bora

Borá is a municipality in the state of São Paulo in Brazil. The population is 838 (2020 est.) in an area of 119 km². The elevation is 582 m.
Borá is the least populated Brazilian municipality.

View More On Wikipedia.org
  1. Melki Wamatukio

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Video bora kuliko zote duniani inayoupamba mwaka mpya wa 2024

  2. Majok majok

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Yanga ndio timu pekee iliyotoa wachezaji wengi kucheza AFCON 2024, timu bora inaendana na usajili bora

    Ni ngumu sana kupenya kwenye vikosi vya timu za taifa kwenda kucheza michuano mikubwa barani afrika, ubora pekee wa mchezaji husika ndio umpelekea kocha kumjumuisha mchezaji kwenye kikosi chake Cha mapambano! Kwa Tanzania ni klabu moja pekee iliyofanikiwa kupeleka wachezaji wengi kwenye timu za...
  3. Cybergates

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania 2024: Bora kuanza kunifunza animation kuliko programming

    Maoni!! Wengi huwa tuna malengo ya kujifunza mambo mapya huu mwanzo wa mwaka, Je ni kipi cha kujifunza kati ya animation na programming? Kama mimi ningeambiwa nichague ningeenda na animation Animation ina fursa sana na soko kubwa kulinganisha na programming, kuanzia 2D hafi 3D soko...
  4. Justine Marack

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Katavi siyo salama. Kuna kikundi kinaitwa "Damu Chafu" ambacho kinafanya mauaji, ni hatari sana!

    Baada ya Salam. Ndugu zetu Watanzania wenzetu kwanza tunaomba Dua zenu. Huku Katavi Kuna mauaji sana mpaka inatisha. Karibia Kila wiki kuna mtu anauwawa kwa kuchomwa na visu. Kunakikundi kinaitwa "DAMU CHAFU" hiki ni kikundi cha mauaji hatari sana. Leo kupitia Azam TV nimeona taarifa ya...
  5. R

    JamiiForums Tanzania Familia ya Godbless Lema ni familia bora ya wanasiasa kwa mwaka 2023

    Umoja uliopo miongoni mwa Lema, mke wake na watoto ni wakuigwa. Wamelelewa kiimani, wanaishi kwa haki na awajawahi kuacha kutafuta kesho iliyo bora kwao na kwa wengine. Ni familia bora kwa mwaka 2023 ambayo wanasiasa wengi wenye madaraka itawachukua miaka kadhaa kuishi maisha ya hawa watu. Wana...
  6. chiembe

    JamiiForums Tanzania Mkeka mbao/Marble Sheet vs vigae, kipi ni chaguo bora?

    Kumekuwa na nguvu kubwa na kutangaza mkeka mbao na marble sheet. Wataalamu wanaojua mambo, ningependa kujua uimara wa hizo bidhaa mpya ambazo mimi nazifananisha na plastiki tu, kama zile kapeti.
  7. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania RPC Kuzaga: Malezi Bora na Elimu ya Makuzi vinasaidia kuwajenga Watoto kujitambua na kujitathimini

    Wazazi, Walezi na Jamii wametakiwa kushiriki kikamilifu katika utoaji wa malezi bora na elimu ya makuzi kwa watoto ili kuwajengea uwezo wa kujitambua, kujithamini na kujiepusha na uhalifu ikiwemo ukatili wa kijinsia. Rai hiyo imetolewa Desemba 27, 2023 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya...
  8. Bigmaaan

    JamiiForums Tanzania Namna bora ya kumsaidia Bwana Mdogo mtaji wa Biashara

    Mwaka 2014 kuna bwana mdogo, alikataa shule akiwa form two, akidai kuwa hapandishi, ni kweli hakuwa akifanya vizuri darasani. Akawa ni mtu wa kwenda minadani tu. Mwaka 2018, aliomba msaada wa sh 210,000 ambapo alidai anaenda nunua mbuzi kwa ajili ya kuanza kuuza. Sikua na mawasiliano naye ya...
  9. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Askofu aliyesema Bora abariki Jiwe kuliko ndoa za jinsia moja kaongea kauli ileile ya Papa kwa Lugha tofauti

    Kwa mujibu wa wachambuzi wa kauli za Papa. Wanadai hajasema ndoa za jinsia moja zibarikiwe, bali vitu vya hawa watu akija mmojammoja na anavitu vyake basi wasisite kuvibariki. Kusema bora ubariki jiwe ni sawa na kusema kilekile alichokisema Papa kuwa bora ubariki Sofa au Mradi au nyumba ya...
  10. sky soldier

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baada ya mechi za kufungia mwaka, huu ndio msimamo na wafungaji bora wa Ligi kuu ya NBC 2023/24

    MSIMAMO WAFUNGAJI
  11. Webabu

    JamiiForums Tanzania Huku Hizbullah ikizidisha mapigo, Israel yasema ni bora kufanya mazungumzo kuliko kuendelea kupigana

    Huku baadhi ya vikosi vya jeshi la Israel vikishangilia kuondoshwa Gaza baada ya kipigo,kule kaskazini ya Israel mpakani na Lebanon wanamgambo ya Hizbulla hawajaonesha dalili ya kuathiriwa na mashambulizi ya anga ya jeshi la Israel. Baada ya kipigo cha jana na leo kulenga maeneo ya vikosi vya...
  12. Majok majok

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Djigui Diarra ataendelea kuwa kipa bora, kwa sasa hana mpinzani!

