Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 1,465
- 4,675
Wafanyabishara wote, na wapambanaji wote walioweza kutoka chini, bila kitu na wakafanikiwa kuona Mwanga, aisee ukimpita mtu wa hivyo jaribu kumheshimu sana maana hustling zake sio za kitoto.
Nimeelewa kwanini Baba yangu alikuwa ananikazania nisome, biashara sio kwa ajili ya watu dhaifu, ila ajira ndio wamejaa watu dhaifu zaidi, kwanini nimesema hivyo?
Kusoma kuajiriwa na kulipwa mshahara hakuna maajabu zaidi maana unauza ujuzi unabadilishana na pesa, kwahiyo pesa zinaflow tu bila hata ya kuumiza kichwa, pesa za wizi, n.k lakini biashara unaweza umiza kichwa mara kumi na usitoboe.
Brother wangu, anataka kunikopa mtaji wa million 12 na kanipa miezi 6 ya kupambana, baada ya miezi sita ikishapita inabidi kila mwezi nimtumie laki 5 mpaka hela yake yote itimie.
Sasa hizi hela za ndugu ni za lawama aisee na sitaki kumdissapoint kabisa, Dar es Salaam siwezi enda maana niliingia kichwa kichwa nikapigwa za uso nikatoka nduki sitaki kurudi tena.
Nipo Kigoma maeneo ya Kasulu hapa, kichwa kinawaka moto kweli, nawaza niingie vijijini nikanunue maharage nikaweke stoo, lakini naona kama risk ni kubwa na faida kidogo, nikawaza niende Mpanda huko wakati wa mavuno ya mpunga nikatupie hela huko wakati naendelea kuwaza niifanyie nini.
Hivi wazee ungekuwa wewe umepewa hiyo hela ungeitumbukiza sehemu gani ikupe faida?.
Nimeelewa kwanini Baba yangu alikuwa ananikazania nisome, biashara sio kwa ajili ya watu dhaifu, ila ajira ndio wamejaa watu dhaifu zaidi, kwanini nimesema hivyo?
Kusoma kuajiriwa na kulipwa mshahara hakuna maajabu zaidi maana unauza ujuzi unabadilishana na pesa, kwahiyo pesa zinaflow tu bila hata ya kuumiza kichwa, pesa za wizi, n.k lakini biashara unaweza umiza kichwa mara kumi na usitoboe.
Brother wangu, anataka kunikopa mtaji wa million 12 na kanipa miezi 6 ya kupambana, baada ya miezi sita ikishapita inabidi kila mwezi nimtumie laki 5 mpaka hela yake yote itimie.
Sasa hizi hela za ndugu ni za lawama aisee na sitaki kumdissapoint kabisa, Dar es Salaam siwezi enda maana niliingia kichwa kichwa nikapigwa za uso nikatoka nduki sitaki kurudi tena.
Nipo Kigoma maeneo ya Kasulu hapa, kichwa kinawaka moto kweli, nawaza niingie vijijini nikanunue maharage nikaweke stoo, lakini naona kama risk ni kubwa na faida kidogo, nikawaza niende Mpanda huko wakati wa mavuno ya mpunga nikatupie hela huko wakati naendelea kuwaza niifanyie nini.
Hivi wazee ungekuwa wewe umepewa hiyo hela ungeitumbukiza sehemu gani ikupe faida?.