Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,889
Nchi yetu inasifika kwa kuwa na waajiri wasiowaaminifu. Hili mimi mwenyewe nimejionea. Sasa basi, ili kusaidia kukomesha hili tupeane mbinu ambazo wafanyakazi wanatumia kuibia waajiri wao. Weka kazi yoyote, uhasibu, ualimu, mabaa medi, fundi ujenzi, udereva nk.
Wizi sio lazima pesa, weka wezi wa muda, vitu nk.
Mimi nilichokiona.
Kuna dada alifungua duka la dawa, dogo tu. Binti aliyemuweka akawa anajumua dawa zake na kuziuza. Siku kamkagua begi lake akakuta dawa kibao. Tupeane mbinu.
Wizi sio lazima pesa, weka wezi wa muda, vitu nk.
Mimi nilichokiona.
Kuna dada alifungua duka la dawa, dogo tu. Binti aliyemuweka akawa anajumua dawa zake na kuziuza. Siku kamkagua begi lake akakuta dawa kibao. Tupeane mbinu.