Ng'ombe wangu hawashiki mimba

daktarii

Member
Sep 14, 2020
39
50
Habari !

Ngombe wangu wana tatizo. Kwanza walikua wanamimba wote wawili, then zlivyofika miezi minne - mitano zikatoka wote.

Baada ya hapo wamekua wakiingia joto lakini kila nikiwapandisha hawashiki mimba wote na ndama wao wameshakua wakubwa wanakaribia mwaka, still ng'ombe bado wanakamuliwa.

Tatizo langu ni kwanini hawashiki mimba wote kila wakipandwa. Nimewapandisha kama mara nne hivi.

Asanteni

NB: Hao waliotoa mimba ndo hawashiki sahivi mwenzao mwingne yeye hakutoa mimba yake ni kubwa sasa hivi.

1619529556621.png

 
Kutoka mimba bila shaka kuna dawa uliwapa ambayo hairuhusiwi kupewa mnyama mwenye mimba, niliwahi kuwapa dawa za minyoo mimba zote zilitoka na ilikuja kuchukua zaidi ya mwaka na nusu kubeba tena mimba.

Au huwenda walikula dawa zilizo na shida ni kitu cha kawaida sana na wakati mwingine kuna majani au chakula kibaya walikula kikasababisha hali hiyo. Kwa uzoefu wangu ng'ombe wachache sana wanabeba mimba ndani ya mwaka 1 tofauti ya hizi tunazoambiwa upandishe baada ya miezi 3.

Kuna ng'ombe wanamatatizo ya uzazi ya kurithi. Kuna dawa siikumbuki jina akipewa anaingia joto haraka na kubeba mimba.
 
Kikubwa mtefute Dr alieye karibu yako na pia pole kwa changamoto

Labda Kuna uvimbe kwenye kizazi hata wa kwangu alisumbua Sana alivyokuja Dr kumwingiza mkono akukuta Kuna uvimbe akaniambia asingekaa ashike mimba
 
Habari !

Ngombe wangu Wana tatizo. Kwanza walikua wanamimba wote wawili, then zlivofik miez minne - mitano zikatoka wote. Baada ya hapo wamekua wakiingia joto lakini kila nkiwapandisha hawashiki mimba wote na ndama wao wameshakua wakubw wanakaribia mwaka, still ng'ombe bado wanakamuliwa.

Tatzo langu ni kwanini hawashiki mimba wote kila wakipandwa . Nimewapandisha Kama Mara nne hivi.

Asanteni

NB: Hao waliotoa mimba ndo hawashiki sahivi mwenzao mwingne yeye hakutoa mimba yake ni kubwa sahiv
Kwanza nitangulize pole kwa hasara unayoipitia mkuu tatizo lako lipo hivi yawezekana kuna ovarian cyct kitaalam inaitwa nymphomania ambao ni uvimbe wa ovary yan ovary zinajaa fluids (maji maji ) na na ng'mbe anakua anazalisha kiwango kikubwa cha oestrogen homorne , na ataendelea kuonesha dalili za joto kama kawaida au kuzidisha kabisa lakin shida inakua zile ovary sababu ya uvimbe azifanyi ovulation (azitoi mayai) hivo kuperekea pamoja kuwepo kwa mbegu za kiume azizir
utubishwi kutengeneza kijusi. Tatzo hili linacorrectiwa kwa kumchoma hormone ya plostaglandins na baadae kupasua huo uvimbe

Ila pia kuna uwezekano ng'ombe wako wamekua infected kwenye kizazi kutokana na complication za arbortion kwa vijidudu mbalimbali kutokana na mabaki ya maumbile ya vijusi vya ndama au placenta ndo hua tunashauri inapotokea abortion ni vizuri irrigation (kusafishwa kizazi ) ili kuakikisha usalama kwenye hayo maeneo.

Pia kama shida ni hii wasafishwe kizazi na mimba watapata bila tabu mkuu
Tafuta dr akusaidie ama kama upo maeneo dar naweza kukusaidia.
 
Haya mfugaji mwezangu umeona ushauri wangu na wa mtaalamu Ni mle mle japo yeye ameandika kitaalam zaidi

Tuendelee kupambana japo umekimbia Uzi wako
 
Asanteni sana wakuu kwa mawazo, jana nlimwita daktari kasema Kuna dawa ya kuongeza fertility ya vidonge tuanze nayo hiyo then hyo ikifail ndo tuwasafishe, hiyo dawa ni ya vidonge amesema watapewa kwa siku tano mfululizo .
 
