kazi

Shughuli inayohusisha akili au nguvu ya mwili kwa lengo la kufikia kusudi ama kupata matokeo fulani.
  1. J

    JamiiForums Tanzania Unafanyia kazi nyumbani? Madokezo haya yanaweza kukusaidia katika kufanikisha majukumu yako

    Kwa watu wengi kufanya kazi wakiwa nyumbani ni uzoefu mpya na wasichojua ni kuwa inahitaji nidhamu ya juu kumaliza kazi na kupata matokeo chanya. Fanya haya ili uweze kupata matokeo chanya. 1. KUWA NA SEHEMU MAALUM YA KUFANYIA KAZI Sio kila mtu ana chumba cha kujisomea au ofisi ya nyumbani. Ila...
  2. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za Kazi ATS Tsebo Tanzania

    ATS Tsebo Tanzania is currently seeking to appoint an Assistant Accountant Reports to: ATS Tsebo Project Accountant. Education/Experience/Qualifications/Skill Requirements Minimum Qualifications: Diploma/Degree in related field. Job related work experience: – A good understanding of our...
  3. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Aga Khan Health Service

    The Aga Khan Health Service, Tanzania (AKHST) an institution of The Aga Khan Development Network, has completed a major expansion of the Aga Khan Hospital. Dar es Salaam. This expansion aims at enhancing the Hospital’s facilities, technology and capacity which will allow it to become the leading...
  4. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Mzumbe University

    Mzumbe University invites applications from suitably qualified and competent Tanzanian to fill the following Contract vacant posts: 1. SUPPLIES ASSISTANT II (2 Post) - Main Campus in Morogoro (a) Qualification and Experience Holder of Form IV or VI Certificate with passes in...
  5. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi BELL B30E ADT OPERATOR / FABEC GGM

    Position BELL B30E ADT OPERATOR / FABEC GGM Number of positions · 7 Qualifications: · Completion of Secondary School Education · Basic Numeracy and Verbal / Written English · Heavy Vehicle Driver’s License Experience: · Minimum 5 years work...
  6. hooligan01

    JamiiForums Tanzania Medical checkup kabla ya kazi imekaaje hii?

    Samahanini wandugu humu, Nilipenda kuuliza katika kuomba kazi kabla ya mkataba kuna iki kipengele kabla ya kupewa mkataba ni cha medical checkups hivi ni wanaangalia nini na nini katika hiyo checkups lyk magonjwa specifia au full kila kitu au physical checkups like blood group,uwezo wa macho...
  7. Mystery

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli anatuhimiza wananchi tukachape kazi, wakati makampuni yakiendelea kuwapunguza wafanyakazi wao kutokana na ugonjwa wa Corona!

    Tulimsikia wenyewe Rais wetu Magufuli wakati akilihutubia Taifa siku chache zilizopita, akituhimiza wananchi tukachape kazi na kuwa tusitishwe na vyombo vya habari vya kibeberu, kwa kuwa ugonjwa wa corona siyo tishio kiasi hicho wanachotuaminisha! Kwa kweli nilishangazwa sana na maelekezo hayo...
  8. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Jubilee Insurance Company

    Jubilee Insurance Company of Tanzania is a top ranking insurance company operating in Tanzania. They wish to recruit the following personnel for their head office in Dar Es Salaam. GENERAL MANAGER TECHNICAL- RE ADVERTISED To be responsible for underwriting, claims and reinsurance for the...
  9. G Sam

    JamiiForums Tanzania Wakati Rais Magufuli akihimiza watu wachape kazi, wengine wameanza kupunguza mlundikano makazini

    Leo asubuhi nimebahatika kupitia baadhi ya viwanda ikiwemo TBL aisee hali ni mbaya. Wafanyakazi wamepunguzwa kwa kiasi kikubwa. Pia sijui ni hisia tu za watu au vipi ila baadhi wanakiri waziwazi kuwa na dalili za ugonjwa wa COVID-19 na wengi wameanza kuingiwa na hofu. Mamlaka zinazohusika na...
  10. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi VSO

    Position: Project Assistant Type of role Community and social work Location Tanzania Salary Annual Salary Maximum TZS 27,000,000/= Contract type Permanent Contract length 1 year Full Time 35 hours per week Application Closing Date 06 Apr 2020 Interview date TBC Start date April 2020 VSO is the...
  11. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi IOM

