Hapa pagumu, labda tumuulize johnthebaptist Lucas mwashambwa Pascal Mayalla Erythrocyte Mshana JrUtafanya nini kuleta uwajibikaji ikiwa jimboni kwako kuna mwanasiasa kama huyu?
Sisi ndio Sisi Wengine Mafisi
Imepiga mule mule au siyo!Sisi ndio Sisi Wengine Mafisi
Hakuna njia nyingine ya kudeal nao kisheria? Maana yale ni mabavu, mimi na wewe mabavu hayo hatuna! Asipokuwepo mtu kama Magu, ina maana hawawezi kushughulikiwa?Watu kama hao ukiwagundua unawatumbua alafu unawafilisi... Kiufupi alichokuwa anafanya JPM ndo kinawapasa.
Umetisha Mkuu😂😂Huyo ni Tulia.
kila mtu na njia zake mzee, ila kwa mtu mweusi ili akuelewe vizuri inabidi ukipiga unapiga kweli tena pale kwenye mshono.... Mabavu ndo yanapaswa kwa watu wasio wazalendoHakuna njia nyingine ya kudeal nao kisheria? Maana yale ni mabavu, mimi na wewe mabavu hayo hatuna! Asipokuwepo mtu kama Magu, ina maana hawawezi kushughulikiwa?