Kama ni kitengo basi wamefanya kazi bora kabisa
Najua kitengo wana uwezo mkubwa wa kipropaganda kumuaminisha mtu kuhusu jambo na kwamba watamsaidia kulifanikisha na ikibidi kumwambia kwamba sponsor yuko pamoja naye.
Nadhani kwa makonda,kama wamefanya hivyo,basi wamefanya jambo bora kabisa...
Katika shule zote ambazo nimesoma, mwalimu Bora na mahiri kuliko wote his/her name will always be TEACHER OMARY.
HER? Kivipi? Her surname is Omary au anatumia jina la mume wake ambae anaitwa OMARY.
Akina OMARY huwa ni waalimu wazuri Sana.
Is it only me au na wewe umewahi kukutana na...
Ni jambo la baraka kuona mtumishi wa Mungu askofu Gwajima ameteuliwa kugombea ubunge kutuwakilisha Wananchi wa Kawe.
Dr Gwajima ana weledi mkubwa katika uongozi wa watu kiroho na kimwili na ubobezi wake ameupatia nchini Korea. Ni mtu mwenye malengo makubwa na naweza kumfananisha na Rais wa sasa...
Mapema kabisa tayari jinamizi lakuaanza kuchafua Tume ya uchaguzi kushindwa simamia wajibu wake vizuri limeanza onekana.
Tayari kuna Mgombea ubunge na mwingine Diwani ambao ni halali kulalamika kuchukuliwa fomu zao kwa watu wasiojulikana.
Kwa upande wangu naona ni makosa makubwa hasa kwa...
Ujumbe huu uwafikie kitengo cha IT cha CHADEMA.
Kama nilivyoandika siku najiunga na JamiiForums ni kuwa navutiwa na chama chenu, pia mgombea wenu kwa sababu ya sera zenu za kiliberali zinazohimiza uhuru wa fikra, ubunifu, haki za binadamu, demokrasia, diplomasia, biashara na soko huria, na...
Tupate Maoni, tujitambue, tujuane
1. Hapa Kazi Tu (CCM)
2. Kazi na Bata (ACT)
3. Kazi na Uhuru (CHADEMA)
Kazi bila mapumziko Ni tabu, mapumziko bila kazi ni umasikini.
Wewe Ukowapi katika hizo?
Mwendo ni ule ule, ukizubaa yatakupita mengi maana ukigeuza kichwa huku kinaibuka hiki, ukiangalia kule kinachipuka kingine, yaani pembeni, nyuma, mbele miradi inapepea kwa kasi isiyo ya kawaida, huu ndio uchumi wa kati wa kweli.
=========
Kenya Railways has now turned attention to the...
Vijana 8 kutoka kundi la Tamaduni Music ambao wameji-organize na kuunda kikundi walichokipa jina la Kikosi Kazi Kazini (KK)
Naweza nikasema kwa ngoma mbili hizi walizotoa Kikosi Kazi zinatosha kabisa kuficha nyimbo zote walizowahi kuimba Weusi.
Hivi kama nyimbo ya SALA utaifananisha na nyimbo...
Ni ukweli uliowazi Sasa kwamba mgombea Urais kupitia Chadema Tundu Lissu ni kama amewameza wagombea wenzake na hawasikiki tena.
Tangu ateuliwe na chama chake CHADEMA na kisha kuchukua fomu za kuteuliwa kutoka tume ya uchaguzi NEC Lissu amekuwa gumzo kila kona huku akijadiliwa zaidi kupitia...
Napenda kuchukua fursa hii kuwapongeza sana BRELA kwa maboresho katika utendaji kazi wenu mmekuwa active mno.
Baada ya pongezi nije kwenye hoja ya msingi ambayo imenifanya kuandika waraka huu ikiwa ni namna mnavyodeal na applications za registration ya makampuni.
Binafsi nimevutiwa na...
Juzi hapa China ilikuta kwamba baadhi ya mifuko ya kuku na kamba ilikutwa ina wadudu wa Corona (Covid-19). KIlichofuata ni kwamba serikali ya China ilianza kujiuliza maswali mengi kuhusu jinsi gani hao wadudu waliingia kwenye kuku na kamba ambavyo viliagizwa kutoka nchi ya Brazil.
China...
Tunahitaji kupata wabia kushirikiana kwa mradi wa kuchakata mafuta ya kula na usambazaji mbegu kwa wakulima,ufugaji wa kuku na mafunzo ya kazi ya mikono pamoja na kufungua Karakana kwa fani ya ushonaji,useremala,uashi,ujenzi, uchomaji vyuma na uhunzi, viatu,magari,maji na umeme kwa vijana kupata...
Rejea Post yangu ya Natafuta kazi ya Graphics Designer..
Naitwa NICKSON AIVAN,
Nilipokuja kwa mara ya kwanza kutangaza nataka kazi ya kuwa graphics designer wanaJamii Forums mlinitia moyo na wengne kunitafuta kunipa tenda nashukuru sana
Kama unatafuta mtu wa graphics ofisin kwako au unakazi...
Wakuu Salaam,
Nchi yetu Utawala wa Sheria wa Sheria Umeshrink Nchini Tanzania, Tunafuata Matanko ya Wanasiasa ndiyo yamegeuka kuwa Sheria.
Hivi karibuni MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ilivitaka vituo vya redio, televisheni na wanaotoa huduma za maudhui mtandaoni kuomba kibali/ ruhusa...
Wakuu habari iwe nanyi!
Ukisoma kitabu cha Mathayo kwenye biblia kuna hadithi ambayo Yesu Kristo alikuwa akizungumza na wanafunzi wake juu ya Bwana moja aliyetaka kusafiri kisha agawa mali zake (talanta) kwa watumwa wake ili wazisimamie . Lengo la Bwana yule ilikuwa wale watumwa wasimamie zile...
Yani lolote litakalofanyika kuzuia hivi vyombo vya habari vya kienyeji kama vile magazeti, TV, radio katika kipind hiki cha uchaguzi ni sawasawa na bure kwani kutokana na mageuzi ya sayansi na tekinolojia zinajulikana kama traditional media haitasaidia.
Social media zina nguvu kuliko hizi...
MGANGA Mfawidhi wa Zahanati ya Kijiji cha Kibena wilayani Iringa, Hope Mwale ametoroka katika kituo chake cha kazi baada ya kutuhumiwa kuiba Sh milioni 25 za ujenzi wa choo cha jengo la wagonjwa wa nje la Kituo cha Afya cha Kibena unaoendelea kijijini hapo.
Taarifa ya kuibwa kwa fedha hizo na...
Job Position : Declaration Clark in a Clearing and Forwarding Company
Location : City Center, Daresaalaam
Qualification : Form IV Certificate and Clearing and Forwarding Certificate
Gender : Female
send CV to email : careers@dnh.co.tz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.