kazi

Shughuli inayohusisha akili au nguvu ya mwili kwa lengo la kufikia kusudi ama kupata matokeo fulani.
  1. Mystery

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli utaendelea kuiona kazi ya Urais kuwa ngumu, kwa kuwa huruhusu nchi iwe na taasisi imara

    Nimekuwa nikimsikiliza Mara kwa Mara Rais wangu Magufuli, katika hotuba zake mbalimbali, anazotoa kwenye majukwaa ya kisiasa na Mara kwa Mara amekuwa akirudia kauli yake ya kulalamika na kusema kuwa kazi ya Urais ni ngumu sana na kama yeye angelijua hilo kabla, basi hata fomu ya Urais mwaka ule...
  2. scatter

    JamiiForums Tanzania Uzi kwa tuliowahi na tunaofanya kazi kwa Wahindi tupeane changamoto za mabosi zetu

    Binafsi nimeshawahi kufanya kazi kwa Muhindi kama Bosi wangu. Kipindi naanza kazi nilikutana na ahadi kibao na mambo mazuri mazuri tuliahidiwa kama kazi ikiwa nzuri marupurupu yataongezeka. Pigo la kwanza niliomba mkataba bahati mbaya nilipigwa chenga 😀 palikuwa na sijui sijui nyingi...
  3. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya kazi ya Finance Director T-MARC

    T-MARC Tanzania is a non-profit Tanzanian organization working to improve public health and promote social development. Our socially marketed products and behavior change communication initiatives address pertinent health issues in family planning and reproductive health, child survival, water...
  4. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Magufuli, "Kama Unaona Kazi ya Urais ni Ngumu Kwako, Jiuzulu! ".

    Wanabodi, Haya sii maneno yangu bali ni paraphrasing from ushauri wa mwana Jf humu. Angalizo kuhusu paraphrasing. Ni editing tool inayotumiwa na ma editors ku summarize long speeches kwa kufanya brief for brevity na coherent ujumbe ufike kwa urahisi . Huu ni ushauri kwa rais Magufuli...
  5. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Dar Lux Arusha ni kweli basi zilizopo mpaka Jumatatu ni za 40,000? Hamko serious na kazi

    Jana saa mbili usiku nilifika ofisi za Dar Lux kujua tiketi za kupeleka watu Dar leo na kesho. Mdada mmoja bila aibu akasisitiza basi zilizopo ni za 40,000 eti luxury tu.. Aisee nikachoka kabisa nikiwaza yale mabehewa yetu shida tu yako mbali from Arusha Mamanager husika tuambieni ni kweli...
  6. N

    JamiiForums Tanzania Dodoma kuchele: Serikali ya viwanda inapiga kazi?

    Hatimaye Serikali umeamua kufungua kiwanda kikubwa na cha kisasa cha kusindika mbogamboga maana sasa hivi akina mama wengi wanafunga mboga zao, Serikali imeamua kuboresha na kuandaa kiwanda kitakachoajiri watu 100,000 na kupewa mishahara ya laki 5. Hakika hakuna kiwanda kilichokufa vyote vipo...
  7. masai dada

    JamiiForums Tanzania Ndugu yangu anatafuta kazi, amesoma Shahada ya Culture Tourism and Heritage

    Ndugu zangu kwa mwenye msaada wa hilo jamani. Nina ndugu yangu kamaliza hiyo shahada na kuna baadhi ya field na sehemu zingine za kazi alishafanya zihisuzo utalii, anatafuta kazi. Msaada jamani
  8. M

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa Wilaya ya Tabora ndugu Erick Komanya Kitwala hana maelewano na mtumishi yeyote ndani ya wilaya anayoiongoza

    Huyu DC ndie DC wa hovyo kuzidi hata yule wa Kilolo. 1. Tangu ateuliwe kuwa DC kazi yake ni kujisifu mbele ya watumishi ,madiwani,wana CCM na hata mbele ya mikutano ya wananchi wakawaida. 2. Alianza kugombana na dereva wa DC ambae alimkuta akimuendesha DC Qeen Mulozi ambae ni DC aliekuwa...
  9. Zero IQ

