Kama kichwa kinavyojieleza ninaomba MSAADA wa kitabu tajwa hapo juu kwa yeyote mwenye nacho in soft copy. Mwandishi ni Mwl. Ambrose Odhiambo wa Bagamoyo.
Habari wakuu.
Naomba yeyote mwenye biashara ya kutengeneza sabuni za mche hapa Arusha tuwasiliane anipe ujuzi.
Kama upo Arusha au una contact za mtu aliye Arusha naomba msaada wako.
Natanguliza shukrani.
Habari zenu wanajukwaa humu ndani Kuna watu wema sana Mimi nimefanikiwa kupitia jukwaa hili hili 🙏🙏🙏
Sasa Leo nimekuja na ombi jingine 😭 Kama wahitaji muhasibu anaeweza kazi bila kusimamiwa Kama kuandaa return za mwezi na kazi zote zihusizo uhasibu Basi tunaomba Sana ajira Kwan Kaka yangu...
Habari wakuu.
Nina changamoto kwenye suala la connection ya internet kwenye computer nahitaji msaada wa anaeweza kujua jinsi ya kusolve hili tatizo.
Pc yangu ni DELL ina window 10, nilichange window siku ya juma tatu (25-01-2020) sababu window 10 ya mwanzo nilokua nayo ilikua ni Japanese...
Jamani pesa yenyewe dongo ila CWT tena wananikata wakati mimi nipo chama kingine jamaani tunakufa na huyu cwt msaada ndugu rais utusaidie afisa utumishi wanatunyonya wakishirikiana na ofisi ya cwt
Habarini wadau,
Kama mada ilivyojieleza. Naomba kujua kwa nyumba yenye sebule, dining, jiko, vyumba viwili na master. Kwa makadirio inaweza ikacost shilingi ngapi kuiweka Gypsum. Na ni Gypsam board gani nzuri na cost ni shilling ngapi?
Natanguliza shukran.
Ninayo Toyota Spacio New Model, ni cc 1490 ya mwaka 2004, ingine 1nz-fe.
Kwa mwenye ujuzi naomba kujua hii gari inaingia lita ngapi za transmission fluid.
Naomba msaada katika ili wadau ili nisije nikaua gear box ya gari yangu, mafundi wa mtaani wananichanganya sana aisee.
Wakuu habari,
Naomba msaada wenu, nina TV aina ya SOLSTAR 55" ambayo ni android. TV imeacha ku respond kwenye remote na hata kwa buttons za kawaida. Hapa ndipo iliyokwama, yaani hata kuizima na kuwasha inarudi hapo hapo. King'amuzi ninasoma bila shida.
Kwenye kona kuna alama nyekundu ambayo...
Habarini wanajamvi
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Kwa muda mrefu sasa najaribu kufanya mawasiliano bila mafanikio kwani namba zao hazipokelewi na email address haijibiwi.
Kama kuna namna nyingine ya mawasiliano naomba msaada.
Nimepata changamoto ya kushindwa kuunganisha Kadi yangu ya Airtel Master card na Paypal. Haswa eneo la ukomo wa tarehe. Hitilafu ninazokutana nazo kama kwenye picha ifuatavyo:
Hello, wakuu naomba msaada wa jinsi ya kukaanga karanga kwa ajili ya kuuza. Je, naweza tumia microwave katika kukaangia karanga au je, nitumie nini katika kukaanga karanga?
Msaada tafadhali
Habari,
Husika na kichwa cha habari kama kinavojieleza.
Tatizo hili limeanza baada ya kuweka window 10 pro kutoka window 8 pro.
Natumai nitapata msaada.
Hello everyone!
Naomba msaada wa kupata sample/template ya 'expression of interest' kwa ajili ya individual consultants.
Kuna sehemu nataka kupeleka maombi ya project management so wanachotaka ni expression of interest na mimi sijawai jaza hicho kitu. Hawataki application letter.
Nikipata...
Mimi Ni binti wa miaka 26 jamani nipo mbele zenu kuomba msaada wa ajira elimu yangu diploma ya uhasibu naishi Kibaha pwani mkoa wowote nipo tayar kufanya 0628882267.
Asanteni.
Salaam wakuu,
Ninataka niezeke kwa mabati yanayofahamika kama reject, nimetembelea wanapouza nimeona ni mapya kabisa hayana tofauti kubwa na yale ya madukani ambayo siyo reject.
Kuna mtu ameshawahi kuyatumia haya mabati au anafahamu mtu aliyewahi kuyatumia na hali yake ikoje mpaka sasa kwenye...
Wakuu kwema? Poleni na mihangaiko ya maisha pamoja na Ups and Down za January.
Mada ya uzi wangu ni kama kichwa kinavyojieleza juu. Kwa wafuatiliaji wazuri wa JF na mitandao mingine duniani kwenye habari za Technology kumekuwepo na wimbi kubwa la watu wakisema wanatengeneza pesa nzuri kwa Ads...
Wakuu nitaenda haraka kwenye point
Nilikua nahitaji kujua hatua za kufungua biashara ndogo tu ya ujasiriamali, nimepata kaeneo kando kando ya barabara. kuna mtu anaweza kunipa hatua zote za kufata mpaka kupata kubali?
Nilikua naomba kama mtu akieleza hatua basi aeleze in detail kidogo ili niweze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.