BWANKU M BWANKU
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 328
- 414
MWENEZI SHAKA HAMDU SHAKA KUFANYA ZIARA KWENYE MAONYESHO YA SABASABA LEO- ASUBUHI HII.
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka Leo Jumatano Julai 06, 2022 kuanzia Majira ya Saa 4 asubuhi hii atatembelea maonyesho ya Kibiashara ya Sabasaba Jijini Dar es Salaam.
Matangazo haya ya Ziara ya Mwenezi Shaka Hamdu Shaka yatakuwa Mbashara kupitia Mitandao ya Kijamii ya Chama Cha Mapinduzi pamoja na Channel Ten. Usikose kufuatilia asubuhi hii.
#TulipotokaniKuzuri
#TuliponiKuzuriZaidi
#MatarajioniMakubwaZaidi
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka Leo Jumatano Julai 06, 2022 kuanzia Majira ya Saa 4 asubuhi hii atatembelea maonyesho ya Kibiashara ya Sabasaba Jijini Dar es Salaam.
Matangazo haya ya Ziara ya Mwenezi Shaka Hamdu Shaka yatakuwa Mbashara kupitia Mitandao ya Kijamii ya Chama Cha Mapinduzi pamoja na Channel Ten. Usikose kufuatilia asubuhi hii.
#TulipotokaniKuzuri
#TuliponiKuzuriZaidi
#MatarajioniMakubwaZaidi