    JamiiForums Tanzania Andika kazi ya mme/mke wako ambayo unataka awe nayo

    Ni simple tu: Andika kazi ya mme/mke wako ambayo unataka awe nayo? Cc Zero iq Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi, Program manager, Helen Keller International (HKI)

    Overview Established in 1915 with Helen Keller as a founding trustee, Helen Keller International (HKI) works to save the sight and lives of the most vulnerable and disadvantaged. Headquartered in New York City, HKI currently conducts programs in 20 countries in Africa and Asia as well as in the...
  11. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi, Rector of Tanzania Institute of Accountant, TIA

    Ref.No.EA.7/96/01/K/135 VACANCIES ANNOUNCEMENT Public Service Recruitment Secretariat on behalf of Tanzania Institute of Accountancy (TIA), invites qualified Tanzanians to fill 1 vacant posts as mentioned hereunder. 1.0 TANZANIA INSTITUTE OF ACCOUNTANCY (TIA) Tanzania Institute of...
  12. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi, Mtunza stoo(School Store keeper), ABC primary and Nursery school

    ABC Primary and Nursery school located at Ukonga Dar es Salaam are hereby advertising the post of school store keeper. The applicant should have the following ability and qualification. 1. Diploma in Procurement 2. Certificate in advanced level secondary school 3. Competence in tally...
  13. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi, Resources Management Office at International Organization for Migration (IOM)

    Position Title: Resources Management Officer Duty Station : Dar es Salaam, Tanzania, United Republic of Classification: Professional Staff, Grade P3 Type of Appointment : Fixed term, one year with possibility of extension Estimated Start Date : As soon as possible Closing Date : 22 December 2019...
  14. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi(108) Medical Teams International

    1. Nurse Midwife x84 Job Summary Provide obstetrical care to pregnant women and their babies, doing follow up before, during and after delivery, according to MTI obstetrical and reproductive health protocols, universal hygienic and newborn caring standards and under the supervision of a...
  15. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za Kazi Al Muntazir schools

    The Al Muntazir Schools are managed under the auspices of KSIJ Central Board of Education, a Non-Profit Organization, providing quality education to students from multicultural backgrounds and comprises several schools spread over many campuses, providing education at Toddlers, Nursery, Primary...
  16. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya kazi, Human Resource Manager at Simba Logistics Limited

    Job Description Posting ID: SLS-2019-004 Simba Supply Chain Solutions and Simba Logistics are looking for a an astute, mature and reliable Human Resource Professional between the ages of 35 and 40 years. This position will be on a two year fixed contract. The major focus will be to continue...
  17. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi, Tanzania Government Flight Agency (TGFA)

    Ref.No.EA.7/96/01/K/134 11th December, 2019 VACANCIES ANNOUNCEMENT On behalf of Tanzania Government Flight Agency (TGFA), Public Service Recruitment Secretariat invites qualified Tanzanians to fill 3 vacant posts as mentioned below;- 1.0...
  18. Heater

    JamiiForums Tanzania Msaada aliyepata mafao baada ya miaka 7 ya kazi 2019

    Nimefanya kazi kwa miaka 7, hatimaye kibarua kimefika tamati. Mwezi uliopita nikaenda ofisi za Mafao - Ubungo Plaza nikaambiwa niwasilishe madai lakini hawajapewa muongozo toka juu kuhusu kulipa watu ambao ni Expert. Hivyo madai yangu yatapokelewa na kuwekwa pending mpaka pale muongozo...
  19. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi, Sales and Marketing Manager at Guardian Limited

    The Guardian Limited (TGL), widely acclaimed as the Home of Great Newspapers, is part of the IPP Group of Companies – one of Tanzania’s leading private sector entities with dignified presence in the print media as well as television and radio broadcasting. TGL currently publishes two upmarket...
  20. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi, Head of Programmes Development, Coordination and Management at UMATI

    Directly Supervises: Research, M&E Manager, Medical and Technical Services Manager, Manager, Restricted Projects and Community Based Services, Youth Program Coordinator, Advocacy, Gender, Res Mob and Communication Manager Responsible to: Executive Director KEY FUNCTIONS To oversee the...
Back
Top Bottom