GeoMex
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 5,431
- 19,776
BREAKING NEWS : Tume iliyoundwa na Brig Jen John Mbungo kuchunguza ujenzi wa majengo 7 ya ofisi za taasisi hiyo katika wilaya 7, imekamilisha uchunguzi na kugundua kuwepo ubadhirifu na migongano ya kimaslahi. Amesema wahusika watachukuliwa hatua ikiwemo kufikishwa mahakamani.
NOTE: Hapo kwenye mgongano wa kimaslahi hapo ndo sehemu nzuri wanapofanyiaga ubadhirifu kwa kutumia kampuni zao/ za watu wa karibu kuwalipa hela nyingi kuzidi thamani ya bidhaa/ hudumu baadae wanaenda kuchukua chao
Ngoja tusubiri wapelekwe mahakamani tutajua mchele na pumba
TAKUKURU ng'ata, ng'ataa....... ni zamu ya kung'ata humo humo ndani yenu
NOTE: Hapo kwenye mgongano wa kimaslahi hapo ndo sehemu nzuri wanapofanyiaga ubadhirifu kwa kutumia kampuni zao/ za watu wa karibu kuwalipa hela nyingi kuzidi thamani ya bidhaa/ hudumu baadae wanaenda kuchukua chao
Ngoja tusubiri wapelekwe mahakamani tutajua mchele na pumba
TAKUKURU ng'ata, ng'ataa....... ni zamu ya kung'ata humo humo ndani yenu