MSAADA : Habari wana jamvi la biashara; Nina rafiki yangu yupo japani anauza magari kwenye kampuni moja hivi, sasa ameniambia nitafute wateja atanilipa kwa commision, uwezo wa kutafuta wateja ninao coz nimefanya masoko kwenye makampuni mbalimbali lakini sijawahi kufanya biashara ya magari...
Poleni na majukumu ya kila siku, jamani naombeni kupatiwa hiyo program "Microsoft Office 2007 with product key". PC yangu haina hii program inanikosesha raha ya kuitumia. Mwenye nayo msaada tafadhali!
Wakuu wasalam
Bila kupoteza mda nina shangaz yangu anapakana na mama mmoja ambapo kuna ugomv ulitokea na huyo mama kupelekeka kes mahakaman
Ishu ilisababishwa na paka wa huyo mama jiran kwenda kulia mlangon kwa shangaz na shangaz katika kumfukuza bas watoto wa yule mama waliona kile kitendo na...
Habari za jioni wana JF!
Nina mpenzi wangu anaishi nchini Australia anataka kuja Tanzania tuanze maisha, naomba msaada kujua taratibu za kufanya kumpatia uraia ili niweze kuishi nae Tanzania.
Hbarini ndugu, nataka kujua zile machine za kichina za kuweka sh mia 200 ya salafu zinapatikana vipi, nataka mimi ndio niwe mmliki na muendeshaji, uwa naona wachina ndio wanazifunga maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es salaam, sasa naombeni mwenye kujua yafuatayo
1. Upatikanaji wake?
2...
Habari za muda wana Jamii Forums,
Samahani na napenda kupata msaada wa kujua gharama za kukodisha eneo kwaajili ya mnara kwenye eneo la mita 30*30 bei imefika shingapi? 2021 hii.
Na mambo gani yakuzingatia kwenye mchakato mzima ikiwepo mkataba.
Asanteni.
Mwaka 2016...mzee mmoja aitwae STIVIN anayeishi mkoa wa RUVUMA wilaya ya mbinga Dc aligongwa na gari kampuni ya SUPERFEO inayofanya safari za Mbinga to Dodoma hadi kupelekea kupoteza miguu yake yote miwili.
Jambo la kusikitisha ni kwamba Kampuni hiyo haikutoa msaada wowote kwa mzee huyo.Pia...
Habari. Kama kichwa cha habari hapo juu. Naomba msaada wa unlock code kwani nimechoshwa na kuunga bando ktk lain ya tigo maana ni gharama sana!
Naambatanisha na emai ya simu.
Network: TIGO
Model: FP789L-T
IMEI:
Natanguliza shukrani.
Mtanzania mwenzetu abuni umeme utokanao au kwa kutumia sumaku?
sijaelewa kama njia hiyo kwani haikuwepo? na je hakuna kabisa chanzo kingine cha energy kama mafuta, upepo , au hata solar ya kuizungusha hiyo sumaku ili itoe umeme? yaani ni sumaku tu ndio chanzo pekee?
Elimu ni stashahada ya uhasibu ila kazi yoyote nipo tayari naomba msaada ma boss mliopo humu Mimi binti wa miaka 25 naishi Kibaha, Pwani
0628882267
Asante!
Mimi ni kijana, miaka 27. Ninaishi na kufanya kazi mkoani nyanda za juu kusini huku. Nina kazi nzuri na vibiashara vya hapa na pale vya kuniweka mjini. Nilikua na malengo mengi sana na swala la kuoa sikua nimelipanga kwa sasa. Sikua na uhusiano wowote serious.
Mwaka jana mwanzoni kuna binti...
Ndugu zangu natanguliza salam zangu kwenu!
Nimekuwa nikipata shida ya amiba mara kwa mara nimetumia dawa kama Tinidazole kwa nyakati tofauti tofauti na namaliza dozi lakini bado tatizo linarudia tena.
Naomba mnishauri kulingana na uzoefu wenu wa kitabibu kuhusu huu ugonjwa.
Napaswa nitumie...
Wakuu ni matumaini yangu mko salama,
Natambua JF ni platform ambayo inakukutanisha na kila aina ya watu ikiwa ni kimawazo au kwa misaada mingine mbalimbali.
Nirejee kwenye mada halisi. Nimekuja kwenu kuomba kazi ya ukaguzi wa ndani/internal auditing specifically kwenye microfinance au saccos...
Habari wakubwa naitwa steven ni kijana wa miaka 25 nipo Songea ni muhitimu wa fani ya welding and metal fabrication mwaka 2019 nia yangu natamani fungue na nisajiri kampuni yangu ya utengenezaji na uuzaji wa furniture za chuma hapa Songea.
Ila changamoto sijui wapi naanzia natamani nifahamu...
Community development na public administration ni kozi ipi Kati ya hizi nimshauri ndugu yangu akasome maana matokeo yake ya form four siyo mazur
Biology-b
chemistry-f
Physics-f
Math-f
Kiswakili-b
Civics-d
Geog-d
Engl-d
History-d
Katika kusoma soma huku na kule nimekuatana na kitu ambacho kimenichanganya; labda nilete kwenu wana ndugu. Ipo hivi:
Katika kufuatilia historia ya Dinosaurs inasamekana kwamba waliishi miaka kama billions zilizopita ila na kwa kipindi hicho hakukuwa na binadamu, lakini katika maandkio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.