Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,444
- 7,808
Mkazi wa Ngarenaro, Mzee Iddi Maganga amebomoa nyumba zake mbili zenye thamani ya milioni 200 akiwatuhumu watoto wake kumfanyia ndivyo sivyo.
Akiongea kwa uchungu, Mzee Maganga amesema mmoja wa watoto wake anayeitwa Abdallah alimfungia kwenye chumba chenye giza wiki nzima bila chakula mpaka kufikia kula kinyesi chake. Mzee Maganga amesema aliokolewa na mtoto wake wa kike baada ya kutomuona muda mrefu.
Mzee Maganga amebomoa nyumba zake na kuwataka watoto wake wakafanye kazi badala ya kukaa wakimendea urithi.
Akiongea kwa uchungu, Mzee Maganga amesema mmoja wa watoto wake anayeitwa Abdallah alimfungia kwenye chumba chenye giza wiki nzima bila chakula mpaka kufikia kula kinyesi chake. Mzee Maganga amesema aliokolewa na mtoto wake wa kike baada ya kutomuona muda mrefu.
Mzee Maganga amebomoa nyumba zake na kuwataka watoto wake wakafanye kazi badala ya kukaa wakimendea urithi.