    Terms of Reference REF: IOM/DAR/006/2020 Assignment Title: National Consultant – Migration Environment and Climate Change Duty Station: IOM Tanzania, Dar es Salaam Type of Appointment: Consultancy Contract Established in 1951, IOM is a Related...
  12. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi CRDB

    VACANCIES – DEPARTMENT OF ICT BACKGROUND CRDB Bank Plc is inviting applications from qualified and experienced candidates to fill the vacant positions existing in the Department of ICT. The Bank seeks to recruit highly competent, self-motivated and professional individuals to fill the...
  13. B

    JamiiForums Tanzania Hivi position ya planning officer (afisa mipango) huwa wanafanya kazi zipi hasa? na je qualification zake za kuajiriwa zikoje?

    Jamani naomba kujua kwa wale wazoefu wa kazi, kazi za afisa mipango ikoje? anafanya kazi gani hasa? je kuajiriwa ni lazima uwe na vigezo gani (qualification) na je ni serikalini tu au hadi private institution nafasi zake zipo? NAOMBA MWENYE UELEWA ANIJIBIE PLEASE.
  14. J

    JamiiForums Tanzania Wakati Watanzania tunabishana Trump asema " kusimamisha" kazi kunaweza kuuwa watu wengi kuliko Corona yenyewe

    Nimemsikia Rais Trump wa USA kupitia BBC akisema uchumi wa nchi yake unatikisika na kusimamisha kazi na shughuli za kiuchumi kunaweza kuuwa watu wengi kuliko ugonjwa wenyewe wa Corona. Ngoja nirudie kusikiliza hotuba za viongozi wetu wakuu na ile ya KUB Mbowe aliyoitoa jana halafu nitarejea...
  15. T

    JamiiForums Tanzania Total lockdown Tanzania watu wengi watakosa kazi, hivyo tupunguze lawama kwa Serikali

    Tujifunze kupongeza na kuamini tulio wapa dhamana ya kutuongoza. Kumekuwa na mvumo wa lawama zakijinga sana kiasi unasema watu wanatumia nini kufikiri? Kiufupi atuwa serikali imezichukuwa kwa kupunguza kuenea coronavirus ni hatua mujarabu kwa hali yetu ya kiuchumi. Swala la kufunga kila kitu...
  16. kasanga70

    JamiiForums Tanzania Mheshimiwa Rais unalipa mishahara bure Kuna watu hawafanyi kazi

    Mheshimiwa Rais naomba nikushauri Jambo! Kutokana na keki ya taifa kuwa ndogo na kugawanwa kwa watu wachache tukianza na watumishi wa umma, majeshi, nk Ninapendekeza iundwe sheria watanzania tuwe tuna access ya kufanya kazi miaka 15 tu baada ya hapo mtu anachukua pension yake anaondoka. Hili...
  17. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Danish Refugee

    Danish Refugee Council – Tanzania Job Announcement WASH Assistant-Hygiene Promotion – NATIONAL POSITION (01) Danish Refugee Council (DRC) is an international non-governmental organization which provides assistance and promotes durable solutions for refugees and internally displaced people, on...
  18. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za Kazi Frankfurt Zoological Society

    1. Communications Technician (Radio) Job Summary Ensures that the digital VHF radio system installed in Selous Game Reserve (SGR) is fully functioning as per requirements of the park management. Support the installation and management of digital VHF radio in the south of SGR. Ensure that all...
  19. Tusker Bariiiidi

    JamiiForums Tanzania Mwandishi wa Habari wa The Citizen afukuzwa kazi. Kaponzwa na Maoni yake katika mitandao ya kijamii?

    Mwandishi wa Habari wa The Citizen amesimamishwa kazi. Taarifa zaidi zinabainisha kuwa ni kwa kukiuka Aidha, mwandishi mwingine Neville Meena naye amesitishiwa mkataba kwa sababu hizo hizo: Neville Meena avunjiwa Mkataba na Mwananchi Communications - JamiiForums
  20. J

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi yoyote iliyo halali.

    Nina elimu katika shahada ya kwanza katika uhandisi kilimo ( bsc Agricultural engineering/Agro-mechanical). Natafuta kazi yoyote iliyo halali inayohusiana na hii fani yangu ama kazi yoyote inayofundishika. Mfano katika haya maeneo ninauwezo nayo. -Water supply. -Environmental impact...
Back
Top Bottom