kufanya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. ILULA HILLS

    JamiiForums Tanzania Natoa Donation ya Electronics Programming Kit, PIC controllers, lot of sensors, Display Units, yani complete kit ya kufanya uwe na lab chumbani kwak

    Miaka 12 iliyopita nikiwa nakaribia maliza chuo nlinunua vifaa kadhaa vya kuniwezesha kufanya final graduate project, pia kuanzisha electronics lab nyumbani. Mipango ilikuwa mingi na ndoto zilikuwa kubwa, nlitegemea ningeishi kwa lab baada ya kumaliza chuo, yani lab ingekuwa biashara kwangu...
  2. J

    JamiiForums Tanzania Kinana aungana na wanaccm wenzake kufanya uchaguzi katika shina lao Kinondoni

    KINANA AUNGANA NA WANA CCM WENZAKE KUFANYA UCHAGUZI KATIKA SHINA LAO - KINONDONI Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana leo Aprili 19 , 2022 ameungana na Wanachama wenzake wa Shina Namba 9, Tawi la Masaki, Kata ya Msasani wilaya ya...
  3. Nafaka

    JamiiForums Tanzania Kuna mtu alishawahi kutumia Mypaseo kufanya keyword search?

    Kuna mtu amewahi kutumia Mypaseo kufanya keyword searching? Kama yupo anaweza kunipa jinsi gani naweza kupata ASV ya keywords?
  4. May Day

    JamiiForums Tanzania Soka la kisasa Mchezaji anathaminishwa kwa uwezo wa kufanya maamuzi sahihi sio Kipaji

    Mimi sio Mchambuzi wa soka lakini kama Shabiki wa soka nimekuwa nikijifunza kla siku kupitia kuangalia Soka. Baada ya Soka kuonesha mafanikio na ufuatiliwaji mkubwa kama kawaida Wenzetu(haswa Wazungu) waliona fursa na kuigeuza kuwa kati ya biashara kubwa sana Ulimwenguni. Hivyo basi kama...
  5. sanalii

    JamiiForums Tanzania Hii ni vita ya kiuchumi kwa Tanzania, niwakati sasa watanzania kufanya counter attack

    Mimi sijawahi fika Zanzibar ila kwa suala lilipofikia hawa wanaijeria hii sasa sio suala la Werere beach bali ni vita ya kiuchumi kwa Tanzania, Cyber war ni vita kama vita nyingine, niwakati sasa watanzania kwa umoja wetu kuwashambulia huko Twitter hawa wanaijeria ambao wengi wao ni wasanii...
  6. kyagata

    JamiiForums Tanzania Tax Management Officer II vs Custom Officer II

    Kwema wakuu? Kuuliza sio ujinga.hivi kati ya Tax management officer ii vs custom officer ii 1. Ipi ina mitihani ya mchujo migumu? 2. Ipi ni nzuri kufanyia kazi. 3. Kuna tofauti yoyote ya kimaslahi? 4. Ipi yenye changamoto nyingi?
  7. Determinantor

    JamiiForums Tanzania Uliwahi kufanya biashara ya Ngozi ya Ng'ombe Nje ya Nchi?

    Nimeleta ombi lengu huku kwenye Jukwaa hili najua huku kuna watu wengi zaidi, hebu kama umewahi kufanya hii biashara au kama una watu unawafahamu wanafanya hii kitu tafadhali naomba details, 1. Upatikanaji 2. Bei 3. Vibali Shukrani
  8. luangalila

    JamiiForums Tanzania Ni Kosa gani la ovyo ulilowahi kufanya tangu uanze kuendesha gari?

    Ebana mimi siku moja nikiwa fuel station si nikakosea njia ya kutokea bana , nika pita katikati ya zile pipe /mashine zile za kiwekea mafuta. Eh bwana eh kitu kikachubuka chubuka japo body haiku bonyea bonyea.
  9. K

    JamiiForums Tanzania Ni kipi kilisababisha Magufuli kupiganiwa na makabila matatu ?

    nimekaa na wasukuma wanasema hayati alikuwa msukuma,nimekaa na waha wa Kakonko wanasema hayati alikuwa ni mtu wa kwao,nimezungumza na wazinza wa Butundwe(Lagos) wanasema hayati alikuwa mtu wao,ukizungumza na warongo,ukizungumza na wasubi wote wanasema hayati alikuwa mtu wao sasa najiuliza kisa...
  10. Fohadi

    JamiiForums Tanzania Unampigia simu kwa namba ngeni halafu hapokei baadaye anakwambia hapokeagi namba ngeni

    Haijanitokea kwa mtu mmoja au wawili. Ni watu wengi sana. Wengine ni watu wangu wa karibu. Unampigia simu kwa namba ngeni halafu hapokei baadaye anakwambia hapokeagi namba ngeni. Mwingine labda ni mtu ambae hamjawahi kuwasiliana na ndiyo kwa mara ya kwanza labda umepata namba yake. Nayeye hana...
  11. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania Mbio za Mwenge: Wakimbiza Mwenge watumie vigezo vya kitaalam kukagua miradi