Kwanza nitangulize pole kwa hasara unayoipitia mkuu tatizo lako lipo hivi yawezekana kuna ovarian cyct kitaalam inaitwa nymphomania ambao ni uvimbe wa ovary yan ovary zinajaa fluids (maji maji ) na na ng'mbe anakua anazalisha kiwango kikubwa cha oestrogen homorne , na ataendelea kuonesha dalili za joto kama kawaida au kuzidisha kabisa lakin shida inakua zile ovary sababu ya uvimbe azifanyi ovulation (azitoi mayai) hivo kuperekea pamoja kuwepo kwa mbegu za kiume azizir
utubishwi kutengeneza kijusi. Tatzo hili linacorrectiwa kwa kumchoma hormone ya plostaglandins na baadae kupasua huo uvimbe

Ila pia kuna uwezekano ng'ombe wako wamekua infected kwenye kizazi kutokana na complication za arbortion kwa vijidudu mbalimbali kutokana na mabaki ya maumbile ya vijusi vya ndama au placenta ndo hua tunashauri inapotokea abortion ni vizuri irrigation (kusafishwa kizazi ) ili kuakikisha usalama kwenye hayo maeneo.
Pia kama shida ni hii wasafishwe kizazi na mimba watapata bila tabu mkuu
Tafuta dr akusaidie ama kama upo maeneo dar naweza kukusaidia.
Asante Sana mkuu , lakin my concern hapo Ni kua Hawa ng'ombe wanaingia heat exactly kila baada ya siku 18-20 baada ya kupandishwa . Maybe nakosea , lakni any infection temperature ingekua raised , au anakua hali chakula vizur.

Asa awa wangu wanakula vzur Sana , temperature iko normal . Na wote wawili wanatoa liter Zaid ya 15 kwa siku(kwa pamoja) na wamekamuliwa now miez Kama 13
 
Kwanza nitangulize pole kwa hasara unayoipitia mkuu tatizo lako lipo hivi yawezekana kuna ovarian cyct kitaalam inaitwa nymphomania ambao ni uvimbe wa ovary yan ovary zinajaa fluids (maji maji ) na na ng'mbe anakua anazalisha kiwango kikubwa cha oestrogen homorne , na ataendelea kuonesha dalili za joto kama kawaida au kuzidisha kabisa lakin shida inakua zile ovary sababu ya uvimbe azifanyi ovulation (azitoi mayai) hivo kuperekea pamoja kuwepo kwa mbegu za kiume azizir
utubishwi kutengeneza kijusi. Tatzo hili linacorrectiwa kwa kumchoma hormone ya plostaglandins na baadae kupasua huo uvimbe

Ila pia kuna uwezekano ng'ombe wako wamekua infected kwenye kizazi kutokana na complication za arbortion kwa vijidudu mbalimbali kutokana na mabaki ya maumbile ya vijusi vya ndama au placenta ndo hua tunashauri inapotokea abortion ni vizuri irrigation (kusafishwa kizazi ) ili kuakikisha usalama kwenye hayo maeneo.
Pia kama shida ni hii wasafishwe kizazi na mimba watapata bila tabu mkuu
Tafuta dr akusaidie ama kama upo maeneo dar naweza kukusaidia.
Sema daktari akija Tena ntamwambia awachek Aya magonjwa pia . Wewe unapatikana wapi mkuu ?
 
Habari !

Ngombe wangu Wana tatizo. Kwanza walikua wanamimba wote wawili, then zlivofik miez minne - mitano zikatoka wote. Baada ya hapo wamekua wakiingia joto lakini kila nkiwapandisha hawashiki mimba wote na ndama wao wameshakua wakubw wanakaribia mwaka, still ng'ombe bado wanakamuliwa.

Tatzo langu ni kwanini hawashiki mimba wote kila wakipandwa . Nimewapandisha Kama Mara nne hivi.

Asanteni

NB: Hao waliotoa mimba ndo hawashiki sahivi mwenzao mwingne yeye hakutoa mimba yake ni kubwa sahiv
🔍🔎Chunguza kwa jicho la tatu, watu wabaya
 
Kiufupi biashara ya maziwa kwa upande wa Dar es salaam imekaa vizuri lakini hasa kwa wale wanaozalisha maziwa kwa wingi maana wateja wanakua na uhakika wa kuyapata kila siku
Sawa mkuu , vipi ndugu zangu masoko ya maziwa uko kwenu yakoje
 
Back
Top Bottom