Akili Kichwani
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,508
- 216
Waheshimiwa sana salaam.
Mimi ni mkaazi wa Dar es Salaam na hivi karibuni nimepata interest ya kufuga bata na kwa kweli nimeamua kuanza ufugaji wa bata wa kienyeji (bata maji) ila ninapenda kununua mayai bora yanayoweza kutotolewa kwa mashine na niyatotoleshe mwenyewe kisha nikuze vifaranga. Changamoto niliyonayo ni kuwa sijui ni wapi pa kuyapata. nimejaribu pia kuulizia majirani na marafiki zangu sijapata msaada. tafadhari anayejua anisaidie please. Namba yangu ni 0787 36 69 79.
thanks in advance
Mimi ni mkaazi wa Dar es Salaam na hivi karibuni nimepata interest ya kufuga bata na kwa kweli nimeamua kuanza ufugaji wa bata wa kienyeji (bata maji) ila ninapenda kununua mayai bora yanayoweza kutotolewa kwa mashine na niyatotoleshe mwenyewe kisha nikuze vifaranga. Changamoto niliyonayo ni kuwa sijui ni wapi pa kuyapata. nimejaribu pia kuulizia majirani na marafiki zangu sijapata msaada. tafadhari anayejua anisaidie please. Namba yangu ni 0787 36 69 79.
thanks in advance