msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Miguel Alvarez

    JamiiForums Tanzania Msaada: Simu yangu ina tatizo kwenye camera

    Natumaini nyote mmeamka salama, Msaada tafadhari Simu yangu imekuwa na tatizo la upigaji camera kila ninapopiga picha inakuwa na ukungu hata haionyeshi,tatizo hili limeanza gafla,kipindi cha nyuma haikuwa hivi msaada tafadhari natumia Itel
  2. The River

    JamiiForums Tanzania msaada biashara ya udalali

    habari wakuu,,. naomba kwa anayejua kwa undani biashara/kazi ya udalali wa mahakama anisaidie,.. yaani nahitaji niwe na kiasi gani cha kuanzia,vitu vinavyohitajika ili nipate vibali vyote na faida ya hii kazi,.natanguliza shukran
  3. ragin

    JamiiForums Tanzania Niendelee kupangisha? Wakati moyo Unataka niweke biashara yangu!

    Habari! Shida kuu nina frem ya biashara ipo wazi na eneo la biashara ni sana! Kwa wale mnaojua biashara zilizopo maeneo ya stendi mtakuwa mmenielewa. Shida kuu niliyo nayo hali imekuwa ndivosivo, nilitegemea Frem ikikamilika nitabaki na ya mtaji ila ujenzi ni kitu kingine nimeambulia...
  4. Y

    JamiiForums Tanzania Ni wapi wanafundisha muziki kwa Dodoma?

    Habari wana JF, Bila kupoteza muda wenu, Ninaomba kujua ni wapi wanafundisha kupiga vyombo vya mziki kama gitaa na piano kwa Jiji la Dodoma. Nashukuru
  5. mathsjery

    JamiiForums Tanzania Wanasheria, wataalam wa fedha Kitaifa na kimataifa msaada please

    Naomba kuuliza ikiwa mtu aliuawa na hakutoa taarifa zozote kuhusu warithi wa fedha zake huko uingereza je, pesa hizo nani atapewa? Maana kuna mtu anansumbua yeye ni mkaguzi na msimamizi wa mambo yaa pesa huko, ananiambia eti nimtumie info zangu kama NIN, Address n.k azifoward pesa za mtu huyo...
  6. Bossprota

    JamiiForums Tanzania Msaada kwenye FB ADS

    Mimi sipo vizuri sana kwenye maswala ya digital marketing nahitaji kujua vitu viwili kutoka kwenye hii kitu. 1: Kipi hutokea kama hujaweka kabisa audience's interest inamaana itapiga viral au ita categorise itself. 2: Hivi unapochagua audience wa eneo flan mfano Mbeya au Iringa je system...
  7. Tanki

    JamiiForums Tanzania Wapi nitapata Dinamo ya kutoa 12Volt kwa hapa Dar ( Msaada tutani )

    Wakuu, husikeni na kichwa Cha hii thread. Mkinipa Bei zake ntashukuru zaida
  8. Kijana Jr

    JamiiForums Tanzania Msaada naombeni kazi au connection nipate kazi

    Habari zenu wakuu, Najua hapa ndani hapawezi kukosa wamiliki, maengineer wa makampuni,viwanda, na mashirika mbali mbali mimi ni mwanaume umri wangu ni miaka 26 naishi Dar es Salaam. Naombeni kazi ya ufundi umeme Elimu nina level three ya electrical.
  9. music mimi

    JamiiForums Tanzania Msaada: Simu wangu inashindwa ku-update WhatsApp

    Simu yangu ni Samsung S 8 Nilikuwa najaribu ku-update WhatsApp lakini nimeshindwa. Nimejaribu ku uninstall ili niirudishe upya pia imeshindikana. Kinachotokea nikiingia kwenye google play naipata app ya WhatsApp lakini niki download inaload tu haiwezi download. Naomba mnisaidie shida...
  10. alsam

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kusaidiwa jina la biashara

    Habarini Wadau na Poleni na Upepo wa Corona. Nahitaji kufungua kampuni itayodeal na financial services. Hivyo naomba jina zuri ili niweze kulitumia. Zawadi ya elf 10000 itatolewa kama zawadi.
  11. Hum B