    Kuna vimaneno vimeanza kusambazwa na mbumbumbu kuanza kumfananisha Diarra na kipa wao Ayoubu Lakred! Anayeweza kuwalinganisha wawili hao kwa sasa kwa maana ni Kama unalinganisha kichuguu na mlima! Unamlinganisha kipa aliyefanya vizuri kwenye mechi 3 dhidi ya kipa aliyeonyesha ubora wake miaka...
  13. C

    JamiiForums Tanzania Ushauri kuhusu uchaguzi wa godoro bora

    Wakubwa,nipo kwenye mchakato wa kununua godoro zuri. Baada ya kufuatilia kwa kina nikagundua godoro la Spring la Tanfoam ndio the best. Sasa baada ya kufika kwa wakala kununua,nimekuta kuna godoro lingine premium,halina spring lakini linanesa sana na bei yake ni juu kidogo kuliko la Spring...
  14. Southern Highland

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Bora uvunje viti ukiwa na jezi ya YANGA kwenye mechi ya YANGA

    Bila blah blah nadhani wote tulishuhudia kilichotokea mexhi ya Yanga dhidi ya Al Ahly hasa baada ya mgeni(Ahly) kutangulia kupata goli la uongozi baadhi ya mashabiki wakiwa na jezi nyekundu walionekana wakivunja na kuruka juu ya viti kushangilia goli lile la uongozi kabla Yanga hawajasawazisha...
  15. Mama Mwana

    JamiiForums Tanzania Ni namna ipi bora kwako kuishi na watu?

    Ni ipi bora kwako katika kuishi na waja kati ya haya 1. Kua busy na maisha yako bila kujali ya wengine, unachoshiriki ni misiba nasherehe ambazo utakua unaalikwa 2. Kujipendekeza sio kwa ubaya mfano jambo halikuhusu lakini unaona una uwezo wa kulifanya na likawa ukafanya. 3. Wewe ni mama /...
  16. Greatest Of All Time

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ligi ya Mabingwa Ulaya: Droo ya 16 Bora kufanyika leo Jumatatu Mchana

    Kutoka Nyon, Uswizi kutakuwa na Droo ya 16 bora katika ligi ya mabingwa Ulaya. Droo hiyo itafanyika saa nane mchana kwa saa za Afrika ya Mashariki. Je nani atapangwa na nani
  17. Da'Vinci

    JamiiForums Tanzania Kwangu huu ndio wimbo bora wa mwaka 2023

    I must confess that nilikua sijui kama kuna rapper anaitwa Lil Durk, But I'm a big fan of Jermaine Cole (J Cole) so involvement ya J Cole kwenye huu wimbo ndio umefanya niupende sana na beti yake kaua kinoma noma. Wimbo umekua national anthem ya dunia zima Beat kali flow za kibabe za Cole...
  18. Mganguzi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uwanja wa Uhuru sio rafiki kwa simba sc kupigania ubingwa ninani aliwachagulia? Bora watumie CCM Kirumba

    Ule uwanja una mapungufu mengi hata sijui ninani alipendekeza ,uhuru ni uwanja wa mazoezi sio ligi
  19. GENTAMYCINE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ipi bora kati ya 'Kudeti' na Mwanamke Aliyezaa tayari au ambaye bado anajitafuta Kuzaa?

    Majibu yenu ndiyo yatanisaidia kuamua niwe na yupi kati ya hawa Wawili niliowaokota Mkeshani Kawe kwa Usiku wa kuamkia leo. Nijibuni upesi ili nifanye Maamuzi Ok?
  20. Nazjaz

    JamiiForums Tanzania Uwepo wa ID ya Tanesco hapa JF hauna faida yoyote kwa members, bora isiwepo tu

    Tulidhani ujio wa verified USER ID ya TANESCO italeta neema kwetu, kumbe ni bora isingeanzishwa. Tulijua TANESCO wangekuwa wakitujulisha mambo mbalimbali ili tujiandae lakini wapi. Leo tumeshindwa kununua umeme wa Luku, TANESCO wako kimya, wangeweza kabisa kutujulisha mapema kwamba tununue...
Back
Top Bottom