya uhasibu ila kazi yoyote nipo tayari naomba msaada ma boss mliopo humu Mimi binti wa miaka 25 naishi Kibaha, Pwani 0628882267 Asante!
  13. Darucha

    Naomba majibu ya swali hili la Uchumi

    What are the main types of production function and what are their application in economic problem?
  14. M

    Msaada wa kimawazo: Nahisi naanza kupata depression

    Mimi ni kijana, miaka 27. Ninaishi na kufanya kazi mkoani nyanda za juu kusini huku. Nina kazi nzuri na vibiashara vya hapa na pale vya kuniweka mjini. Nilikua na malengo mengi sana na swala la kuoa sikua nimelipanga kwa sasa. Sikua na uhusiano wowote serious. Mwaka jana mwanzoni kuna binti...
  15. JOESKY

    Msaada wa tiba ya Amiba sugu

    Ndugu zangu natanguliza salam zangu kwenu! Nimekuwa nikipata shida ya amiba mara kwa mara nimetumia dawa kama Tinidazole kwa nyakati tofauti tofauti na namaliza dozi lakini bado tatizo linarudia tena. Naomba mnishauri kulingana na uzoefu wenu wa kitabibu kuhusu huu ugonjwa. Napaswa nitumie...
  16. S

    Jamani naomba msaada, nimeandaa bwawa nataka nifuge samaki nisaidieni mbegu nzuri ya kufuga

    Jamani naomba msaada, nimeandaa bwawa nataka nifuge samaki. Nisaidieni mbegu nzuri ya kufuga.
  17. B

    Msaada wa kupata connection/kazi ya ukaguzi/auditing

    Wakuu ni matumaini yangu mko salama, Natambua JF ni platform ambayo inakukutanisha na kila aina ya watu ikiwa ni kimawazo au kwa misaada mingine mbalimbali. Nirejee kwenye mada halisi. Nimekuja kwenu kuomba kazi ya ukaguzi wa ndani/internal auditing specifically kwenye microfinance au saccos...
  18. steve_shemej

    Msaada nataka kufungua kampuni

    Habari wakubwa naitwa steven ni kijana wa miaka 25 nipo Songea ni muhitimu wa fani ya welding and metal fabrication mwaka 2019 nia yangu natamani fungue na nisajiri kampuni yangu ya utengenezaji na uuzaji wa furniture za chuma hapa Songea. Ila changamoto sijui wapi naanzia natamani nifahamu...
  19. Darucha

    Msaada just ya hizi course

    Community development na public administration ni kozi ipi Kati ya hizi nimshauri ndugu yangu akasome maana matokeo yake ya form four siyo mazur Biology-b chemistry-f Physics-f Math-f Kiswakili-b Civics-d Geog-d Engl-d History-d
  20. D

    Ni upi usahihi kuhusu uwepo wa Dinosaurs duniani?

    Katika kusoma soma huku na kule nimekuatana na kitu ambacho kimenichanganya; labda nilete kwenu wana ndugu. Ipo hivi: Katika kufuatilia historia ya Dinosaurs inasamekana kwamba waliishi miaka kama billions zilizopita ila na kwa kipindi hicho hakukuwa na binadamu, lakini katika maandkio...
Back
Top Bottom