kazi

Shughuli inayohusisha akili au nguvu ya mwili kwa lengo la kufikia kusudi ama kupata matokeo fulani.
  1. Richard

    GE2020 Huyu ni msafisha viatu kweli au ana kazi nyingine maalum? Amenichambulia siasa za Tanzania na kuahidi Tundu Lissu kushindwa vibaya

    Moja kwa moja kwenye mada maana naona Tundu Lissu anajimwambafwai na hata sasa anaanza kuwachokoza watu wa kawaida kabisa hadi wasafisha viatu wa mjini Dar-es-Salaam. Niliamua kujivinjari maeneo ya mjini Dar na nikapata nafasi ya kusafisha viatu vyangu kwa kuweka Kiwi. Kwa kawaida mimi ni...
  2. Maseto

    Kuna tatizo Halmashauri ya Jiji la Dodoma la watumishi wengi kulipwa mshahara bila kufanya kazi

    Nimekuwa nafuatilia mwenendo wa utendaji kazi kwa watumishi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma. Watumishi wengi wanakaa nyumbani bila kwenda Kazini au wanaenda kuripoti asubuhi na kuingia mitaani kufanya shughuli zao binafsi. Nampongeza JPM kwa kutokutoa vibali vya kuajiri watumishi wapya...
  3. S

    Tayari CCM imeshabwaga manyanga, vingunge watafute kazi nyingine

    Ndio dalili zote zinavyoonyesha, hata kamati za ufundi zimeshawaambia viongozi waandamizi wa CCM watafute la kufanya. Baadhi ya habari ni kuwa kuna kundi kubwa sana sana ndani ya CCM ambao ni wanachama wa kawaida hawa wanaonekana kuwa mstari wa mbele ndani ya CCM tena wanashangilia kwa nguvu...
  4. Equation x

    Kama kazi tunastaafu kwa nini mapenzi tusistaafu?

    Mapenzi ni kitu kingine, huwezi kufananisha na kitu chochote kile; Kwa wale waliofanikiwa kupendwa ni vigumu kuamini kuwa, kuna wengine mapenzi yamewagharimu maisha yao yote au yamepoteza dira ya maisha ya watu wengine. Wapo ambao mapenzi yamewachapa mpaka kupoteza mwelekeo na hawatamani tena...
  5. 1987SANAWA

    Kutozingatia vipimo vya utendaji kazi kwa Taasis za umma

    Ofisi za umma/serikali zinatumia OPras kama kipimo cha utendaji kazi ambapo mtumishi anakubaliana na kiongozi wake majukumu atakayotekeleza jambo ambalo ni zuri, mtumishi anaetekeleza majukumu yake anapaswa kupewa motisha mbalimbali kama kupandishwa cheo na motisha zingine, ila cha kusikitisha...
  6. Isaack Newton

    Ifanye gari yako ionekane mpya kwa kushonea roof, seat cover, dashboard n.k. check attachment hapo chini

    Habari wakuu.! Kama kichwa cha habari kinavyosema, tunashonea seat za magari zilizoharibika, dashboard zilizoharibika, roof za magari aina zote, kwenye milango ya magari. Tunapatikana salasala-Mbezi beach. Unaweza ukatucheki what's up au kutupigia moja kwa moja. 0679478758
  7. Jamii Opportunities

    Nafasi za kazi za muda TEMESA

  8. Mchezaji

    Serikali ya Lebanon yajiuzulu baada ya mlipuko wa Beirut. Waziri Mkuu asema ufisadi uliopo ni mkubwa kuliko taifa lenyewe

    Serikali ya Lebanon imejiuzulu takriban wiki moja baada ya kutokea mlipuko mkubwa mjini Beirut, huku Waziri Mkuu Hassan Diab akilaumu ufisadi kama chanzo cha ajali hiyo Katika hotuba yake, Diab amesema kilichotokea ni matokeo ya ufisadi ulio mkubwa kuliko taifa lenyewe na kwamba anaachia...
  9. Jamii Opportunities

    Job Opportunities at the Agriculture Markets Development Trust (AMDT)

    Overview The Agriculture Markets Development Trust (AMDT) has been established by the Governments of Denmark, Ireland, Sweden and Switzerland in 2014 and the current Trustee is KPMG. The Trust has been established as a long term facility with the overall objective of increasing incomes and...
  10. P

    UDSM hii mmewakatisha na kupunguza ari ya kufanya kazi kwa hao vijana wenu

    UDSM mlitangaza nafasi kwa watumishi wa umma kuhamia, na katika tangazo lenu mliweka mpaka scale za mishahara kwa ambao watafanikiwa kupata nafasi hizo. Mdogo wangu ni mmoja wa watu waliofanikiwa kuomba nafasi hizo na kufanikiwa kupata! ana siku kadhaa sasa toka ameanza kazi hapo...
  11. S

