Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameviagiza vyuo vikuu vyote nchini, kufanya mapitio ya mitaala, ili iweze kuendana na mahitaji halisi ya sasa

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Jul 7, 2020
6,315
8,214
Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa ameviagiza vyuo vikuu vyote nchini, kufanya mapitio ya mitaala yao, ili iweze kuendana na mahitaji halisi ya sasa ya soko la ajira.

 
Kwa mfano majimaji war unaitumia wapi toka umeisoma si afadhali ungefundishwa programming na ukaspecialise huko leo hii tungekua na watu nguli kwenye technology, trust me kila semister inavopita ndio mtu husahau aliyosoma semister iliyopita maana kwanza anasoma kufanya mitihani tunaamini mtu kasoma miezi sita unampa mtihani aufanye kwa masaa kadhaa kitu alichosoma miezi sita,
 
Tatizo maprofesa wetu , awafanyie tafiti na kujua dunia inaelekea wap, wao wapo bize na mambo yale yale ya miaka ya 70 ,walio soma wao
 
Kwa hiyo unamaanisha kuna kozi zifutwe au sio?..
Naomba mifano mitatu ya hizo kozi...
Bachelor of science in biology,Bachelor of husband care,bachelor of science general udsm,bachelor of zoology,bachelor of botany,bachelor of linguistics,bachelor of archaeology, bachelor of history
 
Uko Sahihi sana
Mfumo wa elimu tulionao ni mbovu ndio maana kenya kwa sasa wako busy kujenga technical schools, watoto na vijana wetu husoma vitu ambavyo vingi hawavitumii kabisa kwenye maisha ya leo.
 
Sio watu wote wanaotaka kusoma hiyo programming. Kujua historia ya nchi ni muhimu sana tena serikali inatakiwa itoe mikopo sawa kwa masomo ya Historia, Kiswahili, English kama masomo mengine yote.
Kwa mfano majimaji war unaitumia wapi toka umeisoma si afadhali ungefundishwa programming na ukaspecialise huko leo hii tungekua na watu nguli kwenye technology, trust me kila semister inavopita ndio mtu husahau aliyosoma semister iliyopita maana kwanza anasoma kufanya mitihani tunaamini mtu kasoma miezi sita unampa mtihani aufanye kwa masaa kadhaa kitu alichosoma miezi sita,
 
Huna akili.
Bachelor of science in biology,Bachelor of husband care,bachelor of science general udsm,bachelor of zoology,bachelor of botany,bachelor of linguistics,bachelor of archaeology, bachelor of history
 
Back
Top Bottom