msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. N

    JamiiForums Tanzania Msaada wenu tafadhali

    Naombeni tafsiri ya nyimbo hizi za fally ipupa 1. Ecole 2. Allo telephone
  2. Harrykany

    JamiiForums Tanzania Msaada: Kila nikijaribu kujiunga na Twitter inagomea penye namba ya simu

    Kila nikijaribu kujiunga Na Twitter inagomea penye namba ya simu, hata aileti maelezo yoyote
  3. A

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kupata diagnosis

    Hello wa kuu za muda huu nimeshindwa kupata diagnosis kwenye hii case. Samahani kuna ili tatzo ana vipele vidogo vidogo kwenye corona grands penis ambavyo ni vidogo vidogo sana haviwash, wala havitoi maji,wala kuuma. Vina zaid ya miaka 4 ila mwez wa kwanza alienda hospital wakamchukua damu na...
  4. G

    JamiiForums Tanzania Rais anapofia madarakani, utaratibu ni upi kwa sheria za nchi yetu?

    Ningependa kujua ikiwa ikatokea bahati mbaya amefariki katika ajali au namna yoyote iwayo, nani ateyeshika nafasi ya uongozi wa taifa letu? ====== 37(5) Endapo kiti cha Rais kitakuwa wazi kutokana na Rais kufariki dunia, kujiuzulu, kupoteza sifa za uchaguzi au kutomudu kazi zake kutokana na...
  5. JAY EXCLUSIVE

    JamiiForums Tanzania Naombeni kushauriwa ni ninayoweza kuajiriwa kwa haraka na kujiajiri?

    Mimi nimemeliza elimu ya secondari 2020 naitaji ku apply chuo nina ufaulu wa 4 ya 27, naombeni kushauriwa ni kozi gani yenye ajira? Ninayoweza kuajiriwa kwa haraka na kujiajiri vile vile, naombeni msaada wa JF Nilikuwa nimshafanya uchaguzi nikasomee IT but nimegundua ajira ni ndogo kiteknolojia...
  6. The Assassin

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kupata gynaecologist

    Habari wadau. Naomba kufahamu hospitalini ambayo ina wataalam wa magonjwa ya kina mama ama gynaecologist mzuri kwa hapa Dar es Salaam. Mpenzi wangu ana tatizo la maumivu wakati wa ngono, hii inatupatia shida kidogo maana tunakua hatufurahii ngono vile inavyotakiwa. Naomba msaada wa kujua...
  7. WA MAMNDENII

    JamiiForums Tanzania Naombeni msaada Tafsiri sahihi ya maana ya neno lililoandikwa before 40 kwenye picha ambatishwa

  8. V

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, nimesoma Bachelor of Finance na uzoefu mwingi

    Hello wanaforum naitwa richard nimegraduate degree ya finance university of dsm natafuta nafasi ya kazi ya kujitolea kwenye kampuni yoyote nipate uzoefu Napatikana Dar Es Salaam Tanzania namba zangu 0657710078
  9. A

    JamiiForums Tanzania Sound bars za hisence

    Naomba msaada wa kufahamu kwa anaejua sound bar za hisence zenye watts 130 na 320. Naulizia ubora wa hizo kwa ambae anatumia
  10. M

    JamiiForums Tanzania Majibu niliyopewa Wiki Mbili na Leo pia na Mtabibu wa zamu juu ya Mpwa wangu yamenichanganya naombeni Msaada wa Kuyaelewa tafadhali

    Alilazwa Wiki Mbili zilizopita All - Rounder nikaambiwa kuwa Mpwa wangu HE IS IN COMA hivyo nitulie tu Wahangaike nae waweze kuona kama wataokoa Maisha yake japo Daktari Mmoja aliniuma Sikio na kuniambia nijiandae Kisaikolojia kwa lolote lile. Leo muda mfupi tu nimetoka Kumtizama Mpwa wangu...
  11. S

    JamiiForums Tanzania Msaada: Wataalam wa solar energy

    Ni solar panel na betri ya namna gani ambayo itaweza kuwasha taa tatu na kuchaji simu mbili kwa wakati mmoja?
  12. LUCKSON MNYENGU

    JamiiForums Tanzania Jamani naombeni msaada hivi ukitaka kupata namba yako ya NIDA unafanyaje?