    Tetesi: Polepole na Dkt. Hassan Abbas wanawatisha watu wa media

    Jamani wanaJF, nimepenyezewa ubuyu hapa na source yangu moja hivi kwamba ktk matukio 2 ya chadema; mkutano mkuu na uchukuaji fomu kule Dodoma. Polepole na mwenzake Hassan Abbas wamekuwa wakivipigia vyombo vya habari simu ili kuvikataza kurusha hotuba za Lisu Kuna audio ya Polepole...
  12. GeoMex

    Tume iliyoundwa na TAKUKURU kuchunguza ujenzi wa majengo 7 ya ofisi za taasisi hiyo , imekamilisha Uchunguzi

    BREAKING NEWS : Tume iliyoundwa na Brig Jen John Mbungo kuchunguza ujenzi wa majengo 7 ya ofisi za taasisi hiyo katika wilaya 7, imekamilisha uchunguzi na kugundua kuwepo ubadhirifu na migongano ya kimaslahi. Amesema wahusika watachukuliwa hatua ikiwemo kufikishwa mahakamani. NOTE: Hapo kwenye...
  13. Zacht

    Ijue stun grenade au flash bang grenade (bomu la sauti) inavyo fanya kazi

    Umewasha wahi kuona kwenye movie .Timu ya SWAT au kikosi chochote cha kijeshi inapovamia kwenye nyumba ya kikundi cha wahalifu. Afisa mmoja hutupa kitu ndani ya chumba, na hulipuka kinatoa mwanga mkali na kelele kubwa. Wahalifu hao waneshtushwa na kuonekana kama kuzubaa muda mwingine kuziba...
  14. Zacht

    Ijue stun grenade au flash bang grenade (bomu la sauti) inavyofanya kazi

    Umewasha wahi kuona kwenye movie .Timu ya SWAT au kikosi chochote cha kijeshi inapovamia kwenye nyumba ya kikundi cha wahalifu. Afisa mmoja hutupa kitu ndani ya chumba, na hulipuka kinatoa mwanga mkali na kelele kubwa. Wahalifu hao waneshtushwa na kuonekana kama kuzubaa muda mwingine kuziba...
  15. Its Pancho

    Hawa ni wanaJF na kazi zao

    Hapa nina orodha ya baadhi ya wanaJF na kazi ambazo zinawafiti... Asprin - mstaafu TRA Chief - mkwawa (IT) FaizaFoxy - mstaafu hapo Lumumba. Kiduku Lilo - Lucas Mobutu troublemaker GENTAMYCINE GuDume Chizi Maarifa (Hawa ni matapeli wa warembo wanakula sana bia) cocastic - beki 3 Jael -...
  16. T

    Trump ameipa siku 45 TikTok iwe imeuzwa ama ifungiwe kufanya kazi Marekani

    Bwana Donald Trump, Rais wa Marekani ametia saini sheria ama Executive Order ya kuipa kampuni ya ByteDance inayomiliki kampuni ya Tik Tok nchini Marekani kuuza hisa zake zote kwa kampuni ya Marekani ama ufungiwe kufanya kazi Marekani. Trump anasema hiyo kampuni kuwa chini ya kampuni ya kichina...
  17. Kennedy

    GE2020 Dkt. Magufuli achukua fomu ya kuwania nafasi ya Urais wa Tanzania Ofisi za NEC

    Kumekucha salama, Leo tarehe 06.08.2020 mgombea nafasi ya kazi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kwa Chama cha Mapinduzi, atachukua fomu kwenye ofisi ya NEC makao makuu ya Dodoma. Baada ya kuchukua fomu ataongea na wananchi pia wanachama wa CCM kwenye ukumbi wa White House...
  18. Nangose 1

    Hivi msanii Mirror yupo wapi siku hizi? Mbona kazi zake hatuzisikii

    Habari za asubuhi guys.. Kuna huyu msanii almaarufu kama mirror nakumbuka miaka michache iliyopita kakimbiza sana na ngoma zake Kali na hata kwenye matamasha. Baadhi ya ngoma zake Kali na zilizokimbiza ni hzi:- * Mirror - one and only * Mirror - nibembeleze * Mirror - kidogo * Mirror -...
  19. J

    GE2020 Polepole: Watia nia wanaotoa rushwa kote Mikoani chama kina taarifa zao, hawatapata Uongozi

    Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM komredi Polepole amesema chama kinapokea taarifa za watia nia wanaotoa rushwa kutoka kote mikoani kila siku. Polepole amesisitiza kuwa watu hao ambao majina yao yapo makao makuu hawatapewa fursa ya kugombea uongozi kamwe. Chanzo: Channel ten. Maendeleo...
Back
Top Bottom