Wakuu,
Ni kifaa kipi kati ya hivyo kinafaa kwa kuchoma nyama, kuchoma kuku mzima, kukaanga chips na kupasha chakula?
Nahitaji kifaa kimoja cha kufanya kazi hizo zote kwa ubora mzuri, nichukue kipi?
Missy Gf
Njoo dear nami uniambie oven gani ni Bora kat ya Kenwood na ailyons
Kwa io Toyota na utitiri wa magari haifai? Au ni kwa electronics?Nunua Kenwood original sio yale mafamba ya kichina...
Ukishaona kampuni moja inatengeneza utitiri wa vitu sijui redio, speaker, feni, TV, blender, friji, oven n.k, hiyo si kampuni ya kununua vitu vyake...ndio hao kina Aborder, Mo electronics, Ailyons n.k
asante kwa recommendation before nilifikiri Kodtec ndio wazuri.Nunua Kenwood original sio yale mafamba ya kichina...
Ukishaona kampuni moja inatengeneza utitiri wa vitu sijui redio, speaker, feni, TV, blender, friji, oven n.k, hiyo si kampuni ya kununua vitu vyake...ndio hao kina Aborder, Mo electronics, Ailyons n.k
asante kwa recommendation before nilifikiri Kodtec ndio wazuri.
hmm, air frier haiwezi kava zote hizikwa kuchoma nyama, kuchoma kuku mzima, kukaanga chips na kupasha chakula?
Original unaijuaje sasa, nimecheki kweli wana products nyingi sana, ila naona bei zao ni sawa na kina aborder hapo ndo nashindwa mtu usije ingia kichwa kichwa.Kodtec nao ni wachina tu, zamani walikuwa wakitengeneza speaker tu kwa ajili ya PC na laptops ila siku hizi naona wanatengeneza vitu kibao...
air frier ni kama unataka kuchoma bila mafuta,ila zile microwave zenye option ya kuchoma pia zinachoma bila mafuta nyama yoyote ile.air frier inafaa sana kuchoma chipsi ila microwave haifai kuchomea chipsiWakuu,
Ni kifaa kipi kati ya hivyo kinafaa kwa kuchoma nyama, kuchoma kuku mzima, kukaanga chips na kupasha chakula?
Nahitaji kifaa kimoja cha kufanya kazi hizo zote kwa ubora mzuri, nichukue kipi?
zipo kibao..ukitaka.itambua kule ndani juu ina bati stainless..lina tundu tundu..zingine ambazo hazichomi juu kuko plain tuAir fryer itafanya hayo ila naskia kuna microwave zinaweza kuchoma, japo nyingi kazi yake ni kupasha joto.
yaani mimi hizo aborder sijui ailyon hapana kabisaa....kitu kenwoodNunua Kenwood original sio yale mafamba ya kichina...
Ukishaona kampuni moja inatengeneza utitiri wa vitu sijui redio, speaker, feni, TV, blender, friji, oven n.k, hiyo si kampuni ya kununua vitu vyake...ndio hao kina Aborder, Mo electronics, Ailyons n.k
yaani mimi hizo aborder sijui ailyon hapana kabisaa....kitu kenwood
philips za siku mingi nzuri sana esp microwaveBora zaidi kuna Breville, Ambiano, Tower (wanaouza used from US, UK), Philips zipo baadhi ya maduka ya wahindi clock tower ya Dar