    Jamani msaada ukitaka kupata namba yako ya nida unafanyaje kwa sasa hivi manake nimejaribu ussd code(*152*00#) imekataa sehemu ya nida siioni.
  13. Ngorunde

    JamiiForums Tanzania Msaada: Jinsi ya kudhibiti ndege waharibifu kilimo cha maharage

    Habari wanajamvi. Mimi ni mkulima wa maharage ila changamoto kubwa sana ninayokutana nayo ni uharibifu mkubwa unaofanywa na ndege wanaoshabulia majani ya mimea wakati ikiwa michanga. Hawa ndege ni wa rangi ya brown, wana mkia mrefu na kichwani wana kichungi. Kweli wananiharibia sana kiasi cha...
  14. Jokia

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nahitaji huduma ya internet

    Wakuu salama humu? Naombeni msaada katika hili. Mahali nilipo huduma ya internet kupitia mitandao ya simu haipatikani na ikitokea inasoma E kiasi kwamba siwezi fanya cha maana kwa kutumia mtandao. Naomba kuuliza kama kuna uwezekano wa kuunganishiwa wireless internet ili niwe natumia wi-fi...
  15. Bin Shaib

    JamiiForums Tanzania Msaada katika kipaji changu hiki, nimekata tamaa

    Habari ya uzima wapendwa, tumshukuru Mungu kwa kutupa uhai bure, kwa siku nyingine tena imenipendeza kuwaleteeni changamoto hii ambayo naona ipo juu ya uwezo wangu. Mimi ni kijana mwenye umri 25 years old,nimekulia maeneo ya kijijini, kipaji changu cha uchoraji kiligundulika toka nipo shule ya...
  16. J

    JamiiForums Tanzania Ubao wa kuning'inizia simu na vifaa vya simu dukani unaitwaje?

    Huu ubao hutumika kuninginiza vifaa kama vifaa vya simu n.k, unaitwaje? Na naweza upataje? Unaonekana kwa nyuma.
  17. Magna Carta

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kutatua tatizo la enter power save mode kwenye desktop

    Habari Wataalamu, Naomba msaada wa kutaua tatizo kwenye desktop baada ya kudisplay maneno ya Enter Power save mode kwenye desktop Asanteni
  18. V

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kazi nipate kipato cha kujikimu na familia yangu nina uzoefu wa kazi za ujenzi

    Kwema wana jukwaa la JF Mimi ni mkazi wa Dar es Salaam tegeta nakuja mbele yenu kuomba kazi yoyoye halali ya kujipatia kipato. Maji yamenifika ukingoni baada ya kukaa muda mrefu bila kazi na na familia ya mke na mtoto mmoja na wote macho yao kwangu kama kichwa cha familia Nina uzoefu na kazi...
  19. emavalery

    JamiiForums Tanzania Msaada mafuta ya kupikia/Alizeti Kwa jumla tokea Singida/popote

    Hello JF Members, Natumaini mnaendelea vizuri, naomba msaada kama kichwa cha habari kinavyojieleza nahitaji connections ya kupata mtu anayeweza niuzie mafuta ya jumla/alizeti au kuniunganisha pia, napatikana Dar. Nitafurahi kwa mchango wenu kwangu, najua nitapata msaada. PM ipo wazi,
  20. Wazalendo unity_official

    JamiiForums Tanzania Bloggers, msaada please

    Habari za muda huu wakuu! Mimi blogger na Kuna tatizo linanisumbua naomba msaada weny wenye ujuzi please Kuna baadhi ya post zangu zina onyesha maandishi ya kiarabu ambayo mimi sikuyaweka na hata mfumo wa post hizo umebadilika, badala ya maneno kuanzia kushoto kwenda kulia yanaanzi kulia kwenda...
Back
Top Bottom