    JamiiForums Tanzania Msaada: Kila nikinywa bia mwili unawasha sana

    Mimi ni mnywaji wa bia, ila na wiki mbili sasa kila ni kinywa bia asubuhi mwili unaniwasha sana, tatizo litakua ni nini? Msaada kwa mwenye kujua
  12. Natania

    JamiiForums Tanzania Msaada please! Natafuta code ya equity mobile banking

    Salamu kwenu! Hivi code inayotumika kuingia kwenye account ya equity bank kutumia simu ni ipi? Msaada tafadhali.
  13. K

    JamiiForums Tanzania Nina shahada ya Uhandisi wa Mitambo, natafuta ajira

    Habari za wakati huu wakuu. Mimi ni kijana muhitimu wa Shahada ya kwanza ya Uhandisi Mitambo(Mechanical Engineering) mwaka 2019 kutoka Chuo cha Taifa cha Usafirishaji(NIT). Naishi Mbagala, Dar es salaam Najitokeza mbele yenu kuomba msaada wa kupata sehemu ya kujishikiza (internship, volunteer...
  14. T

    JamiiForums Tanzania Msaada ndugu zangu: Chimbo la ubuyu ule unaouzwa Kariakoo

    Wakuu habari za muda huu,ni wapi naweza pata chimbo la ubuyu huu uliopikwa kabisa, wanaouza pale Kariakoo sokoni, ule sio ubuyu wa babu ISSA, Ila ukiwauliza wanasema ubuyu wa babu ISSA. Nimejaribu kwenda kuwauliza wanapochukua, lakini wamegoma kusema ,Ila wanataka wao ndio wakuuzie jumla. So...
  15. SEASON 5

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nauli na taratibu za kwenda Kenya kutoka Tanzania

    Habari zenu ndugu zangu, nilikua naomba mwenye ufahamu wa taratibu za kufata za mtu kutoka Dar kwenda Nairobi ni mahitaji gani yanahitajika ili niweze fanikisha safari yangu. Nauli ni kiasi gani? Nategemea kusafiri na watoto wangu wawili mapacha kwahiyo sitokuwa mwenyewe. Watoto wana miaka mi...
  16. D

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Mbegu za pilipili hoho

    Habari wadau, Nahitaji kupata mbegu za pilipili hoho, kijani, nyekundu na njano.
  17. Mkogoti

    JamiiForums Tanzania Msaada: nawezaje kuzifanya video za Instagram zisiplay zenyewe?

    Habari humu wadau wa jukwaa hili? Aseee naomba kujua Instagram niende wapi ili nikiwa naingia kuangalia video za mule zisiwe zinacheza maana naona bando linakuwa linaisha sana, yani niweke off kama inawezekana tafadhali 🙏
  18. wakutafuta

    JamiiForums Tanzania Msaada manunuzi ya Lcd Ya Samsung J7 Pro kwenye site ya Aliexpress.

    Natakaa kuagiza LCD hii hapa US $25.88 30% OFF|5.5 ni mara yangu ya kwanza kufanya manunuzi kwenye mtandao huu pia kama kuna option naweza kupata kwa hapa Tanzania kwa bei nafuu na nikizuri mnisaidie.
  19. Shadow7

    JamiiForums Tanzania Msaada: Dawa gani nitumie kutibu hili tatizo la maumivu ya upande mmoja wa mshipa wa wa sehemu za uzazi

    Habari JF Doctors na wadau mbalimbali, Nina kijana wa kiume miaka 19 anasumbuliwa na maumivu ya upande mmoja wa mshipa wa sehemu za uzazi, Tatizo hili limemuanza wiki moja nyuma ambapo palianza kuvimba kidogo kidogo lakini saivi pameongezeka na maumivu anasikia makali. Chanzo cha tatizo...
  20. Amaizing Mimi

    JamiiForums Tanzania Msaada jina la hii movie

    Habarini wadau. Naomba kujua jina la hii movie.star wa ile picha anaitwa jonathan gabot(sina uhakika na spelling),ni picha flan ya kifalme ambapo jamaa wanapewa mitihani mingi halaf mshindi anamuoa mtoto wa mfalme.picha yenyewe imeigiziwa nchini nepal.
Back
Top Bottom