    Katika miaka ya karibuni tumeshuhudia mambo ya ajabu katika ukimbizaji mwenge wa uhuru. Wakimbizaji mwenge siku hizi wamegeuka kuwa TASK FORCE ya ukaguzi wa miradi. Sina uhakika kama wakimbiza mwenge ni wahandisi au wataalam wa kukagua miradi na usimamizi wake. Kama picha hapo juu eti mkaguzi...
  12. Triple G

    JamiiForums Tanzania Natafuta Jengo kwa ajili ya kufanya Hospital

    Habari! Natafuta Jengo kwa ajili ya kufanya/Kukodi hospital kama kuna madalali au watu wenye connection humu karibuni!! Mkoa wa Dar es salaam Vigezo! Gorofa 3 au 2 au 1 vyumba 25 na kuendelea Parking space Panafikika kwa urahisi Iwe sehem ambayo watu wa class zote wataweza kupata huduma Isiwe...
  13. N

    JamiiForums Tanzania Jiandaeni kesho kwa press conference ya utopolo baada ya Simba kufanya yake

    Yes kesho by mchana au saa kumi kutakuwa na press conference ya kupotezea tukio zito la leo la simba kutoa kichapo cha mbwa mwizi kwa wa niger Kabla ya press conference hiyo tarajia HABARI ZA UZUSHI KUANZIA ASUBUHI ZITAKAZOSAMBZWA NA MAKANJANJA kwamba GSM washakubaliana kumsajili Adebayor wa...
  14. clinton gidioni

    JamiiForums Tanzania Nipo tayari kufanya kazi yoyote. Nisaidie

    Jinsia. Mwanaume Umri. 28 Makazi. Dar Temeke Elimu. kidato cha nne 0694185384 Tafadhalini nipo tayari kufanya kazi ya aina yoyote tafadhali. MKOA WOWOTE NIPO TAYARI KUFANYA KAZI IWE KAZI ZA USIKU MCHANA MIMI NIPO TAYARI.
  15. F

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kijana wa kufanya kazi ya kuuza spare parts Pwani

    Habari, rejea kichwa cha habari hapo juu, nahitaji kijana ambae ana njaa ya kazi to the extent nikimpa kazi atakuwa na fresh ideas za namna ya kuongeza sales na hatimae faida. Nahitaji kijana ambae ataifanya kazi akiamini hii itamsukuma kimaisha. Mimi ni entrepreneur mdogo na hili ni duka dogo...
  16. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Bongo mtu akistaafu ndiyo anaanza kufanya kazi

    Tanzania tuna utaratibu wa kushangaza. Mtu akistaafu ndiyo anaanza kufanya kazi, tena kwa bidii na maarifa zaidi. Huko ughaibuni mtu akistaafu anaanza kusafiri kutalii. Anatulia akiburudika na michezo au hobby mbalimbali. Huku kwetu hali tofauti kabisa. Mtu akistaafu ndiyo kazi inaanza. Tena...
  17. Da Vinci XV

    JamiiForums Tanzania Die Glockie: Je, ni kweli chombo hiki chenye nguvu ya ajabu, Hitler alikitumia kuunda silaha za ajabu na kufanya time traveling?

    Wasaalam Naam, Miaka fulani hadithi kuhusu ndege zenye umbo la sahani Almaarufu kama UFO (unidentified Flying Object ) zilishamili sana kuliko hata neno lenyewe, na usichokijua ni kwamba hata jina lenyewe lilipatikana kwasababu ya kutokufahamu vyombo hivi vilikuwa vinatoka wapi! Na viko chini...
  18. B

    JamiiForums Tanzania Sheria inasemaje kwenye kufanyakazi bila kuwa na mkataba

    Sheria ikoje ktk kesi ya hasara (loss) ilitokea dukan ikiwa hakuna mkataba kati ya mfanyakazi na boss
  19. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkenda amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Qatar Nchini, Ahmad Al Homaid

    Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda (Mb) leo tarehe 24 Machi,2022, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Qatar Nchini, Mhe. Balozi Hussain Ahmad Al Homaid Jijini Dar es Salaam. Viongozi hao pamoja na mambo mengine wamezungumzia ushirikiano wa Nchi hizo mbili katika...
  20. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Kilimanjaro: Lyatonga Mrema kufunga ndoa Alhamisi Machi 24, 2022 katika Parokia ya Uwomboni kijijini kwake Kiraracha

    Siku moja kabla ya kufunga ndoa Mwenyekiti wa TLP Taifa, Dk. Augustino Mrema amesema kuwa atajaribu kujikokota kuelekea Kanisani na kama itatokea ataishia njiani kutokana na afya yake kutokuwa sawa, anaamini Paroko atajua nini cha kufanya. Mrema amesisitiza kuwa huduma ya Kanisa inapatikana...
Back
Top Bottom