Serikali kutumia Shilingi Milioni 500 kufanya kampeni ya kuhamasisha matumizi ya nishati bora ya kupikia

saidoo25

JF-Expert Member
Jul 4, 2022
602
1,407
Kupitia Hotuba ya Waziri wa Nishati kwa Mwaka 2022/ 2023 Serikali imetenga Milioni 500 kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupigia ambayo ni Gesi.

Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2022/23, Serikali itatekeleza miradi, mipango na mikakati ya matumizi ya nishati safi na salama ya kupikia hasa maeneo ya Vijijini. Kwa ajili hiyo, tumetenga Shilingi Milioni 500 ili kufanya kampeni kubwa ya kuhamasisha matumizi ya nishati bora ya kupikia pamoja na tafiti za kubaini nishati, mfumo sahihi na vivutio vya kusambaza nishati hiyo kwa maeneo ya vijijini matumizi ya kuni na mkaa ambazo pamoja na athari za kiafya pia zinachangia sana uharibifu wa mazingira.

CHANZO: Sehemu ya Hotuba ya Waziri wa Nishati Mwaka 2022/2023
 
Bei ya packages za gas isipofana na ya kuni/Mkaa naona ugumu wa kuibadili jamii na kuna hatari ya kuteketeza hizo bilioni tengwa. Kuni/ mkaa za/wa 500/1000 zinaivisha chakula cha familia yenye baba,maa na watoto 3 kwa siku moja.
 
Kupitia Hotuba ya Waziri wa Nishati kwa Mwaka 2022/ 2023 Serikali imetenga Milioni 500 kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupigia ambayo ni Gesi.

Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2022/23, Serikali itatekeleza miradi, mipango na mikakati ya matumizi ya nishati safi na salama ya kupikia hasa maeneo ya Vijijini. Kwa ajili hiyo, tumetenga Shilingi Milioni 500 ili kufanya kampeni kubwa ya kuhamasisha matumizi ya nishati bora ya kupikia pamoja na tafiti za kubaini nishati, mfumo sahihi na vivutio vya kusambaza nishati hiyo kwa maeneo ya vijijini matumizi ya kuni na mkaa ambazo pamoja na athari za kiafya pia zinachangia sana uharibifu wa mazingira.

CHANZO: Sehemu ya Hotuba ya Waziri wa Nishati Mwaka 2022/2023
Milioni 500 na imepitishwa na Bunge kuhamasisha wananchi kutumia gesi?
 
Hiyo pesa milioni 500/= nina hakika inaenda kutolewa sadaka, huwezi kuhamasisha matumizi bora ya gesi kama watumiaji hawana uwezo wa kuinunua, punguza gharama ya gesi kwanza ndio uhamasishe matumuzi yake.

Kuna mawaziri awamu hii wanafaidi sana, wanafanya kazi kama wako picnic na aliyewateua wala hana habari, hiyo ndio raha ya kutoa cheo kwa mtoto wa rafiki, business as usual.
 
Kupitia Hotuba ya Waziri wa Nishati kwa Mwaka 2022/ 2023 Serikali imetenga Milioni 500 kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupigia ambayo ni Gesi.

Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2022/23, Serikali itatekeleza miradi, mipango na mikakati ya matumizi ya nishati safi na salama ya kupikia hasa maeneo ya Vijijini. Kwa ajili hiyo, tumetenga Shilingi Milioni 500 ili kufanya kampeni kubwa ya kuhamasisha matumizi ya nishati bora ya kupikia pamoja na tafiti za kubaini nishati, mfumo sahihi na vivutio vya kusambaza nishati hiyo kwa maeneo ya vijijini matumizi ya kuni na mkaa ambazo pamoja na athari za kiafya pia zinachangia sana uharibifu wa mazingira.

CHANZO: Sehemu ya Hotuba ya Waziri wa Nishati Mwaka 2022/2023
Sasa hivi mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake.nchi pekee inayokubalika na upuuzi huu ni Tz tu
 
Kupitia Hotuba ya Waziri wa Nishati kwa Mwaka 2022/ 2023 Serikali imetenga Milioni 500 kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupigia ambayo ni Gesi.

Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2022/23, Serikali itatekeleza miradi, mipango na mikakati ya matumizi ya nishati safi na salama ya kupikia hasa maeneo ya Vijijini. Kwa ajili hiyo, tumetenga Shilingi Milioni 500 ili kufanya kampeni kubwa ya kuhamasisha matumizi ya nishati bora ya kupikia pamoja na tafiti za kubaini nishati, mfumo sahihi na vivutio vya kusambaza nishati hiyo kwa maeneo ya vijijini matumizi ya kuni na mkaa ambazo pamoja na athari za kiafya pia zinachangia sana uharibifu wa mazingira.

CHANZO: Sehemu ya Hotuba ya Waziri wa Nishati Mwaka 2022/2023
Milioni 500 za Serikali zinagharamia Promotion ya kampuni moja pekee? au sijaelewa
 
Hapo utawaona wale machawa,sjui Steve Nyerere,wasanii wanatumiwa

Ova
 
Imarisheni vipato vya watu na watu watavitumia mnavyovipromote. Hakuna mtu mwenye kipato kizuri anayependa kutumia choo cha kusikilizia, hakuna mtu mwenye kipato kizuri atakayeacha kupikia gas na umeme. Ila pia angalieni hyo bei ya nishati ni nafuu ??
 
Back
Top Bottom